Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna kitu nyie malofa mnatia huruma mioyon mkija jf ndio mnajitutumua kaa mtu anakata gogo hahahahaha
una hasira sana bro
emoji23.png
emoji23.png
...sijui maisha yamekuwa magumu Manzese?
emoji23.png
emoji23.png
punguza pressure ndugu....umaskini ukiongezea hasira na pressure unakufa hata kabla ya miaka 40...
emoji23.png
emoji23.png
usipumue joto hivyo cool down...this is just a forum bro
emoji23.png
emoji23.png
 
uhasama na chuki kati ya wakenya na wabongo ila hatujawahi hayta kuenda vitani.
emoji23.png
emoji23.png
..wanajshi wa Kenya wamo Soali na Sudan...wanajeshi wa tz wamo DRC na Burundi...ila chuki nzito ipo kati ya wakenya na watz....
Sio chuki boyaa wewee ...tunawambia ukwel ka mlivyokua mnatwambia enzi zile na tunakua wapole..bt now lazma ukwel muambiwe maana mmekazania kujisifia wakat mnajua percentage za economic growth yenu haiend ka ilivozoeleka zaman ...watz tunataka muamke ka mlivyotuamsha sisi maana nyie sifa zmezid hadi mmebweteka ..shaur yenuu
 
Sio chuki boyaa wewee ...tunawambia ukwel ka mlivyokua mnatwambia enzi zile na tunakua wapole..bt now lazma ukwel muambiwe maana mmekazania kujisifia wakat mnajua percentage za economic growth yenu haiend ka ilivozoeleka zaman ...watz tunataka muamke ka mlivyotuamsha sisi maana nyie sifa zmezid hadi mmebweteka ..shaur yenuu
mbona hasira pimbi wa Tandale?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ushaenda kazini kweli?
emoji23.png
emoji23.png
mnakua kwa haraka sana bro nakubaliana ila mbona kiuhumi hamjawahi kuifikia Kenya?
emoji23.png
emoji23.png
 
una hasira sana bro
emoji23.png
emoji23.png
...sijui maisha yamekuwa magumu Manzese?
emoji23.png
emoji23.png
punguza pressure ndugu....umaskini ukiongezea hasira na pressure unakufa hata kabla ya miaka 40...
emoji23.png
emoji23.png
usipumue joto hivyo cool down...this is just a forum bro
emoji23.png
emoji23.png
Unahisi kila mtu anakaa manzese eehhh polee anko bt unajua nn mi naona ka wakenya mmeridhka na huo udc wenu kiasi kwambaa hamjali maaisha ya mmoja mmoja ...tatueni matatzo ya mtaan hayo mambo ya kusomaga data zko juu wakati reality unaijua hapo hamtukomoi sisi bali mnajidanganya wenyewe
 
Sio chuki boyaa wewee ...tunawambia ukwel ka mlivyokua mnatwambia enzi zile na tunakua wapole..bt now lazma ukwel muambiwe maana mmekazania kujisifia wakat mnajua percentage za economic growth yenu haiend ka ilivozoeleka zaman ...watz tunataka muamke ka mlivyotuamsha sisi maana nyie sifa zmezid hadi mmebweteka ..shaur yenuu
Infact ile gap inaendlea kupanuka
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
poleni ndugu zetu
upload_2018-1-3_9-32-34.png

View attachment 667127
 
mbona hasira pimbi wa Tandale?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ushaenda kazini kweli?
emoji23.png
emoji23.png
mnakua kwa haraka sana bro nakubaliana ila mbona kiuhumi hamjawahi kuifikia Kenya?
emoji23.png
emoji23.png
Megundua kuelewa umeelewA sema unaleta usimba na uyanga ...unaniulza nipo kazin saa tatu huku tunaanza kaz saa moja au unadhan wote waajiliwa humu hahahahahah
 
Unahisi kila mtu anakaa manzese eehhh polee anko bt unajua nn mi naona ka wakenya mmeridhka na huo udc wenu kiasi kwambaa hamjali maaisha ya mmoja mmoja ...tatueni matatzo ya mtaan hayo mambo ya kusomaga data zko juu wakati reality unaijua hapo hamtukomoi sisi bali mnajidanganya wenyewe
nanyi mtatue ya omba omba watz waliojaa Nairobi😀😀😀😀...tumewalisha ya kutosha
 
Megundua kuelewa umeelewA sema unaleta usimba na uyanga ...unaniulza nipo kazin saa tatu huku tunaanza kaz saa moja au unadhan wote waajiliwa humu hahahahahah
aliyesema wewe kaajiriwa nani?😀😀😀😀yaani matatizo yamezidi mpaka unajikanganya😀😀
 
aliyesema wewe kaajiriwa nani?😀😀😀😀yaani matatizo yamezidi mpaka unajikanganya😀😀
Hahahahahaha sawa jirani tajiri ...tutasema nn sisi ldc kwenu nyie dc ..hahahahaha mgema akisifiwa....................(malizia hiyo )
 
huwa tunawakamata ila wanarudi na vikombe vyao toka Kariakoo😀😀😀 naona uchumi unakuwa bro mko sawa sana bro mpaka mna export beggars😀😀😀makofi kwenu bro😀😀😀
Hahahahaha beggars wa tz wana hadi nauli ya kurudi huko hahahahaha basi sababu c majiran basi tunaomba mwendelee kututunzia ndugu zetuu au sio
 
Hahahahahaha sawa jirani tajiri ...tutasema nn sisi ldc kwenu nyie dc ..hahahahaha mgema akisifiwa....................(malizia hiyo )
ubaya yenu bro nikujifanya mko sawa kimaisha ila hali halisi sivyo..😀😀.huwez ukamdangaya jirani bro😀😀😀
omba omba wamejaa Nairobi
Lissu na opposition leaders wamefinywa finywa makende mpaka hawawez fungua mdomo kamwe
media walishanyoroshwa
waimbaji wamekamatwa mpaka wamekimbilia wote afrika kusini...
kisha uje utudanganye kuwa maisha tanzania ni mazuri😀😀😀😀sio sisi...wadanganye wengine bro😀😀
 
ubaya yenu bro nikujifanya mko sawa kimaisha ila hali halisi sivyo..😀😀.huwez ukamdangaya jirani bro😀😀😀
omba omba wamejaa Nairobi
Lissu na opposition leaders wamefinywa finywa makende mpaka hawawez fungua mdomo kamwe
media walishanyoroshwa
waimbaji wamekamatwa mpaka wamekimbilia wote afrika kusini...
kisha uje utudanganye kuwa maisha tanzania ni mazuri😀😀😀😀sio sisi...wadanganye wengine bro😀😀
Hili povu sasa
 
Tunashukuru ndugu yetu anasimama siku hizi...mbona nyie kenya noma madaktar wenu wako fit sana tunawashukuru aseee jiran..
MOla amfariji...alafu vipi kuhusu albino bro? mlikoma kuwasaka kama wanyama?😀😀😀 Tanzania nchi bora zaidi duniani😱😀
 
Back
Top Bottom