Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Io
kwa maoni yangu sidhani kama kuna advantage yoyote mji kuwa ''spread out'' kama ulivyoandika in terms of quality of life ya wakazi mji husika, kwani mara nyingi hizo ni informal settlements, kwangu mimi dar imetanuka sana bila ya mpangilio na matokeo yake ndiyo hayo kila kitu hakitoshi, maji hayatoshi, mabasi hayatoshi, barabara ndiyo hivyo kwa maana mji umekuwa mkubwa bila ya miundo mbinu kuufwata, hivyo ni bora mji uwe mdogo lkn huduma zote au karibia zote ziwepo, sasa hivi dar inaungana na bagamoyo wakati ilipaswa kuwe na tofauti kwani ni mikoa 2 tofauti, ukienda upande wa mr rd pia inaungana kibaha ambapo ni mkoa mwingine, kusini nako imeshaungana na pwani na hii ni tanzania nzima ukienda klm mji wa moshi imeshaungana na arusha watu wanajenga lkn hakuna planning, not good kwa maoni yangu.

tuna matumizi mabaya sana ya ardhi, usisahahu hii ardhi inapaswa iwepo kwa miaka 300 ijayo kwa wengine kuitumia pia ..
 
Si ulisema you don't care about my education ama. Hiki nini unaandika. Why are you obsessed with my education so much 😆
Why can't you just chill until that day you will hold a bachelor certificate in your hand? Unapiga kelele hapa yet you don't have anything.
 
Why can't you just chill until that day you will hold a bachelor certificate in your hand? Unapiga kelele hapa yet you don't have anything.
Always nakaa kimya kuhusu elimu, huwa naongea kuhusu Kenya vs Tanzania tu. Lakini wewe kila mara unakuja hapa unaanza kuongelea elimu yangu, wewe ndio unapenda kudiscuss kuhusu elimu yangu. Why?
 
Always nakaa kimya kuhusu elimu, huwa naongea kuhusu Kenya vs Tanzania tu. Lakini wewe kila mara unakuja hapa unaanza kuongelea elimu yangu, wewe ndio unapenda kudiscuss kuhusu elimu yangu. Why?
Because you are an idiot.
 
Because you are an idiot.
Basi, mimi nitaendelea kuitetea elimu yangu every time ukiitaja. Kama hutaki kuisikia basi hakikisha hauongelei elimu yangu. La sivyo utazidi kuumia moyo bure, maana suala la mimi kuwa University student in one of the best Engineering schools in Tanzania linakuumiza sana 😆😆
 
Basi, mimi nitaendelea kuitetea elimu yangu every time ukiitaja. Kama hutaki kuisikia basi hakikisha hauongelei elimu tangu. La sivyo utazidi kuumia moyo bure, maana suala la mimi kuwa University student in one of the best Engineering schools in Tanzania linakuumiza sana 😆😆
Which school is that?
 
kwa maoni yangu sidhani kama kuna advantage yoyote mji kuwa ''spread out'' kama ulivyoandika in terms of quality of life ya wakazi mji husika, kwani mara nyingi hizo ni informal settlements, kwangu mimi dar imetanuka sana bila ya mpangilio na matokeo yake ndiyo hayo kila kitu hakitoshi, maji hayatoshi, mabasi hayatoshi, barabara ndiyo hivyo kwa maana mji umekuwa mkubwa bila ya miundo mbinu kuufwata, hivyo ni bora mji uwe mdogo lkn huduma zote au karibia zote ziwepo, sasa hivi dar inaungana na bagamoyo wakati ilipaswa kuwe na tofauti kwani ni mikoa 2 tofauti, ukienda upande wa mr rd pia inaungana kibaha ambapo ni mkoa mwingine, kusini nako imeshaungana na pwani na hii ni tanzania nzima ukienda klm mji wa moshi imeshaungana na arusha watu wanajenga lkn hakuna planning, not good kwa maoni yangu.

tuna matumizi mabaya sana ya ardhi, usisahahu hii ardhi inapaswa iwepo kwa miaka 300 ijayo kwa wengine kuitumia pia ...

