Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa nani anapiga kelele kati yet nanyi?
Nyie ndiyo mmetangaza refinery itajengwa Tanga, halafu mnatuambia tajiri kasema Mombasa, sasa sisi tunahusika vipi na mradi hatuujui wala hatujataarifiwa na investor? Procedure mtu akitaka kuinvest Tz anakuja kuonana na uongozi hapa anaweka proposal yake mezani sasa hilo halijafanyika na wala sisi hatujui huo mradi scope yake ni nini.
 
Nyie ndiyo mmetangaza refinery itajengwa Tanga, halafu mnatuambia tajiri kasema Mombasa, sasa sisi tunahusika vipi na mradi hatuujui wala hatujataarifiwa na investor? Procedure mtu akitaka kuinvest Tz anakuja kuonana na uongozi hapa anaweka proposal yake mezani sasa hilo halijafanyika na wala sisi hatujui huo mrani scope yake ni nini.
The tune has changed. Just a few days ago, Tanganyikans' post on this refinery was laced with so much praise. Kwani wakati huo hamkujua hamkuarifiwa na investor? Nyinyi ni mapumba tu
 
The tune has changed. Just a few days ago, Tanganyikans' post on this refinery was laced with so much praise. Kwani wakati huo hamkujua hamkuarifiwa na investor? Nyinyi ni mapumba tu
Ila bado refinery itajengwa Tanga kama kuna hiyo plan mark my words.
 
Tatizo la Ruto ni kufikiria Kenya is having an upperhand in this! He is so wrong! When it comes to mining n oil n gas businesses Kenya is a sorry partner!
Ruto anataka kujifanya mpiga debe ili apate,kuichomeka kenya lakini Museveni na Samia wapo kimya, hatuongei na mchunga mbuzi tunaongea na mwenye mbuzi
 
Back
Top Bottom