IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
This means nothing. I might as well do this, Amarii usisahau ku likecapital of africa is now global
View attachment 3520397
This means nothing. I might as well do this, Amarii usisahau ku likecapital of africa is now global
View attachment 3520397
achana na hizo render, here is your full nairobi view then tell us which sky view are youtalking about
View: https://www.tiktok.com/@davieskinanga/video/7321426214764170501?is_from_webapp=1&sender_device=pc
Unfortunately it's not even among the top 15 universities in Tanzania.Mbeya University of Science and Technology
Because Tanzania is better in other aspects more than technology ndio maana utakuta Universities nyingi kwenye hiyo list sio za Engineering bali ni za mambo mengine kama politics, procurement, law etcUnfortunately it's not even among the top 15 universities in Tanzania.
Top Universities in Tanzania – UNIRANKS® 2026
Find the top and best universities in Tanzania with UNIRANKS® 2026 Rankings. Featuring 0 Elite, 2 Top by Region, and 3 Top by Country ranked institutions.www.uniranks.com
Wivu unawasumbuaWewe hujawajua hawa? Chochote kizuri mkifanyq wao wanatafuta kitu cha kujifariji kupondea.
You are confused, initially you said you were studying at the best engineering school in Tanzania but now when you do a list of best your school doesn't even appear among the top 2. Now tells me, how is best?Because Tanzania is better in other aspects more than technology ndio maana utakuta Universities nyingi kwenye hiyo list sio za Engineering bali ni za mambo mengine kama politics, procurement, law etc
Ulipaswa usearch best Engineering schools in Tanzania, ambazo in fact zipo chache
1. Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)
2. Arusha Technical College (ATC)
3. Mbeya University of Science and Technology (MUST)
4. Sokoine University of Agriculture SUA (Hii ni kwa Agricultural Engineering)
5. Ardhi University (For Civil, Architecture etc.) hii ilikuwa branch ya UDSM before
Na hapa Ardhi wanatoa "Bachelor of Science in Civil Engineering" wakati MUST tunayo pure "Bachelor of Civil Engineering" ambayo ni practical based, sio Bachelor of Science
etc
Most engineers in Tanzania are from MUST and DIT, hivyo vyuo vya list yako ya top 15 sio list ya Engineering Schools, ni Universities kiujumla ambazo zinatoa kozi nyingi ambazo sio za Engineering
Fuatilia JF threads zinazoongelea Engineering Schools hapa Tanzania, utaona most people prefer MUST and DIT, cause we are the best 💪
Wewe Teargass ni kama una matatizo ya akili, unaelewa maana ya "ONE OF THE BEST"??? au muda wote unawaza dissing tu kama mtoto mdogoYou are confused, initially you said you were studying at the best engineering school in Tanzania but now when you do a list of best your school doesn't even appear among the top 2. Now tells me, how is best?
That school can't even make top 30 best universities in Kenya.Wewe Teargass ni kama una matatizo ya akili, unaelewa maana ya "ONE OF THE BEST"??? au muda wote unawaza dissing tu kama mtoto mdogo
View attachment 3521159
Keep dreaming, kwanza top 30 ya nini? Engineering schools au just Universities?That school can't even make top 30 best universities in Kenya.
Toa VPN kwa simu. You are a slave in your own country.Teargass MUST ni chuo kikubwa sana hapa Tanzania, linapokuja suala la Engineering, tuna vifaa vya kutosha na miundombinu yote, na kimezalisha mainjinia wengi sana Tanzania since Russians walipokijenga mwaka 1986. Unlike SUA and UDSM we are focused mainly on Engineering and other Technology courses
View attachment 3521162
Bila VPN siwezi kuingia Jamii ForumsToa VPN kwa simu. You are a slave in your own country.
Na tukiwaita LDC mnatuona wabaya.Bila VPN siwezi kuingia Jamii Forums
Tukiwaita shakahola mnatuona wabayaNa tukiwaita LDC mnatuona wabaya.
actually the most beautiful renderedThe
very beautiful city, the only way one can tell that its in a developing country is the small area with shacks
naskia sku izi mnaitwa city under cholera
Kutopangilia mji ni kosa la serikali sio mwananchi anaenunua kiwanja. Sheria za mipango miji zipo ila rushwa na uzembe serikalini ndio sababu hazifuatwi. Hata huduma serikali ndio jukwaa lake. Zoezi la kuweka address sasa hivi hadi porini huko mitaa ina majina na namba. Hata unayoiona haina ukienda serikali za mitaa utapiewa jina na namba.lkn siyo realistic kwamba kila mtu ajenge nyumba yake, kuna nchi kubwa klk tanzania na zina watu wachache klk tz lkn hawachezei ardhi hovyo kama vile tz, tz kila mtu akipata milioni 5 anakwambia najenga nyumba, hiyo ndiyo sababu sehemu kubwa ya wakazi wa dar ni informal settlement, sehemu kubwa hawana maji, hakuna drainage system mvua kidogo mafuriko mji mzima sababu hakuna mifereji au imezibwa na majengo ya watu, watu hawana address kwamba anaishi kwenye mtaa wenye jina na namba ya nyumba n.k. zamani karibia kila nyumba dar ilikuwa na namba na jina la mtaa official kabisa, ulikuwa unaweza kuchukua teksi na kumwambia dereva teksi nakwenda labda temeke mtaa fulani nyumba namba fulani na akakufikisha bila ya shida leo hii huwezi kuchukua teksi ukasema akufikishe labda kibamba au sijui mabibo yoote karibia ni makazi yasiyo rasmi hakuna maji, barabara wala viwanja vya watoto kucheza, hakuna open spaces sasa mji gani huo wenye watu zaidi ya milioni 5 na hakuna parks za wananchi kupumzika? ...