Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So Dar mitaa za level ya juu kabisa ni mbili? Nairobi ziko sita au saba ndo ufikie mitaa zungine kama Westlands, hurligham na zinginezo. I think what you call upper midlle class ndio lower middle class hapa Nairobi. Yote tisa, kumi ni kwamba Nairobi has better estates than Dar na hiyo mnafaa tu kukubi. Sio vibaya kukubi vitu zingine
Wewe ni mchezaji, wewe ni referee, wewe umemaliza kila kitu. Ukubwa wa Dar, ni mara tatu ya Nairobi, kwahiyo nikisema Masaki, inaweza kuwa ni 40% ya Nairobi, wewe unaangalia idadi ya sehemu bila kujali ukubwa wa eneo.

Tanzania malengo yetu ni kuongeza middle income na sio higher income, ndiyo sababu nikakutajia maeneo mengi sana ya middle income, kule Oysterbay na Masaki nilitaja Diplomats na wazungu

Kumbuka kwamba, Tanzania hatuna tofauti kubwa ya kiuchumi, ndiyo sababu hatuna Masikini wengi kama Kenya. Kitu ambacho huwa ninawadharau sana wakenya ni kuona ni kwa jinsi gani mnavyosifia kuwepo kwa matajiri wachache wakati wananchi wenu wengi zaidi wanaishi kwenye slums za kutisha, ingekuwa hizo slums zipo Tanzania, tungejisikia vibaya sana kushabikia maisha ya matajiri wachache wakati millions mwananchi anaishi maisha ya ajabu na aibu kama hizo slums za Kenya. Are you Kenyans mentally ok?
MV dar es salaam
View attachment 671269

where is mv mombasa😀😀😀😀
 
Darislum middle class estates
4c580babb8112d16a1ab21889a510ede.jpg
050462fe11abc5d4917929a661a3ecd9.jpg
c9d1d0c3d1d29ee02907bc68e22d7ba7.jpg
5c6b0e98859ba1e963bc821030e6363f.jpg
ccc3cb134239ac5885f6dbb318228bd2.jpg
e2264e8896055e75c30ee7e2636921da.jpg
6dadd719cfd5bebd0b101ca86402225c.jpg
7889d4be483fd49a92e003cf37a03c14.jpg
500102cf4559cdf1514e0adc6d8f6d8d.jpg
278850386b3da2bd8c51196bb40ac50a.jpg
b1f68bd037949d9477f37af9bb218655.jpg
861b8acbe7f6c8b7d25775b3799ef339.jpg
9d51db1552062710109f5a524bf252f6.jpg
 
Wewe ni mchezaji, wewe ni referee, wewe umemaliza kila kitu. Ukubwa wa Dar, ni mara tatu ya Nairobi, kwahiyo nikisema Masaki, inaweza kuwa ni 40% ya Nairobi, wewe unaangalia idadi ya sehemu bila kujali ukubwa wa eneo.

Tanzania malengo yetu ni kuongeza middle income na sio higher income, ndiyo sababu nikakutajia maeneo mengi sana ya middle income, kule Oysterbay na Masaki nilitaja Diplomats na wazungu

Kumbuka kwamba, Tanzania hatuna tofauti kubwa ya kiuchumi, ndiyo sababu hatuna Masikini wengi kama Kenya. Kitu ambacho huwa ninawadharau sana wakenya ni kuona ni kwa jinsi gani mnavyosifia kuwepo kwa matajiri wachache wakati wananchi wenu wengi zaidi wanaishi kwenye slums za kutisha, ingekuwa hizo slums zipo Tanzania, tungejisikia vibaya sana kushabikia maisha ya matajiri wachache wakati millions mwananchi anaishi maisha ya ajabu na aibu kama hizo slums za Kenya. Are you Kenyans mentally ok?
Hebu weka picha za hizo middle income Manzese na Mbagala sindano ituingie.
 
Am sure most people residing in this shanties have never seen a swimming pool in real life just because some of their leaders are sleeping on their job and misplaced priorities such as building a 90k capacity stadium in a Country where only a mere 24% have access to electricity.


most of the areas in Tanzania zinakaa tu hivo......hawa wasee wako down to sana.....they aren't ldc by mistake
 
I guess America's capital, Washington DC has nothing on Kisumu let alone Nairobi! I guess Your dreams are "valid" or should we say stupid?
Washington DC is fed by an interchange, Kisumu and Nairobi has an Interchange therefore both countries are in the same track. Does Tanzania have an existing one so far?
 
tafuta town kama hio kenya nzima ukiipata naomba unitag😀😀😀😀😀😀😀😀😀

5000 units of each kind ukiipata kenya unitag😀😀
lol........just Google all the gated communities in Kenya
 
Back
Top Bottom