Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kutopangilia mji ni kosa la serikali sio mwananchi anaenunua kiwanja. Sheria za mipango miji zipo ila rushwa na uzembe serikalini ndio sababu hazifuatwi. Hata huduma serikali ndio jukwaa lake. Zoezi la kuweka address sasa hivi hadi porini huko mitaa ina majina na namba. Hata unayoiona haina ukienda serikali za mitaa utapiewa jina na namba.

hakuna mahali nimelaumu mwananchi, najua ni kosa la serikali kuruhusu kila mtu kujenga vibanda kiholela kila mahali.

siyo kila mahali ni pakujenga kila kibanda, dar ina square km >1500 ni nyingi sana lkn hakuna hakuna park ya watu kupumzika, viwanja vya michezo vya watoto na vijana vyote vimejengwa vibanda, ukiangalia bird eye view ya dar unaweza kulia, ushawahi kutua dar na ndege halafu ukaangalia chini mabati kutu kila mahali, not good.

ukiingia dar unatokea nje ya nchi kwa hali ya kawaida mtu anakuwa na shauku ya kuona mji lkn kuanzia kibaha kushuka haivutii kabisa, vibanda, gereji bubu kila mahali magenge ya nyanya na mkaa just chaos, ukiangalia mabondeni kimara wamejenga kiholela no planning, mji una watu zaidi ya milioni 5 lkn hakuna highway system ya kuzunguka mji, kuna watu wanatumia masaa 4 kwenda na kurudi kazini kila siku kwenye usafiri tu, not good, dar siyo mji beautiful kabisa yaani, na ukiniuliza mimi dar is a lost cause, labda tujaribu dodoma na miji mingine kwa kujifunza kutokana na makosa tuliofanya …
 
hakuna mahali nimelaumu mwananchi, najua ni kosa la serikali kuruhusu kila mtu kujenga vibanda kiholela kila mahali.

siyo kila mahali ni pakujenga kila kibanda, dar ina square km >1500 ni nyingi sana lkn hakuna hakuna park ya watu kupumzika, viwanja vya michezo vya watoto na vijana vyote vimejengwa vibanda, ukiangalia bird eye view ya dar unaweza kulia, ushawahi kutua dar na ndege halafu ukaangalia chini mabati kutu kila mahali, not good.

ukiingia dar unatokea nje ya nchi kwa hali ya kawaida mtu anakuwa na shauku ya kuona mji lkn kuanzia kibaha kushuka haivutii kabisa, vibanda, gereji bubu kila mahali magenge ya nyanya na mkaa just chaos, ukiangalia mabondeni kimara wamejenga kiholela no planning, mji una watu zaidi ya milioni 5 lkn hakuna highway system ya kuzunguka mji, kuna watu wanatumia masaa 4 kwenda na kurudi kazini kila siku kwenye usafiri tu, not good, dar siyo mji beautiful kabisa yaani, na ukiniuliza mimi dar is a lost cause, labda tujaribu dodoma na miji mingine kwa kujifunza kutokana na makosa tuliofanya …
Lakini umesema sio kila mwanachi lazima anunue kiwanja ajenge ndio sababu ya uholela. Uholela ni uzembe wa serikali na sio wananchi kununua viwanja na kujenga. Hayo yote uliosema hapo juu ni uzembe wa serikali.
Na kuondoa hio yote ni serikali inayoweza kuondoa hizo unplanned settlements.

Walichofanya Magomeni Kota wanaweza kufanya sehemu nyingi jijini. Kenya wanafanya hivyo Nairobi we still have time.
 
Lakini umesema sio kila mwanachi lazima anunue kiwanja ajenge ndio sababu ya uholela. Uholela ni uzembe wa serikali na sio wananchi kununua viwanja na kujenga. Hayo yote uliosema hapo juu ni uzembe wa serikali.
Na kuondoa hio yote ni serikali inayoweza kuondoa hizo unplanned settlements.

Walichofanya Magomeni Kota wanaweza kufanya sehemu nyingi jijini. Kenya wanafanya hivyo Nairobi we still have time.

dar ya zamani ilikuwa poa, well planned mfano magomeni, ilala, temeke, mpaka kinondoni, mwananyamala, sehemu za kurasini, changombe yote sawa shida ilikuja walipoanza kuvuka mipaka ya dar original na kuongeza mfano sinza ni mpya pia walijaribu plan ya sinza ni nzuri sema pia wameiharibu kwenye ramani ya sinza original kuna maeneo ya wazi kwa ajili ya parks, viwanja vya michezo kwa ajili ya watoto lkn wamejenga kote, mbezi beach tulikuwa tunaita nje kidogo ya jiji la dar leo hii huwezi kuita mbezi beach hivyo imeshaungana na kawe, na mbezi beach ilikuwa posh klk hata masaki ukiangalia ramani original ya mbezi beach haina mfano very nice ila utekelezaji sasa wakaanza kujenga kwenye mito ambayo inatoka mbezi juu huko kibaha kueleka baharini na kuiziba yote matokeo yake mvua zikianza mafuriko maji hayana pa kwenda ingawaje bahari iko hapo hapo lkn maji yanajaa barabarani ramani original ya mbezi beach inaonyesha mito inapopita, leo hii wamejenga kwenye eneo la mikoko na ambalo kisheria ni hifadhi halipaswi kuguswa na wamejenga mavila.

