Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
alafu tuko mwaka gani?Hii ya 2007...awd ni gar inamfaa kijana
alafu tuko mwaka gani?Hii ya 2007...awd ni gar inamfaa kijana
we kilaza nini? legacy ni subaru...na legacy ni toleo la zamani...ndio, kuna subari za kisasa ila legacy ni ya zamani sana...Hata benzi ni gari ya zamani.kwani kuna kampuni ya magari imeanza kuzalisha mwaka jana magari unaifahamu???
Ok. Nyc explanationsyet you live in an LDC and one of the poorest countries in the world... a fourth world country...outside Dar, you have villages where ppl live in forests together with wild animals and ur airports look like mud huts and u are here talking nonsense..watz wenzako wanakunya msituni sababu most tanzanians dont have accss to toilets and ur fellow counyrtymen are begging for nickels and dimes in Nairobi's CBD...😀😀😀hapa kazi tu Mungu ibariki tanzania😀😀😀
Usibishane nao broAcha kulinganisha vitu vya kijinga wewe, matajiri wachache wanasaidia nini nchi kwa ujumla, Mombasa inanuka kwa takataka zilizozagaa mitaani, hao matajiri wanasaidiaje?, ndiyo maana tunawaambia akili zenu wakenya ni kama za kuku, ninyi ni sifa tu za kijinga ndizo zinazowasumbua, linganisha mambo yenye impact kwa wananchi walio wengi, kama vile, huduma za jamii, job creation, health,education, food security, water, security, infrastructure, na mambo kama hayo, sasa matajiri wewe wanakusaidiaje?
pengine kwa akili yako pekee...dunia yote inajua kuwa Kenya ndio inaongoza afrika mashariki na kati...ndio maana makampuni yote ya nje yamo na headquartrs Nairobi na sio kwingineOk. Nyc explanations
But in reality, we're the east african Giants
Even yhe world knows North Korea as the poorest country, but in reality, its one of the well endured countries
Ukiwa mkenya kazi yako ni kufoka tu,bila fact.we kilaza nini? legacy ni subaru...na legacy ni toleo la zamani...ndio, kuna subari za kisasa ila legacy ni ya zamani sana...
jamaa mwenyewe kakubali ana legacy ya 2007 ndugu..kuwa unauliza kwanza...sio kufululiza upumbavu wako namna hii...Ukiwa mkenya kazi yako ni kufoka tu,bila fact.
Unajua ni ya mwaka gani??
gari lenyewe ndio hili hapaHii ya 2007...awd ni gar inamfaa kijana
Acha ubatamaji kijana.jamaa mwenyewe kakubali ana legacy ya 2007 ndugu..kuwa unauliza kwanza...sio kufululiza upumbavu wako namna hii...
smh...jamaa alisema kuwa ana subaru legacy ya 2007...nikamwambia hio ni gari ya zaman sana hata nilipokuwa darasa la 7 nilikuwa naliona...sasa wewe umekimbia Google kutafta gari lingine tofaut kabisa...ndio maana huwa watu wakizungumza inabidi unawawacha wamalize mazungumzo yao...sio kuingilia na kiherehere mambo yasiyokuhusu na kujiaibisha...subaru legacy hii hapaAcha ubatamaji kijana.
Embu rejea maelezo yako,kwamba legency ni ya zamani sana,hiyo ni ya mwaka jana tu.
Unaandika ujinga wa wakenya wote.
we kilaza nini? legacy ni subaru...na legacy ni toleo la zamani...ndio, kuna subari za kisasa ila legacy ni ya zamani sana...
haya kanya mkenya gani???Hapa unaruka kama sio wewe.achaga ufala buda.smh...jamaa alisema kuwa ana subaru legacy ya 2007...nikamwambia hio ni gari ya zaman sana hata nilipokuwa darasa la 7 nilikuwa naliona...sasa wewe umekimbia Google kutafta gari lingine tofaut kabisa...ndio maana huwa watu wakizungumza inabidi unawawacha wamalize mazungumzo yao...sio kuingilia na kiherehere mambo yasiyokuhusu na kujiaibisha...subaru legacy hii hapa
![]()
But in reality nyie ni maskini wa kutupwapengine kwa akili yako pekee...dunia yote inajua kuwa Kenya ndio inaongoza afrika mashariki na kati...ndio maana makampuni yote ya nje yamo na headquartrs Nairobi na sio kwingine
Zipo adi legacy za kileowe kilaza nini? legacy ni subaru...na legacy ni toleo la zamani...ndio, kuna subari za kisasa ila legacy ni ya zamani sana...
hahahaha...ati hataki mambo kundu...you nailed it bro.Wewe orodhesha hao wafukuza upepo tu ndio wataleta mia mia kwenu hapo.lupita hataki mambo ya dongo kundu.

Una wivu wa kike wee jamaaa daaaa hahahahawasanii wanaojivunia watz wote wapo afrika kusini wametoroka umaskini...afadhali waimbaji wa Kenya wanapiga video zao humu na kuishi humu😀😀😀kina Kiba wamefinyana kule kana kwamba ni viberiti😀😀
Wanafaida gan kwa ukosefu wa chakula kenyaa??? hahahahaglobal icons
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahahaha umeliwezaWivuu, South africa ni ndugu zetu wa damu, tunaingia na kutoka kwa kutumia ID, any time we want![]()
![]()
![]()