concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Walete vitu kama hiviMkandarasi wa Reli hiyo ni nani? Site ameshakabidhiwa? Kwa gharama gani na chanzo Cha mapato ni wapi nywele ngumu?
Walete vitu kama hiviMkandarasi wa Reli hiyo ni nani? Site ameshakabidhiwa? Kwa gharama gani na chanzo Cha mapato ni wapi nywele ngumu?
Wewe nyamwezi stop worrying about Naivasha-Malaba railway. That's done and dusted.Mkandarasi wa Reli hiyo ni nani? Site ameshakabidhiwa? Kwa gharama gani na chanzo Cha mapato ni wapi nywele ngumu?
Kwani mnahela ya kufanya upgrade?Wewe nyamwezi stop worrying about Naivasha-Malaba railway. That's done and dusted.
Kwa sasa tuko kwenye harakati ya kuwekwa umeme kwenye sgr yetu
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Fika world cup ndio utupigie kelele hapa ,sasa those hazina ela, kwa mfano ukishinda marathon thats a personal achievement rather than a national achievement, For example if you win AFCON thats like 500 new people on the world stage
Your talking of coaches, players, media, health(Doctors inside the field), security ... the list Goes on! Alafu marathon glory ni ya siku moja, if you win Gold medal that fame roughly goes for a week imeisha, But football its generational
For example we know AFCON winners since the 90's and the list goes on, also Football is the biggest sports on Earth nothing comes close to football
Osr ndio nini? Show us proof that Dar generates more than Nairobi sio unajitungia story alafu unajijazia. Halafu ukubwa wa county ama province ni population sio land mass maanake kawaida zile country subdivisions zenye eneo kubwa huwa na uzalishaji mdogo kisa population density huwa sparse. Nikitumia hii akili yako nitasema Canada ni nchi kubwa kuliko India ama Angola ni kubwa kuliko Nigeria. Kwa mfano, Kenya Turkana ndio kubwa kieneo, kwa uchumi ndio maskini zaidi. Mombasa ndio ndogo kieneo ila kwa uzalishaji iko miongoni mwa za kwanza. Tabora ina eneo la 76000 sq. km ila population yake ni 3,391,679 - which bigger than all Kenyan counties except Nairobi. Turkana ina 98k sq. km ila population yake ni 997,976. Utakuwa huna akili kulinganisha uzalishaji wa watu 3,391,679 na wa watu 997,976. Chukua County za Kenya mbili ambazo ukiunganisha zinafikia takriban population ya Tabora alafu linganishe uchumi. Kwa mfano: -Hapa tuko kwenye system of governance, kama nyinyi mko na counties na sisi tuko na regions.
Hata hivyo ukiangalia the largest counties na provinces ndo less productive.
Anyway hapa sijafanya comparison ya nchi nzima nimechukua mfano wa dar ambayo kwenu ni kama county moja versus Nairobi .
Nairobi Inasemekana Ina gdp kubwa ikiwa na maana itakuwa inazalisha sana kuliko dar , lakini kwanini ikija kwenye osr inaoneka Iko nyuma sana ya dar ?
Kwahiyo hiyo gdp ya Nairobi inapatikanaje kama zile economic activities kwa ngazi ya local government zinaonekana ziko chini.
Hata tukisema tuchukue county zinazolingana kwa ukubwa na region zs Tanzania bado mko nyuma .
Mfano tukichukua turkana yenye 98,000 SQkm versus tabora yenye 76,000 SQkm, bado hiyo turkana yenu Iko nyuma tu.
Acha visingizio vya ukubwa .
Tanzania Iko na regions 31 zikiwemo za Zanzibar halafu 38% of the landmass ni conservation .
Non conserved land in Tanzania ni 540,000 SQkm na Kenya ni 490,000 SQkm.
Hakuna difference yoyote hapo
Mbona sijawai ona Mkenya akilalamika ati ooh, Tanzania wamekataa kutuuzia bidhaa ila kila mwaka lazima nione Watanzania wakilalamika ati ooh, Kenya wamenunua kula badala ya kununua kwetu? 🤣 🤣 🤣Ngoja tuone hapo June endeleeni kujititimua! The wave is unavoidable! mara maize kutoka Zambia mara umeme kutoka Ethiopia mara gas kutoka Mozambique! As long as Museveni yupo upande wetu Ukunduni hamtoboi!