kwa maoni yangu mbezi beach ilipaswa kuwa mpaka na dar isingeruhusiwa kukuwa tena zaidi hapo bali tungepaswa kuwekeza kwenye eneo lililopo, angalia mfano upanga ilivyojengwa na kupangwa vizuri kama kila mtu angejenga kibanda chake upanga unafikiri hali ingekuwakje leo hii? tulipaswa tujenge upanga nyingi halafu tutenge maeneo maalumu kwa familiy homes ama bungalows, kigamboni ilikuwa ni chance nzuri lkn nako ni vile vile tu ujenzi holela, eneo zuri lkn tunaharibu ...
 
Wow! Hebu take a look at that westlands skyline!.... na bado utapata kuna mtu anaamini hapa bado kuna battle😂😂😂😂😂🙌 ikifika kwa mambo skyscrapers Nairobi slowly inatoka league ya Africa inaingia East Asia, joburg yenyewe alisha surrender bado Cairo tu...just 2 or 3 supertalls Nairobi will be done with Cairo...below you can find more and more unboxing of Christmas goodies😁👇...
IMG_0392.jpeg
IMG_0398.jpeg
Mogotio oasis residential twin towers+1 👏U/C westlands
IMG_8500.jpeg
IMG_8427.jpeg
IMG_8447.jpeg
The Luminara U/C👏 westlands
Screenshot_20251224_143523_Chrome.jpg
Screenshot_20251224_143242_TikTok.jpg
Screenshot_20251224_143412_TikTok.jpg
personally my favourite building U/C in westlands Nairobi The SIB tower!just take a look at those curves😍👏🙌
IMG_8385.jpeg
IMG_8379.jpeg
IMG_8383.jpeg
IMG_8398.jpeg
IMG_8397.jpeg
 
NDINDA Umeacha kuleta picha humu hawa panya wanasumbua sana. Juzi nimeleta picha za hovyo tu za mtaa mmoja kuna panya walitoka kwenye mashimo kama wamemwagiwa maji ya moto.
 
hakuna mahali nimelaumu mwananchi, najua ni kosa la serikali kuruhusu kila mtu kujenga vibanda kiholela kila mahali.

siyo kila mahali ni pakujenga kila kibanda, dar ina square km >1500 ni nyingi sana lkn hakuna hakuna park ya watu kupumzika, viwanja vya michezo vya watoto na vijana vyote vimejengwa vibanda, ukiangalia bird eye view ya dar unaweza kulia, ushawahi kutua dar na ndege halafu ukaangalia chini mabati kutu kila mahali, not good.

ukiingia dar unatokea nje ya nchi kwa hali ya kawaida mtu anakuwa na shauku ya kuona mji lkn kuanzia kibaha kushuka haivutii kabisa, vibanda, gereji bubu kila mahali magenge ya nyanya na mkaa just chaos, ukiangalia mabondeni kimara wamejenga kiholela no planning, mji una watu zaidi ya milioni 5 lkn hakuna highway system ya kuzunguka mji, kuna watu wanatumia masaa 4 kwenda na kurudi kazini kila siku kwenye usafiri tu, not good, dar siyo mji beautiful kabisa yaani, na ukiniuliza mimi dar is a lost cause, labda tujaribu dodoma na miji mingine kwa kujifunza kutokana na makosa tuliofanya …
Umesema kitu watanzania wengi hawapendi kusema: Aerial view ya dar na jinsi nyumba zenye kutu zimetapakaa kila mahali
 
Umesema kitu watanzania wengi hawapendi kusema: Aerial view ya dar na jinsi nyumba zenye kutu zimetapakaa kila mahali
Na pia kitu ambacho Wakenya hawapendi kusikia. Kibera is not far from those Nairobi skyscrapers, so they can all be seen together in an oblique video, let alone aerial view
 
Daily dose 😁😁
9km from Dar City Centre
 
Naona Umeenda back in time.. the only relevance ya hizi picha ni history. Let me ask you, umetemvelea Nairobi before?
around 3 years back, however every development inafanyika hua inakua kwenye news so its the same, however pia in terms of usafi ni hio river naona mmebadilisha pamoja na pale nje pipeline wakati mosira akiwa kwenye kiti, sehem zingine tunazijua vizuri
 
btw last 3 months nairobi was voted as the city was the worst smell
Who voted? Where did the voting happen? Who became last in that vote? Who was that? Do you mind giving us the link of the voting results?
 
Back
Top Bottom