Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The major difference between Kenyans and Bongostanis is Bongo y’all cowards . While a Kenyan would see an public issue and post it, you guys would rather walk away silently else you face the wrath of CCM goons . There is no difference between Bongo and North Korea when it comes to government rule. And you know that’s the truth …
wewe andaa research yako utuletee

1777666908535.png


1777667100490.png


1777667174235.png
 
Which disposable income? Do you even have any restaurant chain that rival JAVA or ArtCaffe in number of chains? Bongolala mnapenda sana kuropokwa.
Sasa huoni kama nyinyi ndo maskini wa fikra , sisi hatutegei kuwa hizo brands tunatengeneza zetu . Mtakuja elewa baada ya muda, si unaona matajiri wa kibongo wameanza mpaka kuwapa misaada ya hospitals, hiyo ni baada ya kuanzisha brands zao na zikadominate soko.
 
Sasa huoni kama nyinyi ndo maskini wa fikra , sisi hatutegei kuwa hizo brands tunatengeneza zetu . Mtakuja elewa baada ya muda, si unaona matajiri wa kibongo wameanza mpaka kuwapa misaada ya hospitals, hiyo ni baada ya kuanzisha brands zao na zikadominate soko.
Those are Kenyan brands, and they are all over the country. Ulianza na kiherehere vile Kenya does not have disposable income, sasa umeshift to maskini wa fikra after proving you wrong.
 
Those are Kenyan brands, and they are all over the country. Ulianza na kiherehere vile Kenya does not have disposable income, sasa umeshift to maskini wa fikra after proving you wrong.
Buda Kila region watu wanatengeneza brands zao tz, sisi hatuangalii majina kama nyinyi na ndo maana tukija migawaha imesambaa nchi nzima kwa Kila region. nyinyi mnakula kwa kutegemea brands sababu vyakula vibovu na mnapenda kuiga. Huku mtu kuna mtu na brand zake tu za kilocal kuuza mihogo makande na anauza kuliko hata hizo KFC
Sis hatushobekei uzungu kwanza kwenda kwenye sehem kama hizo huwa ni watoto tu🤣🤣🤣
 
View attachment 3582676

View attachment 3582680
Sasa tanzania slum unatoa wap na wealth is distributed? huezi kuta mtu hana kitu kabisa ama kakosa food, Wote


unlike kenya Tanzania we have TASAF(TASAF | Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini - Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu) UKISHUKA under $3 then government takes care of your needs, uko kwenu kila mtu kivyake so if kuna mtu yupo kwenye extremely poverty no one cares, hence you have to fight for yourself
Dailynews.co.tz? 🤣🤣🤣🤣
 
Sasa huoni kama nyinyi ndo maskini wa fikra , sisi hatutegei kuwa hizo brands tunatengeneza zetu . Mtakuja elewa baada ya muda, si unaona matajiri wa kibongo wameanza mpaka kuwapa misaada ya hospitals, hiyo ni baada ya kuanzisha brands zao na zikadominate soko.
Nani kakuambia Artcaffe na Java are not Kenyan brands?
 
Back
Top Bottom