Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

57986e4285f1789e32546430d7d1542c.jpg
cheka
Mmeamua kufunga chemli sio
 
Tanga nalo pia jiji????
Halafu Mbeya vipi, hawazindui Lift nyengine?
Last time kwenda Mbeya nimeona ndio wanajengo kubwa la floor 10...Mbeya wanarestriction kwa majengo Marefu! !
Ulienda shule unajua sababu ni nn!!
CC;Elimu ya kenya
 
Last time kwenda Mbeya nimeona ndio wanajengo kubwa la floor 10...Mbeya wanarestriction kwa majengo Marefu! !
Ulienda shule unajua sababu ni nn!!
CC;Elimu ya kenya
Oooo kwaivyo in tz jengo ikifika 10 floor no city
 
Last time kwenda Mbeya nimeona ndio wanajengo kubwa la floor 10...Mbeya wanarestriction kwa majengo Marefu! !
Ulienda shule unajua sababu ni nn!!
CC;Elimu ya kenya
Oooo kwaivyo in tz jengo ikifika 10 floor ni city
 
nawaambianga hawa watanzania wana akili size ya njugu.......huwa na shake tu kichwa kwa mshangao na kuendelea na shughuli ya kujenga uchumi
Kenya kila mara tunawaambia, elimu yenu imejikita zaidi katika kusambaza ukabila, rushwa na Kiingereza pekee, hivi unajua maana ya biashara?, production, distribution, marketing and sales, unaweza kuzalisha kwa wingi lakini ukashindwa kutimiza hivyo vipengele vilivyobaki, haina maana anayezalisha kwa wingi ndiye anayeuza kwa wingi, ndiyo sababu Uhuru Kenyatta alikuwa anazuia maziwa ya Tanzania ili auze kwa wingi Kenya, Magufuli amemgundua sasa hivi anakula naye sahani moja, subirini maziwa bora na yenye ladha tofauti yanaingia hapo Nairobi, you gonna test Bongo flavor test in milk.
 
Kenya kila mara tunawaambia, elimu yenu imejikita zaidi katika kusambaza ukabila, rushwa na Kiingereza pekee, hivi unajua maana ya biashara?, production, distribution, marketing and sales, unaweza kuzalisha kwa wingi lakini ukashindwa kutimiza hivyo vipengele vilivyobaki, haina maana anayezalisha kwa wingi ndiye anayeuza kwa wingi, ndiyo sababu Uhuru Kenyatta alikuwa anazuia maziwa ya Tanzania ili auze kwa wingi Kenya, Magufuli amemgundua sasa hivi anakula naye sahani moja, subirini maziwa bora na yenye ladha tofauti yanaingia hapo Nairobi, you gonna test Bongo flavor test in milk.
Hiyo ya bongo flavor nimeipenda.
 
Back
Top Bottom