stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,319
- 33,841
si mnaletewa na treni ya umeme bana
😂😂😂 viongozi wetu walipuyanga bhana kuipa mbeya hadhi ya jiji. Waishushe tu, tujipange upya kutoa hadhi katika miji yetu.Hata Kahama kaka kwa namna hiyo inaweza kuwa Jiji
Dhahabu Kila Mkoa ipo Hadi Njombe suala ni scale.
Je wewe unataka Kila mkoa kuwe na Bandari?
Nakueleza kwamba Mbeya Ina Nguvu kubwa ya Uchumi hapa Tanzania na wewe unajua.
Mlikuwa mnalingia tugorofa haya kwenye picha unaona nini hapa 👇 👇
View: https://x.com/i/status/2042845853023412451
alafu huo mchele ndo ulikua unauzwa bei ndefu kuliko wote, nliupenda kwa sababu vipunje vyake ni virefu kuliko vimchele mwingine ila ulivopikwa ulitoka much better than zingine alafu upo more clear whiteHaha wewe sema unaingisha kwenu tu ila ukweli kigoma Mchele hata UNGA uko bei ya juu kuliko hata dar
Moja Cha kigezo Cha kuwa jiji ni idadi ya watu na mapato, huwez kujenga barabara au masoko bila kuwa na mapato makubwa , kwa Tanga nje ya Tanga mjini hakuna wilaya inayoweza zalisha hata bil 6 kwa mwaka kama mapato ya ndani sasa utajengaje miundombinu ? Hiyo ni moja ya dalili ya kutokuwa na economic activity.Vipimo hivi ndio vinasababisha matakatka kama mbeya kuitwa eti ni majiji na yenyewe. Miundombinu lazima iwe ni kipimo cha juu zaidi kwa mji kupewa hadhi ya ima town au city. Otherwise tutazipa hadhi our overpopulated villages/ over crowded villages tutazipa hadhi ya jiji. Mbeya is just a rondom overcrowded village.
Opp,tafuta takwimu sahihi kwanza ndio uje KuandikaUkisema Nguvu ya uchumi Mbeya inazidiwa na Shinyanga. Tena Shinyanga imezalisha mikoa miwili (Geita na Simiyu) But bado inaizidi Mbeya ki uchumi. But kwa maendeleo Tanga ipo juu ya mbeya
Kaka tukiongelea Population mikoa mingi inaizidi Mbeya lakini siyo majiji. Na ukingalia kwa mapato Shinyanga inaizidi Mbeya lakini siyo jiji:Moja Cha kigezo Cha kuwa jiji ni idadi ya watu na mapato, huwez kujenga barabara au masoko bila kuwa na mapato makubwa , kwa Tanga nje ya Tanga mjini hakuna wilaya inayoweza zalisha hata bil 6 kwa mwaka kama mapato ya ndani sasa utajengaje miundombinu ? Hiyo ni moja ya dalili ya kutokuwa na economic activity.
Mbeya wilaya yenye mapato kidogo ni rungwe yenye 5bil .
Usidanganyike na majengo pia economic activity ni kipimo Cha kuwa jiji.
Ndo maana dar Ina mapato makubwa kuliko sehemu yoyote tz sababu ni economic hub
| Dar es Salaam | 5,383,728 |
| Mwanza | 3,699,872 |
| Tabora | 3,391,679 |
| Morogoro | 3,197,104 |
| Dodoma | 3,085,625 |
| Kagera | 2,989,757 |
| Geita | 2,977,608 |
| Tanga | 2,615,597 |
| Kigoma | 2,470,967 |
| Mara | 2,376,315 |
| Arusha | 2,356,255 |
| Mbeya | 2,343,754 |
| Shinyanga | 2,241,299 |
| Simiyu | 2,140,497 |
| Manyara | 1,892,502 |
| Ruvuma | 1,848,794 |
| Songwe | 1,644,353 |
| Singida | 1,370,637 |
| Kilimanjaro | 1,861,934 |
| Pwani | 1,164,285 |
| Mtwara | 1,634,985 |
| Rukwa | 1,540,519 |
| Njombe | 1,041,546 |
| Iringa | 1,192,072 |
| Lindi | 1,194,028 |
| Katavi | 1,153,231 |
Opp,tafuta takwimu sahihi kwanza ndio uje Kuandika
View: https://www.instagram.com/p/DHI7fgJoeJt/?igsh=dmVkMTFyN3V4aHJy
imewauma sasa wakina Teargass , ni kama haonekana tena online pamoja na nairobae and Nicxie
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/2048772403895927003?s=20
Video si ni hii.? Au kuna nyingine.? 😂😂😂 👇🏾
View: https://youtu.be/pw2Qy-ynvtY?si=sxoeexRhdMj7Ft9a. Usijui kijua ni kwamba miji yote Tz kuanzia majiji hadi zile zenye hazina hata hadhi ya town ziko na estates za kishua ka hii. 👇🏾
View: https://youtu.be/pw2Qy-ynvtY?si=sxoeexRhdMj7Ft9a.
