El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Oooo kwaivyo in tz jengo ikifika 10 floor no city
Kwanza siku niliona picha ya tanga karibu nizirai
Oooo kwaivyo in tz jengo ikifika 10 floor no city
Jitie kidoleEvidence?
the only cable stayed bridge in east and central africa haina mfano wake😀😀😀😀😀😀Ina nn bridge pia msa tuna nyali bridge
Ongea kama walau ulimaliza form 4 basi,mana unakua kama umeokota simu sasa unatapatapaOooo kwaivyo in tz jengo ikifika 10 floor ni city
Aerial view of upperhill in dardream-houses in dar is slum...
View attachment 669299
Hizo taa hazina tofauti na hii![]()
![]()
![]()
![]()
na alashabab wanakuja pia beach 😀😀😀Sisi tunakuza domestic tourist iyo DSR yenu walalas wamezoea Hanna domestic tourist kabisa...sisi...Mombasa wakati wa holiday utawaona ..wakikuyu wajaluo wasomali.wakamba wamijikenda.wa nandi...kwa beach
Wewe ukieliwe unavyo kiandikaOngea kama walau ulimaliza form 4 basi,mana unakua kama umeokota simu sasa unatapatapa
Hivi hiki ni kiswahili ama unaandika kilugha cha huko kenya.Ujui vile barabara zenu zime pararaa.na jua....wololo
Izo koroboi za nn sasa mmening'inizaSlow but sure tutaki kuwa na tower iliporomoka kama ile yen u

Utakua na dalili za kifafa wwKwanza siku niliona picha ya tanga karibu nizirai
Aerial view of upperhill in dar
where is the official link sasa😀😀😀😀Millionaire in Nairobi only kubwa k ushinda Tanzania Rwanda and Uganda combine
Kenyan arrested by Tanzania police over 'albino sale' - BBC NewsTanzania inajulikana dunia kote kwa uwindaji wa albino wala hilo sio swala la kudebate
huo mji wa Dar hapana.........outside the cbd kariakoo and upanga areas kwengine kote ni ugly sana
Masakihuo mji wa Dar hapana.........outside the cbd kariakoo and upanga areas kwengine kote ni ugly sana
bibie sijui ni wewe ama nimekufananisha,wakaa Arusha?Hivi hiki ni kiswahili ama unaandika kilugha cha huko kenya.
naona leo maumivu makali sana umeyapata😀😀kama za Mombasa tu......mkatae mkubali
Masaki
Osterbay
Mbezi beach
Mikocheni
Izo weka mbali na watoto. ...uko kwenu mngesema ni Miji ndani ya jiji