"Sio kama kwenu, ukienda Turkana, wajir and northern part, bado hakuna lami..." That statement above just shows how ignorant/misinformed you are about kenyan affairs. Unajifanya wajua wakati in the real sense hakuna unachijua. Unachosahau ni kwamba lapset inapitia kwa hizo counties ulizotaja ikienda Ethiopia na south sudan. lapset, among others are a few examples about how northern kenya is changing. A week ago, a docuentary aired on NTV about the changing face of northern Kenya in matters road network. Below is a link to a thread here on JF touching on road networks in northern Kenya. Jielimishe kidogo
Kaskazini ya Kenya yazidi kufunguka, maendeleo kote