Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

capital of africa is now global
View attachment 3520397
This means nothing. I might as well do this, Amarii usisahau ku like
FAC0D50B-04F7-4CA8-858B-938DFDA3D3BF.png
 
Unfortunately it's not even among the top 15 universities in Tanzania.

Because Tanzania is better in other aspects more than technology ndio maana utakuta Universities nyingi kwenye hiyo list sio za Engineering bali ni za mambo mengine kama politics, procurement, law etc
Ulipaswa usearch best Engineering schools in Tanzania, ambazo in fact zipo chache

1. Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)
2. Arusha Technical College (ATC)
3. Mbeya University of Science and Technology (MUST)
4. Sokoine University of Agriculture SUA (Hii ni kwa Agricultural Engineering)
5. Ardhi University (For Civil, Architecture etc.) hii ilikuwa branch ya UDSM before
Na hapa Ardhi wanatoa "Bachelor of Science in Civil Engineering" wakati MUST tunayo pure "Bachelor of Civil Engineering" ambayo ni practical based, sio Bachelor of Science
etc

Most engineers in Tanzania are from MUST and DIT, hivyo vyuo vya list yako ya top 15 sio list ya Engineering Schools, ni Universities kiujumla ambazo zinatoa kozi nyingi ambazo sio za Engineering

Fuatilia JF threads zinazoongelea Engineering Schools hapa Tanzania, utaona most people prefer MUST and DIT, cause we are the best 💪
 
Because Tanzania is better in other aspects more than technology ndio maana utakuta Universities nyingi kwenye hiyo list sio za Engineering bali ni za mambo mengine kama politics, procurement, law etc
Ulipaswa usearch best Engineering schools in Tanzania, ambazo in fact zipo chache

1. Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)
2. Arusha Technical College (ATC)
3. Mbeya University of Science and Technology (MUST)
4. Sokoine University of Agriculture SUA (Hii ni kwa Agricultural Engineering)
5. Ardhi University (For Civil, Architecture etc.) hii ilikuwa branch ya UDSM before
Na hapa Ardhi wanatoa "Bachelor of Science in Civil Engineering" wakati MUST tunayo pure "Bachelor of Civil Engineering" ambayo ni practical based, sio Bachelor of Science
etc

Most engineers in Tanzania are from MUST and DIT, hivyo vyuo vya list yako ya top 15 sio list ya Engineering Schools, ni Universities kiujumla ambazo zinatoa kozi nyingi ambazo sio za Engineering

Fuatilia JF threads zinazoongelea Engineering Schools hapa Tanzania, utaona most people prefer MUST and DIT, cause we are the best 💪
You are confused, initially you said you were studying at the best engineering school in Tanzania but now when you do a list of best your school doesn't even appear among the top 2. Now tells me, how is best?
 
You are confused, initially you said you were studying at the best engineering school in Tanzania but now when you do a list of best your school doesn't even appear among the top 2. Now tells me, how is best?
Wewe Teargass ni kama una matatizo ya akili, unaelewa maana ya "ONE OF THE BEST"??? au muda wote unawaza dissing tu kama mtoto mdogo
IMG_20251227_000230.png
 
Teargass MUST ni chuo kikubwa sana hapa Tanzania, linapokuja suala la Engineering, tuna vifaa vya kutosha na miundombinu yote, na kimezalisha mainjinia wengi sana Tanzania since Russians walipokijenga mwaka 1986. Unlike SUA and UDSM we are focused mainly on Engineering and other Technology courses
Screenshot_2025-12-27-00-12-36-359_com.android.chrome.jpg
 
Teargass MUST ni chuo kikubwa sana hapa Tanzania, linapokuja suala la Engineering, tuna vifaa vya kutosha na miundombinu yote, na kimezalisha mainjinia wengi sana Tanzania since Russians walipokijenga mwaka 1986. Unlike SUA and UDSM we are focused mainly on Engineering and other Technology courses
View attachment 3521162
Toa VPN kwa simu. You are a slave in your own country.
 
The

very beautiful city, the only way one can tell that its in a developing country is the small area with shacks
actually the most beautiful rendered

1766789930550.png
1766789944142.png
1766789958252.png
1766789971443.png

1766790021584.png

1766790077789.png


btwn do you know its voted as the city with the worst smell in africa?
 
lkn siyo realistic kwamba kila mtu ajenge nyumba yake, kuna nchi kubwa klk tanzania na zina watu wachache klk tz lkn hawachezei ardhi hovyo kama vile tz, tz kila mtu akipata milioni 5 anakwambia najenga nyumba, hiyo ndiyo sababu sehemu kubwa ya wakazi wa dar ni informal settlement, sehemu kubwa hawana maji, hakuna drainage system mvua kidogo mafuriko mji mzima sababu hakuna mifereji au imezibwa na majengo ya watu, watu hawana address kwamba anaishi kwenye mtaa wenye jina na namba ya nyumba n.k. zamani karibia kila nyumba dar ilikuwa na namba na jina la mtaa official kabisa, ulikuwa unaweza kuchukua teksi na kumwambia dereva teksi nakwenda labda temeke mtaa fulani nyumba namba fulani na akakufikisha bila ya shida leo hii huwezi kuchukua teksi ukasema akufikishe labda kibamba au sijui mabibo yoote karibia ni makazi yasiyo rasmi hakuna maji, barabara wala viwanja vya watoto kucheza, hakuna open spaces sasa mji gani huo wenye watu zaidi ya milioni 5 na hakuna parks za wananchi kupumzika? ...
Kutopangilia mji ni kosa la serikali sio mwananchi anaenunua kiwanja. Sheria za mipango miji zipo ila rushwa na uzembe serikalini ndio sababu hazifuatwi. Hata huduma serikali ndio jukwaa lake. Zoezi la kuweka address sasa hivi hadi porini huko mitaa ina majina na namba. Hata unayoiona haina ukienda serikali za mitaa utapiewa jina na namba.
 
Back
Top Bottom