Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaan tuache kula nyama choma za maana kwenye migahawa ya maana tuje kula leftovers eti za KFC and the like🤣🤣🤣.
So you think Kenya hakuna nyama choma? Kenya is the only country known with nyama choma in East Africa. Nyinyi baking na mihogo yenu😂
 
Uwe unaelewa , Tanzania watu hawafuati brands actually wanaojaribu kutengeneza brands mara nyingi zinakufa sababu watu wanataka vitu vipya daily
Ila zipo na sana tu ila hazitengenezi faida kama local chains.
Mfano kazimoto parks
Aslay mihogo
Shish food.
Na kibao tu
Mihogo?😳😳😳😳😳😳😳
And you still want us to talk about middle-class?

No wonder mnapanda mihogo hadi ndani ya Dar is slum
 
Yaan tuache kula nyama choma za maana kwenye migahawa ya maana tuje kula leftovers eti za KFC and the like🤣🤣🤣.
Bongolala, aren't you even aware that the term Nyama choma itself is identified with Kenya? Do a simple Google search. It is even considered as Kenya's national dish
 
Is KFC the only restaurant you know? Ndio maana tunasema bado muna akili za kimaskini.
Huwa tukiongelea KFC wanadhani there are no other eateries. Yani Mimi niende restaurant Kula mihogo?Ati nitoe a beautiful family like this kwa nyumba tuende tukule mihogo? Never😂😂🤣

IMG_20260502_092209.jpg
IMG_20260502_092506.jpg
 
Tuoneshe wapi wameandika projections, maana wao wamekiri hawana data na zimetumika za 2018 🤣🤣🤣🤣
Imagine unatumia data ambazo Zina zaidi miaka 8.
Yaan chaguzi mbili zimepita 🤣🤣🤣
Kenya wakitumia za 2022 ndio hutaki tupumue, the fact is you have a higher poverty headcount than Kenya hata ukirudi back in years bado yenu iko juu.

 
Is KFC the only restaurant you know? Ndio maana tunasema bado muna akili za kimaskini.
Yaan unahisi sisi tuna muda kuhangaika na brands kama nyinyi ,
Huku sehem za kula vyakula quality vipo kibao sio kama kwenu mpaka mtafute brands , hayo brands sisi tunawaachia watoto wa chuo🤣🤣🤣 wenye njaa
 
View attachment 3582676

View attachment 3582680
Sasa tanzania slum unatoa wap na wealth is distributed? huezi kuta mtu hana kitu kabisa ama kakosa food, Wote


unlike kenya Tanzania we have TASAF(TASAF | Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini - Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu) UKISHUKA under $3 then government takes care of your needs, uko kwenu kila mtu kivyake so if kuna mtu yupo kwenye extremely poverty no one cares, hence you have to fight for yourself
Maji na mafuta vinaanza kujitenga,vile vidata vya kupika vimeanza kushtukiwa
 
Yaan unahisi sisi tuna muda kuhangaika na brands kama nyinyi ,
Huku sehem za kula vyakula quality vipo kibao sio kama kwenu mpaka mtafute brands , hayo brands sisi tunawaachia watoto wa chuo🤣🤣🤣 wenye njaa
There's nothing quality about eating mihogo
 
Yaan unahisi sisi tuna muda kuhangaika na brands kama nyinyi ,
Huku sehem za kula vyakula quality vipo kibao sio kama kwenu mpaka mtafute brands , hayo brands sisi tunawaachia watoto wa chuo🤣🤣🤣 wenye njaa
It's business, brands and business go hand in hand. Ukose elimu, ukose exposure, ukose pesa, enyewe we ni fala.
 
Hawajui mihogo was introduced to fight hunger in Africa 🤣🤣🤣
Kwikwi ndo maana tunawaonea maskini , kwahiyo hizo fast food za KFC ni Bora kuliko kula mihogo iliyopikwa vizuri ikiwa na manjonjo kibao . Maskini ni maskini tu🤣🤣🤣
 
Mimi huwa nashangaa nikiwaona vile wanasifia mihogo, nakumbuka nikiwa ndogo I used to cry when I see mihogo as a breakfast tea escort.😂😂
Wameipanda kabisa hadi ndani ya Dar is slum. Na si eti ni those small backyard gardens. They have acres of cassava plantations in Dar is slum 🤣🤣🤣
 
Kwikwi ndo maana tunawaonea maskini , kwahiyo hizo fast food za KFC ni Bora kuliko kula mihogo iliyopikwa vizuri ikiwa na manjonjo kibao . Maskini ni maskini tu🤣🤣🤣
Ungetaja kitu kingine but not mihogo. It is a poor man's food
 
Back
Top Bottom