AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,282
- 3,200
Wewe nyamwezi stop worrying about Naivasha-Malaba railway. That's done and dusted.
Kwa sasa tuko kwenye harakati ya kuwekwa umeme kwenye sgr yetu
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Anajenga nani malaba? Kwa Bei gani?
Kwenye kuweka Umeme hiyo Reli ya mchina kwani mmeshamaliza kulipa deni? Maana Reli Iko chini ya uendeshaji wa mchina hiyooo... Sasa mturuki anaingia vipi kuweka Umeme nywele ngumu?