TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Unagrow wakati mnazidi poteza walipa kodi au hiyo kodi walokuwa wanalipa hao nakumatti wataongezewa hao unaowataja hapo ????kuwaga na akili mnapoteza kodi hao wanavyofilisika usibishe asee utaonekana huna akili sasaNakumatt ikikufa NAIVAS na Tuskys inagrow ama inachukua space ya nakumatt ....hakuna ku shuka uchumi unaendelea kugrow