Nimekwambia tafuta takwimu sahihi.Sasa tuambie kwanini Iringa siyo jiji? Also mikoa mingine huini hapo maana population ni kubwa sana kuzidi mbeya
So you agree with my statement. Thank YouAs u speak Ukunduni has vibanda on her airports while Dodoma brand new international airport is about to be opened!
In fact Mikoa ya Kaskazini ya Nchi,Kati na Kanda ya Ziwa ukitoa pale Makao Makuu ya Mkoa huko kwingineko hakufai kuishi binadamu tofauti kabisa na Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambayo maendeleo Yako Hadi Vijijini na Wilayani huko.Moja Cha kigezo Cha kuwa jiji ni idadi ya watu na mapato, huwez kujenga barabara au masoko bila kuwa na mapato makubwa , kwa Tanga nje ya Tanga mjini hakuna wilaya inayoweza zalisha hata bil 6 kwa mwaka kama mapato ya ndani sasa utajengaje miundombinu ? Hiyo ni moja ya dalili ya kutokuwa na economic activity.
Mbeya wilaya yenye mapato kidogo ni rungwe yenye 5bil .
Usidanganyike na majengo pia economic activity ni kipimo Cha kuwa jiji.
Ndo maana dar Ina mapato makubwa kuliko sehemu yoyote tz sababu ni economic hub
Sasa fikiria kama Tanga isingekuwa na bandari ingekuwa na hali gani kimapato , si ingekuwa chini ya bil 5 , je barabara wangejengaje?
Economic activity za Tanga ni bandari tu wakati mbeya Ina vyanzo vingi vya kuingiza mapato.
Ushafikiria mbeya ikiwa na dry port ya maana itakuwaje?
u had vibandas n continue to have them, no difference!So you agree with my statement. Thank You
Nimekwambia tafuta takwimu sahihi.
Iringa ni Kijiji Kilichongangamka hakuna Cha population Wala Mapato makubwa hata ya kukaribia Mufundi DC.
Kuwa na population kubwa pekee sio kigezo Kikuu Bali population na Mapato.
Mji kama Tanga una population ndogo kuliko hata Sumbawanga ila ilibebwa na Mapato makubwa ya Jiji na makao Makuu ya Mkoa basi vinginevyo haitakiwi kuwa Jiji.
Mwisho Mbeya ni Mji wa 4 Kwa idadi kubwa ya watu Tanzania ikitanguliwa na Dar,Mwanza,Dom,Arusha ndio Mbeya.
View: https://x.com/i/status/2018729734306234818
Kaka tukiongelea Population mikoa mingi inaizidi Mbeya lakini siyo majiji. Na ukingalia kwa mapato Shinyanga inaizidi Mbeya lakini siyo jiji:
Dar es Salaam 5,383,728 Mwanza 3,699,872 Tabora 3,391,679 Morogoro 3,197,104 Dodoma 3,085,625 Kagera 2,989,757 Geita 2,977,608 Tanga 2,615,597 Kigoma 2,470,967 Mara 2,376,315 Arusha 2,356,255 Mbeya 2,343,754 Shinyanga 2,241,299 Simiyu 2,140,497 Manyara 1,892,502 Ruvuma 1,848,794 Songwe 1,644,353 Singida 1,370,637 Kilimanjaro 1,861,934 Pwani 1,164,285 Mtwara 1,634,985 Rukwa 1,540,519 Njombe 1,041,546 Iringa 1,192,072 Lindi 1,194,028 Katavi 1,153,231