Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa tuambie kwanini Iringa siyo jiji? Also mikoa mingine huini hapo maana population ni kubwa sana kuzidi mbeya
Tanzania, hadhi ya mji kuwa Manispaa au Jiji inaongozwa na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) [Local Government (Urban Authorities) Act, Cap. 288], kwa idhini ya Waziri mwenye dhamana na Rais kwa hadhi ya jiji.

Kwa kawaida, vigezo vikuu ni:
1. Idadi ya watu
Jiji: kawaida zaidi ya wakazi 500,000.
Manispaa: zaidi ya wakazi 80,000–100,000.
Mji mdogo (Town Council): zaidi ya wakazi 30,000.

2. Shughuli za kiuchumi
Uchumi imara wenye biashara, viwanda, huduma, masoko, benki, na mapato ya ndani ya kutosha.
Uwezo wa kukusanya mapato ya kuendesha huduma za jiji.

3 .Miundombinu
Barabara za uhakika
Maji safi
Umeme
Hospitali
Shule
Mfumo wa taka
Huduma za usafiri

4. Mpango wa matumizi ya ardhi
Urban planning/master plan rasmi
Maendeleo yaliyopangwa badala ya makazi holela
 

View: https://x.com/i/status/1948281842924159329
Screenshot_20260323-081159.jpg
 
Tanzania, hadhi ya mji kuwa Manispaa au Jiji inaongozwa na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) [Local Government (Urban Authorities) Act, Cap. 288], kwa idhini ya Waziri mwenye dhamana na Rais kwa hadhi ya jiji.

Kwa kawaida, vigezo vikuu ni:
1. Idadi ya watu
Jiji: kawaida zaidi ya wakazi 500,000.
Manispaa: zaidi ya wakazi 80,000–100,000.
Mji mdogo (Town Council): zaidi ya wakazi 30,000.

2. Shughuli za kiuchumi
Uchumi imara wenye biashara, viwanda, huduma, masoko, benki, na mapato ya ndani ya kutosha.
Uwezo wa kukusanya mapato ya kuendesha huduma za jiji.

3 .Miundombinu
Barabara za uhakika
Maji safi
Umeme
Hospitali
Shule
Mfumo wa taka
Huduma za usafiri

4. Mpango wa matumizi ya ardhi
Urban planning/master plan rasmi
Maendeleo yaliyopangwa badala ya makazi holela
Kigezo namba 3 kinaiodoa Mbeya kuwa jiji
 
Keep telling yourself that . I guess that’s why Tanzania runners flock to Eldoret for training and become pros. You should become their financial consultant and advise them to quit . Probably they can earn lots of money like you by being keyboard warriors in Tandale..😆😆😆
Babu jinga mbona mnapenda kujipa umuhimu na TZ,runner gani wa TZ anayetrain ukunyan?
 
Kigezo namba 3 kinaiodoa Mbeya kuwa jiji
Ila wewe Jamaa unachekesha.

Kwa hiyo Mbeya hakuna miundombinu,hakuna maji,hakuna Huduma za jamii (shule, hospital) ,hakuna umeme nk au? 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

Basi sawa kuanzia Leo Kwa tamko lako Mbeya sio Jiji 😂😂
 
Ukiangalia kwa umakini Manispaa ya Moshi inaizidi Mbeya kwa vigezo karibia vyote.
Kwenye miundombinu Moshi ipo juu sana kuizidi mbeya, huu ni ukweli
Bahati mbaya kigezo sio kimoja na vigezo vinabeba weights tofauti.

By the way size ya Manispaa ya Moshi vs size ya Mbeya ni vitu vitu 2 tofauti.
 
Bahati mbaya kigezo sio kimoja na vigezo vinabeba weights tofauti.

By the way size ya Manispaa ya Moshi vs size ya Mbeya ni vitu vitu 2 tofauti.
Vigezo hivi vinaitupa nje Mbeya, Mbeya ni shamba la nchi

2. Shughuli za kiuchumi
Uchumi imara wenye biashara, viwanda, huduma, masoko, benki, na mapato ya ndani ya kutosha.
Uwezo wa kukusanya mapato ya kuendesha huduma za jiji.

3 .Miundombinu
Barabara za uhakika
Maji safi
Umeme
Hospitali
Shule
Mfumo wa taka
Huduma za usafiri

4. Mpango wa matumizi ya ardhi
Urban planning/master plan rasmi
Maendeleo yaliyopangwa badala ya makazi holela
 
Ukiangalia kwa umakini Manispaa ya Moshi inaizidi Mbeya kwa vigezo karibia vyote.
Kwenye miundombinu Moshi ipo juu sana kuizidi mbeya, huu ni ukweli
Maspana ya Moshi Iko kwenye daraja la pili ambapo inatakiwa kutumia 60% ya mapato yake kwa ajili ya maendeleoa inamaaa mapato yake hayajafika bil 9.
Mbeya Iko daraja la kwanza ambapo inatumia 70% ya mapato yake kwenye maendeleo Ina maana mapato yake ni zaidi ya bil 9 . Moshi bado Iko nyuma sana ndugu
 
Vigezo hivi vinaitupa nje Mbeya, Mbeya ni shamba la nchi

2. Shughuli za kiuchumi
Uchumi imara wenye biashara, viwanda, huduma, masoko, benki, na mapato ya ndani ya kutosha.
Uwezo wa kukusanya mapato ya kuendesha huduma za jiji.

3 .Miundombinu
Barabara za uhakika
Maji safi
Umeme
Hospitali
Shule
Mfumo wa taka
Huduma za usafiri

4. Mpango wa matumizi ya ardhi
Urban planning/master plan rasmi
Maendeleo yaliyopangwa badala ya makazi holela
Vyanzo vya mapato jiji au mbeya jiji sio kilimo , kilimo hakifanyiki mjini.lazima kwanza ujue mbeya jiji inaanzia wapi na kuishia wapi.
Mapato ya jiji mara nyingi ni leseni, service levy ,parking , hotel levy na kadhalika. Ila mara nyingi majiji au manispaa karibia zote vyanzo vyake sio mazao ya kilimo bali uzalishaji na viwanda na majengo au hotel
 
Maspana ya Moshi Iko kwenye daraja la pili ambapo inatakiwa kutumia 60% ya mapato yake kwa ajili ya maendeleoa inamaaa mapato yake hayajafika bil 9.
Mbeya Iko daraja la kwanza ambapo inatumia 70% ya mapato yake kwenye maendeleo Ina maana mapato yake ni zaidi ya bil 9 . Moshi bado Iko nyuma sana ndugu
Mbona unachagua kaka vigezo. Vigezo umeweka mwenyewe. Nimeongelea Kigezo nambari 3 kama ulivyosema. Moshi ipo na miundo mbinu na services bora sana Mbeya haiwezi hata kukaribia. Je unakubaliana na mimi Mbeya inazidiwa miundombinu na Moshi?
 
Back
Top Bottom