Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wasanii wanaojivunia watz wote wapo afrika kusini wametoroka umaskini...afadhali waimbaji wa Kenya wanapiga video zao humu na kuishi humu😀😀😀kina Kiba wamefinyana kule kana kwamba ni viberiti😀😀
 
job well-done kikuyu landlord for this lesson.

next time they will pay rent on time since majority can't afford to own their own dream houses in nairobi.

43612ab43f9638b30bc6eed7f186d2a7.jpg

Hivi hiyo roho ya binadam au ya pakaa kwel roho mbaya iko kwa genes zamajitu flan
 
wasanii wanaojivunia watz wote wapo afrika kusini wametoroka umaskini...afadhali waimbaji wa Kenya wanapiga video zao humu na kuishi humu😀😀😀kina Kiba wamefinyana kule kana kwamba ni viberiti😀😀
Wivuu, South africa ni ndugu zetu wa damu, tunaingia na kutoka kwa kutumia ID, any time we want
 
sultan joho kwenye kuomba kura zake zote humtumia Alikiba maana alikiba anakubalika sana pwani ya kenya
 
Back
Top Bottom