Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,674
- 107,110
The US$ 42 bln LNG plant that gives Kenya sleepless nights!
TZ kila mji una thamani yake. Ni suala la muda kwa kila mji utafunguliwa.Naona Mathare hakuna maendeleo watu washaanza kubattle miji yao wenyewe, mwingine anaenda kupata refinery uko sjui tutapumua, Hio refinery ikishaanza kazi sasa si Tanga GDP itakua x10 Nairobi
Ndio vitakuwepo Mikoani Sasa.Huko Dar kuli enjoy uwekezaji wa Serikali Wala sio sababu ya Bandari sijui depot's and such nonsenseHivyo viwanda vya madini sijui migodi vipo vingapi Tz.? Dar kuna migodi.? Dar kuna kilimo.? Dar kuna mbuga za wanyama.? Mbona hiyo miji haikaribii maendeleo ya Dar hata robo.?
Unatakiwa ujue bandari na mafuta ni vichocheo vikubwa vya uchumi na maendeleo ya watu kuliko takataka yoyote. Kwahiyo nyie mtaendelea kuwa chini tu.
Sasa Bomba la Mafuta ndio nini labda? Tanga itaishia kuwa daraja au mlango ila sebule au chumba ni Miji mingine iliyochangamka na yenye uchumi.Wew kweli ni bazuka, Tanga iko na bomba la mafuta, oil refinery ikiisha, tukimaliza kuongeza berth 4 tu bandari + SGR . Miradi hii itaifanya Tanga iwe kimbilio la watz na foreigners. Ndio kwanza bomba la mafuta limeanza (under construction) tayari real estate imeanza kukua, vipi tukimaliza hii miradi.?
Unajua ni container deport ngapi zitajengwa Tanga .? Gari ngapi zitafuata mafuta Tanga.? Viwanda vingapi vitajengwa.? Yaani kwa kifupi Tanga itapitwa maendeleo na Dar tu hiyo miradi ikiisha.
Kwanza hiyo miradi ikijengwa kaskizini yote itaitegemea Tanga kuingiza mizigo yao, sijui ni trillions ngapi Tanga itakua ikipiga, hatutategemea chochote kutoka Dar from there on.
Ila Mwanza kuna kitu hakijakaa sawa! Aidha ni rushwa au siasa! Uwanja unachelewa sana!TZ kioa mji una thamani yake. Ni suala la.muda kwa kola.mjinutafungukiwa.
Hata Lindi, Ruvuma, Mtwara kwasasa panafunguka.
- Uranium project, processing
- $42B has project
- Mchuchuma, Liganga (Chuma, Coal)
- Kilimo (Korosho, Ufuta)
Mnaona na viwanja vya ndege vimefunguliwa Simbawanga.
Ukifika JNIA utakuta huko ndio kumejaa routes za wachina.
Mwanza ni logistic hub ya kibiashara kanda ya Ziwa.
- Utalii (Mwanza International airport ikijengwa, maana kwenda Serengeti ni karibu
- Kuna MV NEW Mwanza inataka.kuamza routes za Uganda, Kisumu, Mwanza,
Huko.Kogoma ndio.kumechanganyia zaodo.
Meli zimejemgwa kama Njugu na bandari kuchangamsha biashara na CONGO.
TZ hakuna Mkoa MZIGO. Ni issue ya vipaumbele tu.
Mwanzo inaonekana walitaka kujenga kawaida tu, jengo dogo.Ila Mwanza kuna kitu hakijakaa sawa! Aidha ni rushwa au siasa! Uwanja unachelewa sana!
hata hilo dogo la JPM lilipaswa liwe limekamilika wakisubiri hilo kubwa!Mwanzo inaonekana walitaka kujenga kawaida tu, jengo dogo.
Baadaye wakaghairi kuwa Mwanza inahitaji International Airport. So inahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kama JNIA, KIA au Msalato
Ndio vitakuwepo Mikoani Sasa.Huko Dar kuli enjoy uwekezaji wa Serikali Wala sio sababu ya Bandari sijui depot's and such nonsense
Kuna Miji mingi ya Duniani ambayo Ina Bandari lakini sio Miji mikuu ya Uchumi kulinganisha na Hinterland.
Dom ndio itakuwa second Kwa Dar sio hivyo Vimji vyenu vinavyonuja umaskini
Bwana we teseka na kijiji ya mbeya. 😂😂😂 takataka. Ila Tanga is something.. mbeya ni upuuzi mtupu.Sasa Bomba la Mafuta ndio nini labda? Tanga itaishia kuwa daraja au mlango ila sebule au chumba ni Miji mingine iliyochangamka na yenye uchumi.
Nyie mtaendelea kuwa maskini.Lindi hapo $42B inaenda kuingia je ndio kusema Lindi itakuwa na maendeleo kuzidi Tanga au Morogoro? 😂😂😂😂
Lile dogo nahisi lilikamilika. Maana contractor alikuwa Rostamhata hilo dogo la JPM lilipaswa liwe limekamilika wakisubiri hilo kubwa!