Osr ndio nini? Show us proof that Dar generates more than Nairobi sio unajitungia story alafu unajijazia. Halafu ukubwa wa county ama province ni population sio land mass maanake kawaida zile country subdivisions zenye eneo kubwa huwa na uzalishaji mdogo kisa population density huwa sparse. Nikitumia hii akili yako nitasema Canda ni nchi kubwa kuliko India ama Angola ni kubwa kuliko Nigeria. Kwa mfano, Kenya Turkana ndio kubwa kieneo, kwa uchumi ndio maskini zaidi. Mombasa ndio ndogo kieneo ila kwa uzalishaji iko miongoni mwa za kwanza. Tabora ina eneo la 76000 sq. km ila population yake ni 3,391,679 - which bigger than all Kenyan counties except Nairobi. Turkana ina 98k sq. km ila population yake ni 997,976. Utakuwa huna akili kulinganisha uzalishaji wa watu 3,391,679 na wa watu 997,976. Chukua County za Kenya mbili ambazo ukiunganisha zinafikia takriban population ya Tabora alafu linganishe uchumi. Kwa mfano: -
1. Kiambu County (2,417,735) + Murang'a County (1,056,640) = 3,474,375
2. Kakamega County (1,867,579) + Uasin Gishu County (1,163,186) = 3,030,765
3. Mombasa County (1,190,987) + Nakuru County (2,162,202) = 3,358,189
Hizo ni mifano tu nimekupa. Unganisha hizo Counties alafu uniambia kama Tabora inaweza zifikia kiuchumi.
Kwani administrative area inajali population?Osr ndio nini? Show us proof that Dar generates more than Nairobi sio unajitungia story alafu unajijazia. Halafu ukubwa wa county ama province ni population sio land mass maanake kawaida zile country subdivisions zenye eneo kubwa huwa na uzalishaji mdogo kisa population density huwa sparse. Nikitumia hii akili yako nitasema Canada ni nchi kubwa kuliko India ama Angola ni kubwa kuliko Nigeria. Kwa mfano, Kenya Turkana ndio kubwa kieneo, kwa uchumi ndio maskini zaidi. Mombasa ndio ndogo kieneo ila kwa uzalishaji iko miongoni mwa za kwanza. Tabora ina eneo la 76000 sq. km ila population yake ni 3,391,679 - which bigger than all Kenyan counties except Nairobi. Turkana ina 98k sq. km ila population yake ni 997,976. Utakuwa huna akili kulinganisha uzalishaji wa watu 3,391,679 na wa watu 997,976. Chukua County za Kenya mbili ambazo ukiunganisha zinafikia takriban population ya Tabora alafu linganishe uchumi. Kwa mfano: -
1. Kiambu County (2,417,735) + Murang'a County (1,056,640) = 3,474,375
2. Kakamega County (1,867,579) + Uasin Gishu County (1,163,186) = 3,030,765
3. Mombasa County (1,190,987) + Nakuru County (2,162,202) = 3,358,189
Hizo ni mifano tu nimekupa. Unganisha hizo Counties alafu uniambie kama Tabora inaweza zifikia kiuchumi.
Hawa wanalalamika nini!Mbona sijawai ona Mkenya akilalamika ati ooh, Tanzania wamekataa kutuuzia bidhaa ila kila mwaka lazima nione Watanzania wakilalamika ati ooh, Kenya wamenunua kula badala ya kununua kwetu? 🤣 🤣 🤣
Ebu nionyeshe nilipoandika ukubwa wa eneo ndio tuendelee na mjadala.Unaona ushabadilisha ,
Point uliyoleta ni ukubwa wa eneo versus revenue haikuwa population versus revenue .
Hapa tunaongelea administrative areas , mfano kwa Kenya mko na county sisi tuko na regions , huwez lazimisha tuunganishe regions mbili ili kufidia revenue yenu.
Anaye badilisha mjadala ni wewe na hii hapa ni proof.Kwa point ya hapo juu, dhahiri unakubali maendeleo Kenya yako concentrated kwenye maeneo machache tu wakati Tanzania maendeleo yanasambazwa kona zote.
Jamaa wanarecord mpaka on transit kama tourists
View: https://x.com/Adambrv/status/2049404801490796633?t=fePNdgpP-0GetE7MlrhVxA&s=19
Jamaa huwa anabadilika akishapatwa😂😂.Ebu nionyeshe nilipoandika ukubwa wa eneo ndio tuendelee na mjadala.
Anaye badilisha mjadala ni wewe na hii hapa ni proof.
He's projecting.😂😂Jamaa huwa anabadilika akishapatwa😂😂.
I'm still waiting for him to post an evidence that Dar collects more OSR than Nairobi which he was claiming in the morning.