Aliyeleta na kukubali mkataba wa hovyo wa bandari ni Kikwete, kiongozi wa mtandao wa uovu na ndie aliyemchomeka Samia kama vice president kwa kumanipulate chaguo halisi la Magufuli, Dr Hussein Mwinyi.
Kama mngekuwa hamfanyi vitu kwa mihemko, taifa lisingelifika hapa. 🚮
Hapa kwenye nini? Limefikia hapa wapi? Mbona unaongea propaganda tu na kuweka negative narrative kwa vitu ambavyo havipo? You are creating your own problem in your head and find solution yourself. Kwakuwa unajua kutumia mitandao unataka kuwaaminisha watu kuwa watu fulani ni wabaya.
Hizo ni roho za kishetani kabisa. Unaweka narratives tu bila kuweka ushahidi. Huo ni upumbavu.
Taifa linasonga mbele.
1. Watalii wameongezeka.
2. Ujenzi wa SGR unaendelea vipande vyote.
3. Bandari zote zinakarabatiwa na kuanzishwa mpya.
4. Miundombinu ya BRT inaendelea kujengwa.
5. Barabara ya mzunnguko Dodoma inamalizika
6. Uwanja wa ndege wa msalato unaelekea kukamilika.
7. Magufuli Bridge imekamilika.
8. Ujenzi wa Meli nne kubwa za mizigo Kutoka Karema kwenda DRC Moja imeshaanza kufanya kazi.
9. Kongani ya viwanda Kwala inafanya kazi.
10. Mabarabara na madaraja yanajengwa kila kona.
11. Makusanyo ya TRA yameongezeka.
12. Wakulima wa Tanzania wanapatiwa pesa kupitia Benki ya TADB
13. TAZARA inakarabatiwa.
14. Payment Systems tunahamia kwenye digital kwa kasi kupitia (GePG na TIPS) Hii mifumo ni ya kipekee Africa
15. Ujenzi wa Hospitals na vituo vya afya kila maeneo.
16. Ujenzi wa shule na vyuo kila maeneo.
Na mengine mengi mno kuyaorodhesha hapa.
Sasa unataka Serikali ije kumpiga mimba mama yako ndio uone inafanya kazi?