Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asante kilaza wa Dar😀😀
diamond anatoka kwa juhudi zake ndio maana anamiliki nyumba mpaka nairobi, SA na dar ndio usiseme ananyumba kibao za maana, hali kadhalika Alikiba ananyumba nyingi dar na ananyumba uingereza so mafanikio ya wasanii wetu yanatokana na juhudi zao.
music industry in kenya ilishakufa kitambo sana😀😀
 
wasanii wanaojivunia watz wote wapo afrika kusini wametoroka umaskini...afadhali waimbaji wa Kenya wanapiga video zao humu na kuishi humu😀😀😀kina Kiba wamefinyana kule kana kwamba ni viberiti😀😀
Hao wenu wamefika wapi,pamoja na kufanya video hapo kwenu?
 
alichotoroka Diamond...ndio maana kaamua kuwa mkimbizi kule afrika kusini😀😀😀
5H-TKQ_1.jpg
PIC+atcl.jpg
1200px-Arusha_Airport.jpg
 
Legacy machine bana ata jamaa zang wenye bmw nafukuzana nao
Pwahaha umenikumbusha nilipokuwa mchanga class 7...kuna jamaa likuwa napenda sana ku park lgacy yake kwetu ila hakuwa akiishi pale....Lgacy ni gari ya zamani sana kaka...
 
Pwahaha umenikumbusha nilipokuwa mchanga class 7...kuna jamaa likuwa napenda sana ku park lgacy yake kwetu ila hakuwa akiishi pale....Lgacy ni gari ya zamani sana kaka...
Hamna gar isio ya zaman kama umejisahau
toleo ndio humata...sasa sijui utachomokea wap,subaru ndio habar ya mjn
 
Pwahaha umenikumbusha nilipokuwa mchanga class 7...kuna jamaa likuwa napenda sana ku park lgacy yake kwetu ila hakuwa akiishi pale....Lgacy ni gari ya zamani sana kaka...
Hata benzi ni gari ya zamani.kwani kuna kampuni ya magari imeanza kuzalisha mwaka jana magari unaifahamu???
 
Back
Top Bottom