COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Tuma screen shot yote
Tuma screen shot yote
😀😀😀😀😀😀😀😀Kumbe ni blog! I didn't even open the link coz I knew the information contained there is false. Kweli hawa wanajaribu kuproove a point
Wewe ni mchezaji, wewe ni referee, wewe umemaliza kila kitu. Ukubwa wa Dar, ni mara tatu ya Nairobi, kwahiyo nikisema Masaki, inaweza kuwa ni 40% ya Nairobi, wewe unaangalia idadi ya sehemu bila kujali ukubwa wa eneo.So Dar mitaa za level ya juu kabisa ni mbili? Nairobi ziko sita au saba ndo ufikie mitaa zungine kama Westlands, hurligham na zinginezo. I think what you call upper midlle class ndio lower middle class hapa Nairobi. Yote tisa, kumi ni kwamba Nairobi has better estates than Dar na hiyo mnafaa tu kukubi. Sio vibaya kukubi vitu zingine
Finally! umekubali ni Dar es salaam vs Mombasa...thank you.
kwan ulitaka niseme mv nairobi kwan nairobi kuna lake au ocean akili kichwani mwako😀😀😀😀Finally! umekubali ni Dar es salaam vs Mombasa...thank you.
Hebu weka picha za hizo middle income Manzese na Mbagala sindano ituingie.Wewe ni mchezaji, wewe ni referee, wewe umemaliza kila kitu. Ukubwa wa Dar, ni mara tatu ya Nairobi, kwahiyo nikisema Masaki, inaweza kuwa ni 40% ya Nairobi, wewe unaangalia idadi ya sehemu bila kujali ukubwa wa eneo.
Tanzania malengo yetu ni kuongeza middle income na sio higher income, ndiyo sababu nikakutajia maeneo mengi sana ya middle income, kule Oysterbay na Masaki nilitaja Diplomats na wazungu
Kumbuka kwamba, Tanzania hatuna tofauti kubwa ya kiuchumi, ndiyo sababu hatuna Masikini wengi kama Kenya. Kitu ambacho huwa ninawadharau sana wakenya ni kuona ni kwa jinsi gani mnavyosifia kuwepo kwa matajiri wachache wakati wananchi wenu wengi zaidi wanaishi kwenye slums za kutisha, ingekuwa hizo slums zipo Tanzania, tungejisikia vibaya sana kushabikia maisha ya matajiri wachache wakati millions mwananchi anaishi maisha ya ajabu na aibu kama hizo slums za Kenya. Are you Kenyans mentally ok?
hasira imekushika baada ya zanzibar kukata makende yako😀😀Darislum middle class estates
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Am sure most people residing in this shanties have never seen a swimming pool in real life just because some of their leaders are sleeping on their job and misplaced priorities such as building a 90k capacity stadium in a Country where only a mere 24% have access to electricity.
Dar vs Mombasa.kwan ulitaka niseme mv nairobi kwan nairobi kuna lake au ocean akili kichwani mwako😀😀😀😀
hasira zimekubamba leo😀😀😀😀😀Dar vs Mombasa.
fumba town zanzibar, 5000 units of each kindmost of the areas in Tanzania zinakaa tu hivo......hawa wasee wako down to sana.....they aren't ldc by mistake
Washington DC is fed by an interchange, Kisumu and Nairobi has an Interchange therefore both countries are in the same track. Does Tanzania have an existing one so far?I guess America's capital, Washington DC has nothing on Kisumu let alone Nairobi! I guess Your dreams are "valid" or should we say stupid?
tafuta town kama hio kenya nzima ukiipata naomba unitag😀😀😀😀😀😀😀😀😀mmeanza kuunda estates angalau...that's good ......mkiunda kama estates elfu moja kama hizo mnaweza kujitoa katika kundi la fedheha
Washington DC is fed by an interchange, Kisumu and Nairobi has an Interchange therefore both countries are in the same track. Does Tanzania have an existing one so far?
Are Kenyans allowed to buy ? they are a good investment.
lol........just Google all the gated communities in Kenyatafuta town kama hio kenya nzima ukiipata naomba unitag😀😀😀😀😀😀😀😀😀
5000 units of each kind ukiipata kenya unitag😀😀
foreigners are not allowed to own land in tanzania very sorry and remember some units cost 300,000 usd upto 400,000 usdAre Kenyans allowed to buy ? they are a good investment.