concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Hehe na hii ni ya TanzaniaDailynews.co.tz? 🤣🤣🤣🤣
Citizen wakaribu kupunguza kidogo tu ila wapi nyinyi ni maskini ( extreme poverty)
Hehe na hii ni ya TanzaniaDailynews.co.tz? 🤣🤣🤣🤣
Nani kakuambia Artcaffe na Java are not Kenyan brands?
Those r Dangote‘s!Nani kakuambia Artcaffe na Java are not Kenyan brands?
Hawa kondoo huwa wanaona hivyo vyakula vya KFC ni big deal kwa sababu wameanza kula ukubwani. 😂😂😂Buda Kila region watu wanatengeneza brands zao tz, sisi hatuangalii majina kama nyinyi na ndo maana tukija migawaha imesambaa nchi nzima kwa Kila region. nyinyi mnakula kwa kutegemea brands sababu vyakula vibovu na mnapenda kuiga. Huku mtu kuna mtu na brand zake tu za kilocal kuuza mihogo makande na anauza kuliko hata hizo KFC
Sis hatushobekei uzungu kwanza kwenda kwenye sehem kama hizo huwa ni watoto tu🤣🤣🤣
Informal economy kwa sababu you have a very small middle-class. Sasa ulikua unabishana kuhusu disposable income na middle class wenu ni wa kuhesabika.Buda Kila region watu wanatengeneza brands zao tz, sisi hatuangalii majina kama nyinyi na ndo maana tukija migawaha imesambaa nchi nzima kwa Kila region. nyinyi mnakula kwa kutegemea brands sababu vyakula vibovu na mnapenda kuiga. Huku mtu kuna mtu na brand zake tu za kilocal kuuza mihogo makande na anauza kuliko hata hizo KFC
Sis hatushobekei uzungu kwanza kwenda kwenye sehem kama hizo huwa ni watoto tu🤣🤣🤣
Si ndo maana tunawaambia kuwa nyinyi ni malimbukeni , middle income hawi brainwashed kula kwenye hizo restaurant zenu,Informal economy kwa sababu you have a very small middle-class. Sasa ulikua unabishana kuhusu disposable income na middle class wenu ni wa kuhesabika.
Hehe na hii ni ya Tanzania
View attachment 3582732
Citizen wakaribu kupunguza kidogo tu ila wapi nyinyi ni maskini ( extreme poverty)
View attachment 3582733
Hivi vitu wanakuja watoto buana , halafu mbona bei rahisi sanaHawa kondoo huwa wanaona hivyo vyakula vya KFC ni big deal kwa sababu wameanza kula ukubwani. 😂😂😂
View attachment 3582736
Lazima mihogo ingekuwa, no wonder you people are malnourished😂😂kuuza mihogo makande na anauza kuliko hata hizo KFC
People are likely to eat out at restaurants if they have disposable income. Unataka kubadilisha lifestyle ya dunia so as to justify your poverty.Si ndo maana tunawaambia kuwa nyinyi ni malimbukeni , middle income hawi brainwashed kula kwenye hizo restaurant zenu,
Wewe uliza kwanza bei halafu linganisha na hizo brands zenu
Wanataka kutulazimisha kula kwa vibanda.😂😂People are likely to eat out at restaurants if they have disposable income. Unataka kubadilisha lifestyle ya dunia so as to justify your poverty.
As of 2025-2026, approximately 51.3% of Tanzanians are estimated to live on less than $3.00 a day (based on 2021 PPP). [1, 2]
In mid-2025, the World Bank officially raised the international poverty line to $3 per person per day to better reflect the rising cost of living and updated purchasing power data. [1, 2]
As of 2025-2026, approximately 51.3% of Tanzanians are estimated to live on less than $3.00 a day (based on 2021 PPP). [1, 2]
In mid-2025, the World Bank officially raised the international poverty line to $3 per person per day to better reflect the rising cost of living and updated purchasing power data. [1, 2]
You like glorifying poverty.middle income hawi brainwashed kula kwenye hizo restaurant zenu,
Wanataka kutulazimisha kula kwa vibanda.😂😂
Yani in a serious discussion mtu anataka mihogo🤣🤣😂😂😂 😂 😂 Sijawai ona watu wanajaribu kujustify poverty kama bongolalas.
They are projections based on 2021 PPP, it might even be worse than those projections. The last time I checked, Kenya has a higher GDP PPP than bongoslum.Siku nyingine ukajifunze zaidi , yaan wao wenyewe wanakiri data zilizotumika ni za 2018 na bado hawana data za 2025 labda baada ya intergration ndo zinaweza patikana as early as 2026 halafu nawe unaenda okota tu🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3582741View attachment 3582743
The difference between us and them is that sisi tunaleta data za World Bank. Wao wanaleta za personal opinions na za blogsAs of 2025-2026, approximately 51.3% of Tanzanians are estimated to live on less than $3.00 a day (based on 2021 PPP). [1, 2]
In mid-2025, the World Bank officially raised the international poverty line to $3 per person per day to better reflect the rising cost of living and updated purchasing power data. [1, 2]
Sasa hawawez kula hizo leftovers Buda vyakula vipi kibao na restaurants kibao, nyinyi kwa sababu ya umaskini wa mnahisi kula kula hayo takeways ni sifaPeople are likely to eat out at restaurants if they have disposable income. Unataka kubadilisha lifestyle ya dunia so as to justify your poverty.
Tuoneshe wapi wameandika projections, maana wao wamekiri hawana data na zimetumika za 2018 🤣🤣🤣🤣They are projections based on 2021 PPP, it might even be worse than those projections. The last time I checked, Kenya has a higher GDP PPP than bongoslum.
Is KFC the only restaurant you know? Ndio maana tunasema bado muna akili za kimaskini.Sasa hawawez kula hizo leftovers Buda vyakula vipi kibao na restaurants kibao, nyinyi kwa sababu ya umaskini wa mnahisi kula kula hayo takeways ni sifa
Yaan tuache kula nyama choma za maana kwenye migahawa ya maana tuje kula leftovers eti za KFC and the like🤣🤣🤣.
Kweli umaskini wa kifikra upo sana Kenya.
However mnaojiona wajanja kushabikia timu za ulaya eti za kwenu hazina value, matokeo yake hata clubs zenu haziwezi raise hata funds