Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hata adui humjui.

Hii ni April 12, 2021
Tukielimisha watu kuhusu ya nini kilicho mbele yetu.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1381426224182882305

CHAN watu hawakuudhuria mechi.
Mechi za Simba, Yanga zote hazikuwa na mashabiki kabisa

View: https://x.com/ze_mandevu/status/1992883716323148191

View attachment 3506936


Jahazi linazama hili na huyu maza akiwepo to 2027 ufunguzi na final zitapigwa Kenya na Uganda. Na Tanzania hakuta kuwa na maudhurio kabisa, hata ile CHAN ilikuwa na afahdali.

Mama yetu hana akili ni failure of note.
View attachment 3506939
View attachment 3506935

Na bado mnasema mauano yamefanyika kisa Kenyans are jealous of Tanzania.
 
Hauwezi kuprove kuwa ukabila haupo Kenya kwa sababu kuna matukio mengi mabaya ya kikabila yametokea Kenya yanaonesha mna UKABILA sana

Sisi hapa Tanzania hakuna udini, na hii issue haijawahi kuwa serious kama ilivyo kwa ukabila nchini Kenya. Tanzania kilichotokea ni huyo sheikh aliyelipwa kujaribu kuleta udini na ameshindwa kwa jina la Yesu, inshaallah
Kwa hivyo, kwa nini unataka tuyafiche au kuyaepuza matukio mabaya ya kidini yanayotokea Tanzania? Hilo ndilo nalolalamikia. Unanipa chapa ya ubaguzi ilhali ninatumia mantiki ile ile uliyotumia.


Umedai kwamba Tanzania haina matatizo ya udini kwa sababu Waislamu na Wakristu waliwahi kusali pamoja. Nikakuambia kuwa hilo peke yake halithibitishi kutokuwepo kwa udini, sawa tu na vile ulivyotumia matukio ya Kenya kuthibitisha ukabila. Lakini sasa, unapojibu, unarudi kwa mifano ya nchi yetu kuonyesha ukabila huku ukikataa kukubali mifano ya nchi yenu inayoonyesha udini. Hapo ndipo tatizo lilipo.


Nilisema mapema: kila mara tukio baya linapotokea Tanzania, mara nyingi watu wenu hulipeleka moja kwa moja kwenye suala la dini. Nimeona hilo mara nyingi—hata hapa kwenye hii thread. Wapo waliompinga Suluhu kwa sababu ni Mwislamu, na wapo waliompinga Magufuli kwa sababu ni Mkristo. Kama hilo hulioni au unalikataa, basi sidhani kuna kingine cha kuongeza.
 
Aliyeleta na kukubali mkataba wa hovyo wa bandari ni Kikwete, kiongozi wa mtandao wa uovu na ndie aliyemchomeka Samia kama vice president kwa kumanipulate chaguo halisi la Magufuli, Dr Hussein Mwinyi.

Kama mngekuwa hamfanyi vitu kwa mihemko, taifa lisingelifika hapa. 🚮
Hapa kwenye nini? Limefikia hapa wapi? Mbona unaongea propaganda tu na kuweka negative narrative kwa vitu ambavyo havipo? You are creating your own problem in your head and find solution yourself. Kwakuwa unajua kutumia mitandao unataka kuwaaminisha watu kuwa watu fulani ni wabaya.

Hizo ni roho za kishetani kabisa. Unaweka narratives tu bila kuweka ushahidi. Huo ni upumbavu.

Taifa linasonga mbele.
1. Watalii wameongezeka.
2. Ujenzi wa SGR unaendelea vipande vyote.
3. Bandari zote zinakarabatiwa na kuanzishwa mpya.
4. Miundombinu ya BRT inaendelea kujengwa.
5. Barabara ya mzunnguko Dodoma inamalizika
6. Uwanja wa ndege wa msalato unaelekea kukamilika.
7. Magufuli Bridge imekamilika.
8. Ujenzi wa Meli nne kubwa za mizigo Kutoka Karema kwenda DRC Moja imeshaanza kufanya kazi.
9. Kongani ya viwanda Kwala inafanya kazi.
10. Mabarabara na madaraja yanajengwa kila kona.
11. Makusanyo ya TRA yameongezeka.
12. Wakulima wa Tanzania wanapatiwa pesa kupitia Benki ya TADB
13. TAZARA inakarabatiwa.
14. Payment Systems tunahamia kwenye digital kwa kasi kupitia (GePG na TIPS) Hii mifumo ni ya kipekee Africa
15. Ujenzi wa Hospitals na vituo vya afya kila maeneo.
16. Ujenzi wa shule na vyuo kila maeneo.

Na mengine mengi mno kuyaorodhesha hapa.

Sasa unataka Serikali ije kumpiga mimba mama yako ndio uone inafanya kazi?
 
Nairobi Walker huwa unasema Tanzania kuna udini. Angalia mwenyewe uone jinsi tulivyo na mshikamano.
Ndio maana nasema wewe huijui Tanzania, kazi yako ni ku google tu information zinazokufavour
Tanzania has better people than Kenya, sisi hatuna UKABILA wala UDINI

View: https://www.facebook.com/100064575493778/posts/pfbid02iyxro4rrwj8rzcnkbWqG96YANsUzM7w1mM5CxwSJRxwJtKoirmRJoLUyjo6S2bUgl/?app=fbl


acha kujidanganya hakuna mshikamano kati ya Christian na muslim, they will catch you sleeping ndiyo utajua kwamba wenzako wako vitani tangia muda mrefu ila ni wewe tu ndo uko in denial ...
 
The standards being set here are crazy
There will be a railway line connecting it to Bomas and the contract has already been awarded
View: https://youtu.be/1p_H0C_nGOs?si=ZvcDcGUcmnHz7-Xu
IMG_4737.jpeg
IMG_4739.jpeg
IMG_5338.png
IMG_5337.png
IMG_5340.png
 
acha kujidanganya hakuna mshikamano kati ya Christian na muslim, they will catch you sleeping ndiyo utajua kwamba wenzako wako vitani tangia muda mrefu ila ni wewe tu ndo uko in denial ...
Umewahi kuishi Tanzania? Unatamani tuwe na udini ila bad news for you
Tanzania hakuna UDINI
 
Back
Top Bottom