Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnajua Bongo kufanya nini? Kwani kukaa kwenye nchi yenu hamuwezi? Lazima mfuate sheria zote za Tanzania. Na sasa tutawatomba mno.

Kutusumbua mlianza wakati wa Nyerere.
Usidhani kuna jipya unaleta kwa meza. 😂 😂
 
Udini au ubaguzi wowote, unafanya kazi kama kuna homogeneous society yenye mgawanyiko wa wazi. Unakuta kuna kundi la pure Muslims au Christians ndani ya jamii moja, hawachangami wala kukaa chungu kimoja. Ni kama ilivyokuwa Sudan.
Ama Nigeria, where kuna mikoa ina Islamic sheria laws na sio nchi unaweza ishi popote.
 
Udini au ubaguzi wowote, unafanya kazi kama kuna homogeneous society yenye mgawanyiko wa wazi. Unakuta kuna kundi la pure Muslims au Christians ndani ya jamii moja, hawachangami wala kukaa chungu kimoja. Ni kama ilivyokuwa Sudan.

Kwenye jamii hizo, watu hawashirikiani katika mambo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Hawashirikiani kwenye harusi, misiba na hawana shule za pamoja n.k

Watanzania ni tofauti sana, wameoleana sana, wamesoma pamoja, wanashiriki punlic holidays pamoja n.k. 8 out of 10 ya watanzania wana ndugu au marafiki wa damu wa dini tofauti na yao, tena kuna sehemu kama usukumani huwezi juwa dini ya mtu kwa jina lake.
Mimi bibi yangu Mzaa mama ni Muislam na kaka yangu wa baba mkubwa ni muislam pia kwakua mama yake ni kuislam na alilelewa na wajomba zake. Mtoto wa kaka yangu ni muislam pia, mama yake ni Mtanzani-msomalia na alizaliwa nje ya ndoa hivyo kulelewa na mama yake.
 
Bado tunasubiria uwekezaji wa $5 bilioni kutoka kwa wawekezaji wa Marekani ambazo kizimkazi alihaidiwa tangu 2021 ,kitumbua kimeingia mchanga
 
Kwenye jamii hizo, watu hawashirikiani katika mambo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Hawashirikiani kwenye harusi, misiba na hawana shule za pamoja n.k

Watanzania ni tofauti sana, wameoleana sana, wamesoma pamoja, wanashiriki punlic holidays pamoja n.k. 8 out of 10 ya watanzania wana ndugu au marafiki wa damu wa dini tofauti na yao, tena kuna sehemu kama usukumani huwezi juwa dini ya mtu kwa jina lake.

haha typical, watanzania wote hujiona na huamini kwamba wao ni tofauti sana na special, sijui ni nani aliwadanganya, mauaji yaliyotokea yalipaswa kuwaonyesha kwama hatuna uspecial wowote ule ...
 
Hao ni kikundi kidogo kilicholipwa kiligawa Taifa, kwa manufaa ya Cartel (CCM mtandao). Umemsikiliza Sheikh Ponda, anasema nini? Huyu anawakilisha mawazo ya waislam wengi Tanganyika.
You know if I was to go by your logic, then there is no tribalism in Kenya and no one has ever died from tribalism in Kenya.
 
Ndiyo maana Nigeria hawaendelei japokuwa ni watu aggressive Afrika na watafuta fursa, lakini division waliyonayo, inawafanya wawe vulnerable kama nchi.
When I was in Somalia, I used to tell them proper organization trumps aggressiveness in business all the time. They thought I was hating. hey have this notion that they'll take over Africa because of their supposed 'aggressiveness in business'.
 
Sijawahi kufika Kenya, na kuna possibility nisifike Kenya all my life
Ila nimeona documentary nyingi kuhusu ukabila nchini Kenya. Inasikitisha sana
Na mbona Wakenya wakiona documentary za udini Tanzania unasema hawaijui Tanzania? Yani wewe uijue Kenya through documentaries pekee alafu Mimi niijue Tanzania through both documentaries na kuitembelea ila opinion yako ichukuliwe kwa uzito kuliko yangu?
 
Na mbona Wakenya wakiona documentary za udini Tanzania unasema hawaijui Tanzania? Yani wewe uijue Kenya through documentaries pekee alafu Mimi niijue Tanzania through both documentaries na kuitembelea ila opinion yako ichukuliwe kwa uzito kuliko yangu?
Sasa huoni BBC wamesema Gen Z tumezima udini ambao ulikuwa unataka kuanza Tanzania. Unaumia ukiwa wapi 😂
 
Sijawahi kufika Kenya, na kuna possibility nisifike Kenya all my life
Ila nimeona documentary nyingi kuhusu ukabila nchini Kenya. Inasikitisha sana
Kenya tribalism is a phenomenon of opportunity enacted by political leaders in order to gain or maintain power. Its target was mainly the ignorant and the poor. If you study tribalism in Kenya you will notice a pattern , it rises like a phoneix every 4 years prior to the 5th election year.. The other 3 and half years, harmony exists except few skirmishes like tribal cattle rustling (past) which is more to do with cultural practices as opposed to tribalism intuition. All you need to know is the middle class never gets involved in such backward practices even in the past during the worst moments. People of all tribal backgrounds in Karen or Runda etc would never attack each other or care about trivial tribal matters. The only tribe they know is green ( money). But the great news is Kenyans of every creed and sphere have become wise after seeing how such conflicts end up with the political leaders and elites on top of the conflict eventually shaking hands and sharing the power spoils and the dead in the struggle get forgotten . Never again will Kenyans kill each other over politicians and tribal cocoons .That is history now.. Mark my words .
 
Back
Top Bottom