mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Africa imebadilika kaka na bado nyie mko kikundi cha nchi ambazo zimelemewa na umasikini na kuivuta chini Africa kiuchumi na maendeleo.Nairobi hakuna uswahilini?Africa Ni ileile acheni kujitekenya