Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunabagua kwenye lugha lakini nyinyi mnabagua kwenye rangi na maumbile ya mtu. Mbona hiyo elimu yenu "bora" hajawazuia kuwinda albino mithila ya swara? Wewe huoni kama hilo ni ubaguzi wa hali ya juu kushinda hata ukabila?
Mbona ninyi ni terrorist state, unawezaje kujiita mnaelimu bora wakati Kenyans are terrorists?
 
Ulitegemea 30$ ikufanye millionaire?
The point is mko na millionaire wengi lakin apo chini wengi juakali
Asante kwa kukubali kwamba tuko na millionaires wengi kuwaliko. Next nataka pia ukubali kuwa tuko na a bigger middle class kuwashinda na kwamba nyinyi ni ldc wakati sisi hatuko huko. it won't make you a lesser man
 
Mbona ninyi ni terrorist state, unawezaje kujiita mnaelimu bora wakati Kenyans are terrorists?
Nitajie hao wakenya magaidi kwa majina moja baada ya mwingine na counties wanazotoka.
Ni dhahiri kwamba umeishiwa hoja
 
Nitajie hao wanaowinda albino mmoja baada ya mwengine, mikoa wanayotoka, ni wazi umeishiwa hoja
Mmoja wao ni joto la jiwe, mnyamwezi hodari anayejulikana tanzania kote kwa uwindaji wa albino kutumia katika ushirikina
 
Mkuki House Mall
dd266989ca297bb59caa58cba72ee70d.jpg
i
5b425766768b535e1da8d89d9779d606.jpg
2c2764b43970db63f6c1567cd4d10c28.jpg
281335d6349f98ad8c973ad25340b9ed.jpg

Some more pics
6fea5ca5cc64a86fd92eade3f4c3233d.jpg

a00d7a7d54b89e0da4d7b58154808390.jpg
431cb53125b08fad0becf13efaf017c7.jpg

93849f383eafe5da10ffce3f3275c886.jpg
 
Mbona umerudi kwa archives? Hizi tumeonyeshwa hapa mara mia tena tumezichoka. Kwani hakuna kipya Dar ya kuonyesha ulimwengu isipokuwa earial views za hizo three blue towers? show us simething new. Maybe estates, wide clean roads, shopping malls na kadhalika. variety is the spice of life, kumbuka


dar is slum
 
Back
Top Bottom