Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
Wachawi Uwanjani Tanzania 😀.
View attachment 3581174
Hao ni Wagaga-gigi-koko wenzenu huko Kenya wakilumbana kama rais wenu anavyopayuko kama mlevi kuhusu refinery project ya Tanga.Tanzania has been taking off since 1932 lakini Hadi WA Leo there's nothing to show.
Kenya no taifa la watu wajinga sana; watu wenye wivu, chuki na tamaa.nangoja njuru hapo June! Tuone ili choyo ya kwenda Mozambique for LNG na kwenda Ethiopia for power!
Tanzania Ina mikoa 26, Kenya Ina counties 47. Mikoa ya Tanzania Ni mikubwa Na population kubwa kuliko counties za Kenya. Sasa wewe ukilinganisha mikoa vs counties Badala YA nchi nzima utakuwa ukijitekenya ukicheka Mwenye we manake Ni Kama kulinganisha uzalishaji wa watu wawili Vumbistan vs mtu mmoja Kenya.Gdp mara nyingi Ina include matumizi ya serikali na sector binafsi, kama vile mishahara na kadhalika.
Kenya serikali inakopa sana kutimiliza miradi na sometimes mishahara na bado hata project zao Zinakuwq inflated hivyo inaonekana wanazalisha sana wakati ni wastani.
Mfano wanaanza ujenzi wa sgr kwenda malaba na bajeti ni 500ksh sawa usd 3.8bil au 13mil kwa km ila bongo tunajenga km2100 kwa usd 10bil sawa na 4.5mil/ km.
Tukija kwa hesabu itaonekana wamejenga sana au wanazalisha sana wakati kiuhalisia wamezidiwa ujenzi na bongo.
Nadhani ilipaswa kuangalia mapato ya ndani kwa counties versus mikoa ya tz .
Dar Ina gdp ya 37bil usd wakati Nairobi Iko kwenye 70+ , ila kwa sasa mapato kwa manispaa zote za dar ni zaidi ya bil 400 kwa mwaka au 20bil ksh .
Nairobi pamoja na gdp yake kubwa bado Wana osr ya 15bil ksh
Tukinunua kwenu, mnasema tunawategemea. Eti mnatishia tutakavyoumia mkikataa kutuuzia. Tukinunua kwengine mnanuna. Enyewe Kenya ndio kusema hii region.🤣🤣nangoja njuru hapo June! Tuone ili choyo ya kwenda Mozambique for LNG na kwenda Ethiopia for power!
Mr kimbelembele..Huyu Ruto mbona anaongea sana kama mlevi?
Project ijengwe kwetu aongee sana yeye 🙄
Hapa tuko kwenye system of governance, kama nyinyi mko na counties na sisi tuko na regions.Tanzania Ina mikoa 26, Kenya Ina counties 47. Mikoa ya Tanzania Ni mikubwa Na population kubwa kuliko counties za Kenya. Sasa wewe ukilinganisha mikoa vs counties Badala YA nchi nzima utakuwa ukijitekenya ukicheka Mwenye we manake Ni Kama kulinganisha uzalishaji wa watu wawili Vumbistan vs mtu mmoja Kenya.
Tanzania will never pass Kenya economically.Hao ni Wagaga-gigi-koko wenzenu huko Kenya wakilumbana kama rais wenu anavyopayuko kama mlevi kuhusu refinery project ya Tanga.
Ushawahi sikia Tanzanian government official hata akigusia? Ni president wenu kila akishoboka.
Has someone ever told you how foolish you are? OSR za Nairobi is only from Parking fees, land rates, advertisement, water and garbage collection.Hapa tuko kwenye system of governance, kama nyinyi mko na counties na sisi tuko na regions.
Hata hivyo ukiangalia the largest counties na provinces ndo less productive.
Anyway hapa sijafanya comparison ya nchi nzima nimechukua mfano wa dar ambayo kwenu ni kama county moja versus Nairobi .
Nairobi Inasemekana Ina gdp kubwa ikiwa na maana itakuwa inazalisha sana kuliko dar , lakini kwanini ikija kwenye osr inaoneka Iko nyuma sana ya dar ?
Kwahiyo hiyo gdp ya Nairobi inapatikanaje kama zile economic activities kwa ngazi ya local government zinaonekana ziko chini.
Hata tukisema tuchukue county zinazolingana kwa ukubwa na region zs Tanzania bado mko nyuma .
Mfano tukichukua turkana yenye 98,000 SQkm versus tabora yenye 76,000 SQkm, bado hiyo turkana yenu Iko nyuma tu.
Acha visingizio vya ukubwa .
Tanzania Iko na regions 31 zikiwemo za Zanzibar halafu 38% of the landmass ni conservation .
Non conserved land in Tanzania ni 540,000 SQkm na Kenya ni 490,000 SQkm.
Hakuna difference yoyote hapo