Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunakuza domestic tourist iyo DSR yenu walalas wamezoea Hanna domestic tourist kabisa...sisi...Mombasa wakati wa holiday utawaona ..wakikuyu wajaluo wasomali.wakamba wamijikenda.wa nandi...kwa beach
Tatizo linalokusumbua wewe ni ushamba wa kutokutembea nje ya nyumba za Kibera na Korogocho, wewe unadhani kwanini tunapata pesa mara nne zaidi yenu, robo ya revenue itokanayo na utalii wetu inatokana na utalii wa ndani, hiyo ni karibu sawa na mapato yenu yote ya utalii, yaani jumlisha mapato ya utalii wenu wa ndani pamoja na utalii wa nje.

Kama watalii wetu wa ndani wakiamua kuja kutembea Kenya, hamtohitaji wazungu kuja kutalii Kenya, kwasababu mtapata fedha sawa na hizo wanazowaleteeni wazungu.
 
Hizi thread zinanipaga raha sana kusoma.. Kama mbongo nadhani facts ziwe facts.. Nairobi imetuzidi sana kimiundombinu haswa barabara na reli.. Watanzania waliofika ama kuishi Nairobi watakubaliana nami kwa hili. Cha msingi ni kuwa kwa sasa Dar nayo inajitahidi kukechi up ingawa naona kwa kiasi kikubwa ni majengo tu yanapanda lakini barabara na miundombinu mingine kama ya barabara (including public transport.. And yes najua kuhusu BRT), intaneti ya mwendo kasi N.K.vinasua sua sana..
 
kama za Mombasa tu......mkatae mkubali
Masaki
9183444c2b67b7cc6be6520cc9e1afc4.jpg

247d08a3e1dd8831fbff8633f029ac31.jpg

Oysterbay
f7bdfa1efe38013aa269d124dc64bbf8.jpg
8ac2600c073d865b5bfc9cfb18129da2.jpg
 
I can see mumeenda above the clouds ndio Nairobi isionekane......satellite view.
sasa leta a visible aerial view of Nairobi
Hivi ile picha mnayoitumia hapa ya Dar kutoka far above kuonyesha kuna slums, mbona hatukulalamika?
 
dar is slum

c6c162c69071598b675a785fdbbfa4f0.jpg
1d8329b01e3be32451d8bc357893fef3.jpg
cc650ddc7a4c99d627f9144a4cc39071.jpg
c2bf787f6aa91a9a424770c81aae77a2.jpg
81032cf3f53fc9c2eb669a6ce63ac5a2.jpg
Picha ya kwanza na ile ya pili, sio Dar, lete ushahidi kuthibitisha hii ni Dar, hakuna land mark yoyote ya Dar hapo, picha ya tatu hiyo ni Dar, lakini subject ya picha hii ni hilo jengo refu hapo, unaweza kuliona na kulifanyia tathmini, lakini zile nyumba kwa mbali, kinachoonekana ni bati za nyumba pekee huwezi kufanya analysis yoyote ile, na picha mbili za mwisho, zimepigwa kutoka mbali hewani huwezi kutofautisha kati ya nyumba ya ghorofa na kawaida, kwanini msipige picha mtu akiwa chini ardhini kama zile za Kibera zinaxowekwa ili tuone aina za nyumba kama ni tofali au sheet, tuone drainage system, na roads, mnaficha nini?
 
Ndinda ukipata time piga picha Mbezi beach,mikocheni bahari beach utume huku, najua sehemu kali ziko mob Ila hawa wazembe wanaleta Maneno ya khanga
 
Ndinda ukipata time piga picha Mbezi beach,mikocheni bahari beach utume huku, najua sehemu kali ziko mob Ila hawa wazembe wanaleta Maneno ya khanga
Huko Mbuzi beach na Mkochini kunanini cha maana?
 
Back
Top Bottom