Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,991
Maku hao wanariadha ndio kwanza tunawaona,hata hiyo 2006 atukua wanariadha wenye majina hayo kilaza ww
Maku hao wanariadha ndio kwanza tunawaona,hata hiyo 2006 atukua wanariadha wenye majina hayo kilaza ww
Miundombinu kwako ni kama ipi kwanza tuanze , barabara ,majengo na kadhalika si ndo hivyo? Je una idadi ya barabara za Rami kwa mbeya versus Tanga, au unamaanisha vitu kama umeme? Bado hata tukisema tuangalie umeme bado tunaweza Fanya comparison ya matumizi ya umeme kwa mbeya versus Tanga hasa kwa eneo la t1 ili tuweze pata wapi kuna viwanda vingi au matumizi mengi yanayotokana na uzalishaji.Mbona unachagua kaka vigezo. Vigezo umeweka mwenyewe. Nimeongelea Kigezo nambari 3 kama ulivyosema. Moshi ipo na miundo mbinu na services bora sana Mbeya haiwezi hata kukaribia. Je unakubaliana na mimi Mbeya inazidiwa miundombinu na Moshi?
Anazungumzia 20years back ,hawez leta data za miaka miwili hii sababu hanaMaku hao wanariadha ndio kwanza tunawaona,hata hiyo 2006 atukua wanariadha wenye majina hayo kilaza ww
Kaka sidhani kama unaifahamu Moshi. Moshi ndiyo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi hapa Tanzania. Ndani ya manispaa ya Moshi Lami ni nyingi ukilinganisha na Mbeya. Hospital Moshi inaipita Mbeya. Hotels za kutosha moshi kuzidi Mbeya. Kaka moshi ipo na miundombinu bora kuzidi Mbeya. Tukija kwenye planning moshi imepangiliwa vyema kuzidi mbeya. Mbeya haipo planedMiundombinu kwako ni kama ipi kwanza tuanze , barabara ,majengo na kadhalika si ndo hivyo? Je una idadi ya barabara za Rami kwa mbeya versus Tanga, au unamaanisha vitu kama umeme? Bado hata tukisema tuangalie umeme bado tunaweza Fanya comparison ya matumizi ya umeme kwa mbeya versus Tanga hasa kwa eneo la t1 ili tuweze pata wapi kuna viwanda vingi au matumizi mengi yanayotokana na uzalishaji.
Kuhusu vitu kama hospitali au shule .
Moshi bado italabaki nyuma ndugu.
Hivi vitu usivipime kwa macho data zipo na Kila siku ziko updated.
Kunyan uwa wanapenda kuzushaAnazungumzia 20years back ,hawez leta data za miaka miwili hii sababu hana
Hii point yako ya mwisho imenichekesha sana.. eti “japokua huko Mbeya kuna wafugaji lakini kiwanda kikubwa cha maziwa kipo Tanga”. 😂😂😂 dah Mbeya inachekesha sana.Kaka sidhani kama unaifahamu Moshi. Moshi ndiyo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi hapa Tanzania. Ndani ya manispaa ya Moshi Lami ni nyingi ukilinganisha na Mbeya. Hospital Moshi inaipita Mbeya. Hotels za kutosha moshi kuzidi Mbeya. Kaka moshi ipo na miundombinu bora kuzidi Mbeya. Tukija kwenye planning moshi imepangiliwa vyema kuzidi mbeya. Mbeya haipo planed
Tuje kwenye upande wa Tanga. Kwa upande wa Infrustructure and planning Tanga ipo mbele mno zaidi ya Mbeya. Ukija viwanda Tanga ipo na viwanda vikubwa japo kuwa huko mbeya kuna wafugaji lakini kiwanda kikubwa cha maziwa kipo Tanga nk.
Mkuu unazijua main source ya mapato ya mbeya na Moshi au Tanga ni zipi ?Kaka sidhani kama unaifahamu Moshi. Moshi ndiyo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi hapa Tanzania. Ndani ya manispaa ya Moshi Lami ni nyingi ukilinganisha na Mbeya. Hospital Moshi inaipita Mbeya. Hotels za kutosha moshi kuzidi Mbeya. Kaka moshi ipo na miundombinu bora kuzidi Mbeya. Tukija kwenye planning moshi imepangiliwa vyema kuzidi mbeya. Mbeya haipo planed
Tuje kwenye upande wa Tanga. Kwa upande wa Infrustructure and planning Tanga ipo mbele mno zaidi ya Mbeya. Ukija viwanda Tanga ipo na viwanda vikubwa japo kuwa huko mbeya kuna wafugaji lakini kiwanda kikubwa cha maziwa kipo Tanga nk.