Kila kitu kina faida na hasara, horizontal vs vertical city building zote zina faida na hasara
Binafsi napenda Tanzania way of building cities, zinachukua sehemu kubwa kwa sababu kila mtu anataka kujenga nyumba yake, badala ya kubanana kwenye appartments, na watu wakijenga nyumba lazima huduma ziwafuate huko ndio maana unaona Dar 30km from the city bado kuna banks, markets etc though I agree it's costly
Halafu miaka 300 ijayo hizo nyumba hazitakuwepo mkuu, ardhi inatosha sana, lazima baadhi ya nyumba zitakuwa demolished, ardhi haijawahi kuwa kikwazo
Both ways zina faida na hasara, na kwa maoni yangu napenda style yetu ya ujenzi, kuliko ya Kenya ya kukaa kwenye appertments ili kuminimize land usage
Sisi hatuna uhaba wa ardhi
 
Kila kitu kina faida na hasara, horizontal vs vertical city building zote zina faida na hasara
Binafsi napenda Tanzania way of building cities, zinachukua sehemu kubwa kwa sababu kila mtu anataka kujenga nyumba yake, badala ya kubanana kwenye appartments, na watu wakijenga nyumba lazima huduma ziwafuate huko ndio maana unaona Dar 30km from the city bado kuna banks, markets etc though I agree it's costly
Halafu miaka 300 ijayo hizo nyumba hazitakuwepo mkuu, ardhi inatosha sana, lazima baadhi ya nyumba zitakuwa demolished, ardhi haijawahi kuwa kikwazo
Both ways zina faida na hasara, na kwa maoni yangu napenda style yetu ya ujenzi, kuliko ya Kenya ya kukaa kwenye appertments ili kuminimize land usage
Sisi hatuna uhaba wa ardhi

lkn siyo realistic kwamba kila mtu ajenge nyumba yake, kuna nchi kubwa klk tanzania na zina watu wachache klk tz lkn hawachezei ardhi hovyo kama vile tz, tz kila mtu akipata milioni 5 anakwambia najenga nyumba, hiyo ndiyo sababu sehemu kubwa ya wakazi wa dar ni informal settlement, sehemu kubwa hawana maji, hakuna drainage system mvua kidogo mafuriko mji mzima sababu hakuna mifereji au imezibwa na majengo ya watu, watu hawana address kwamba anaishi kwenye mtaa wenye jina na namba ya nyumba n.k. zamani karibia kila nyumba dar ilikuwa na namba na jina la mtaa official kabisa, ulikuwa unaweza kuchukua teksi na kumwambia dereva teksi nakwenda labda temeke mtaa fulani nyumba namba fulani na akakufikisha bila ya shida leo hii huwezi kuchukua teksi ukasema akufikishe labda kibamba au sijui mabibo yoote karibia ni makazi yasiyo rasmi hakuna maji, barabara wala viwanja vya watoto kucheza, hakuna open spaces sasa mji gani huo wenye watu zaidi ya milioni 5 na hakuna parks za wananchi kupumzika? ...
 
lkn siyo realistic kwamba kila mtu ajenge nyumba yake, kuna nchi kubwa klk tanzania na zina watu wachache klk tz lkn hawachezei ardhi hovyo kama vile tz, tz kila mtu akipata milioni 5 anakwambia najenga nyumba, hiyo ndiyo sababu sehemu kubwa ya wakazi wa dar ni informal settlement, sehemu kubwa hawana maji, hakuna drainage system mvua kidogo mafuriko mji mzima sababu hakuna mifereji au imezibwa na majengo ya watu, watu hawana address kwamba anaishi kwenye mtaa wenye jina na namba ya nyumba n.k. zamani karibia kila nyumba dar ilikuwa na namba na jina la mtaa official kabisa, ulikuwa unaweza kuchukua teksi na kumwambia dereva teksi nakwenda labda temeke mtaa fulani nyumba namba fulani na akakufikisha bila ya shida leo hii huwezi kuchukua teksi ukasema akufikishe labda kibamba au sijui mabibo yoote karibia ni makazi yasiyo rasmi hakuna maji, barabara wala viwanja vya watoto kucheza, hakuna open spaces sasa mji gani huo wenye watu zaidi ya milioni 5 na hakuna parks za wananchi kupumzika? ...
Tulia wewe, vitu vingine ni kosa la serikali sio wananchi
Acha watu wajenge ww, hizo nchi unazozjsema raia wake wanatamani sana kujenga nyumba zao wenyewe lakini haiwezekani kwa sababu ya gharama kubwa za ardhi na ujenzi. Hapa Tanzania kama watu wanajenga nyumba zao wenyewe ni bahati, hakuna ulazima wa kuishi kama Westerners. Hata mimi napenda nijenge nyumba yangu mwenyewe some day sio kukaa unalipa rent every month
Hayo matatizo ya shida ya maji, poor urban planning etc ni uzembe wa viongozi, sio aina ya ujenzi tuliyochagua
Wewe sema hupendi mpangilio mbaya wa mji, ila there's nothing wrong with everyone building his/her own house
 
Back
Top Bottom