concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Ooh Kumbe kama kuna maduka mengi ya kilimo Ina maana ni biashara sio kulima mahindi ni sawa na kusema pwani inategemea kuuza cement kwa ajili ya mapato yake.Kaka mashine za kukoboa mpunga na mashine za kupukuchua mahidi hazilipi gawiwo kwenye jiji? Je, vipi kuhusu maduka ya pembejeo hayalipi kwenye halmashauri? Tukiongea kilimo tunaongea mnyororo wa thamani kaka.
Kwenye category za mapato maduka hayadondokei kwenye mapato yatokanayo na kilimo.
Mashine ya kukoboa mahindi ni kiwanda vilevile ila tozo zake ni tofauti na mkulima.
Mashine zitalioa service levy , corporate tax ,sdl na hata hivyo kwa mbeya si kati ya majiji ambayo vyanzo vyake vikuu ni mashine bali ni kama leseni,service levy na mabango kama ilivyo kwa dar