Kaka sidhani kama unaifahamu Moshi. Moshi ndiyo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi hapa Tanzania. Ndani ya manispaa ya Moshi Lami ni nyingi ukilinganisha na Mbeya. Hospital Moshi inaipita Mbeya. Hotels za kutosha moshi kuzidi Mbeya. Kaka moshi ipo na miundombinu bora kuzidi Mbeya. Tukija kwenye planning moshi imepangiliwa vyema kuzidi mbeya. Mbeya haipo planed
Tuje kwenye upande wa Tanga. Kwa upande wa Infrustructure and planning Tanga ipo mbele mno zaidi ya Mbeya. Ukija viwanda Tanga ipo na viwanda vikubwa japo kuwa huko mbeya kuna wafugaji lakini kiwanda kikubwa cha maziwa kipo Tanga nk.
Aah hapa unaongea uongo bhana. Bandari ya Tanga inazidi na wala hairudi nyuma. Usitulinganishe na wauza mchele mkuu.Mimi huko natembelea na hii kazi ya tathmini tunaifanya sana naweza kukuambia mpaka mwakani au 2026/2027 inajikadiria kiasi gani Cha mapato ila wewe utategemea kupata data za mtandaoni.
Siri moja nikupe tu mwaka karibia majiji yote yata double mapato ila Tanga haiatavuka bil 27 ila mbeya itazid hapo
maisha kwel hayana Formular, tanzania haina mafuta alafu Net exporter wa mafutaHakuna jinsi lazima mafuta yasafishiwe Tanga mahali pipeline inapo land for local consumption and exports via marine tankers and trucks. It also makes business sense to rope in DRC oil via a short pipeline to the EACOP na pia South Sudanese oil. Pipeline ya Kenya itabidi iende Uganda Kwanza ikaungane na ya South Sudan ndio ishuke Hoima then Tanga.
kuitamka tu shidaSasa ukitaka kumpa mtihani wa kufeli muulize anaijua Kariobangi Fc 😁
Kaka mimi sitaki kukukosea adabu. Japo kuwa unaipenda sana mbeya. Nafurahi maana vigezo uliviweka mwenyewe. Kigezo nambari moja tumekubaliana sasa naomba tuende kwenye vigezo hivi:Mkuu unazijua main source ya mapato ya mbeya na Moshi au Tanga ni zipi ?
Unajua mbeya jijini mapato makuu hayatokani na kilimo Wala ufugaji.
Issue unangalia majengo tu ila ukija kwenye economic activities mbeya Iko mbali sana , ungesema arusha au mwanza sawa ila Tanga na Moshi bado sana .
Kaka naumia sana kaka. Mwenzetu hataki kabisa kukubaliana na hilo. Tumekubali kuwa Mbeya inaizidi moshi kwenye mapato kutokana na Moshi hakuna kilimo. Je vigezo vingine vipi?this ish can only be found in Tanzania. This is one is a town in Tz. 👇🏾 moshi town.. mind you, these pictures are just showing half of the town View attachment 3580852View attachment 3580853View attachment 3580856while this is a city in the same country.. Mbeya city 👇🏾View attachment 3580857View attachment 3580858😂😂😂 Dah. Kama si sababu za kisiasa, ni sababu zipi zinazoipa hadhi Mbeya kuwa jiii.? President of China. Kulingana na vigezo alivyoleta jamaa zetu wa mbeya.?
Leta data Mimi napenda data sio maneno matupu. Kama ni bandari, unajua bandari ya mtwara Iko busy sana kupakia makaa ya mawe daily na mizigo mingine kuizid Tanga? Ila pamoja na yote mtwara haipngozi kimapato.Aah hapa unaongea uongo bhana. Bandari ya Tanga inazidi na wala hairudi nyuma. Usitulinganishe na wauza mchele mkuu.