Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo port: Tanzania to commence constructing $10 billion sea port in December​



Hii inawauma sana wakenya Kwikwikwikwikwi
ICC wameshaanza kazi huko, kwa mara ya kwanza East Africa haki inakwenda kutendendeka.
 
Hao mapolisi wazanzibari wameuwa Watanganyika kwa Nini?
Walioua Watanzania ni wengi, kulikuwa na mapolisi kutoka Uganda, kulikuwa na wanajeshi wa Tanzania (Zanzibar na Mainland) na kulikuwa na mapolisi wa Tanzania pia. Hakukuwa na kikundi kimoja, vikundi vya wauaji vilikuwa vingi
Wameua watu ili Samia abaki madarakani, kuna kikundi kikubwa behind kinaitwa CCM Mtandao ndio wanafanya yote haya ili waendelee kufanya ufisadi, na only way ya kufanya ufisadi ni kumbakisha Samia madarakani, au at least mwanamtandao mwenzao
Dini haihusiki at all, kwa sababu wameua Watanzania wakristo kwa waislamu, watu wazima kwa watoto, wanawake kwa wanaume, bila kujali kabila pia
Hujui siasa za Tanzania bado. Tanzania hakuna udini. Kubali tu hujui kitu
 
Nyandarua affordable housing. Nyandarua County.

1000119990.jpg
 
Hapa kwenye nini? Limefikia hapa wapi? Mbona unaongea propaganda tu na kuweka negative narrative kwa vitu ambavyo havipo? You are creating your own problem in your head and find solution yourself. Kwakuwa unajua kutumia mitandao unataka kuwaaminisha watu kuwa watu fulani ni wabaya.

Hizo ni roho za kishetani kabisa. Unaweka narratives tu bila kuweka ushahidi. Huo ni upumbavu.

Taifa linasonga mbele.
1. Watalii wameongezeka.
2. Ujenzi wa SGR unaendelea vipande vyote.
3. Bandari zote zinakarabatiwa na kuanzishwa mpya.
4. Miundombinu ya BRT inaendelea kujengwa.
5. Barabara ya mzunnguko Dodoma inamalizika
6. Uwanja wa ndege wa msalato unaelekea kukamilika.
7. Magufuli Bridge imekamilika.
8. Ujenzi wa Meli nne kubwa za mizigo Kutoka Karema kwenda DRC Moja imeshaanza kufanya kazi.
9. Kongani ya viwanda Kwala inafanya kazi.
10. Mabarabara na madaraja yanajengwa kila kona.
11. Makusanyo ya TRA yameongezeka.
12. Wakulima wa Tanzania wanapatiwa pesa kupitia Benki ya TADB
13. TAZARA inakarabatiwa.
14. Payment Systems tunahamia kwenye digital kwa kasi kupitia (GePG na TIPS) Hii mifumo ni ya kipekee Africa
15. Ujenzi wa Hospitals na vituo vya afya kila maeneo.
16. Ujenzi wa shule na vyuo kila maeneo.

Na mengine mengi mno kuyaorodhesha hapa.

Sasa unataka Serikali ije kumpiga mimba mama yako ndio uone inafanya kazi?
Mama yangu, mama yako or mama wa mwingine anaingiaje kwenye huu mjadala?
Kutukana ni ishara ya kutokuwa na hoja.
 
Udini na ukabila ni tatizo lenu na maana hata magaidi yanapatikana huko
Kunaweza kuwa na chuki za hapa na pale kwa watu wa chache lakini hakuna udini Kenya.

Udini ni ile hulka ya kila kitu kuangaliwa kwa muktadha wa dini.

Katika maongezi ya kawaida na wakenya, huwezi sikia wakiongelea dini ya mtu.

Ukabila upo, tena sana lakini sio udini.
 
you sound naive …
Udini au ubaguzi wowote, unafanya kazi kama kuna homogeneous society yenye mgawanyiko wa wazi. Unakuta kuna kundi la pure Muslims au Christians ndani ya jamii moja, hawachangami wala kukaa chungu kimoja. Ni kama ilivyokuwa Sudan.

Kwenye jamii hizo, watu hawashirikiani katika mambo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Hawashirikiani kwenye harusi, misiba na hawana shule za pamoja n.k

Watanzania ni tofauti sana, wameoleana sana, wamesoma pamoja, wanashiriki punlic holidays pamoja n.k. 8 out of 10 ya watanzania wana ndugu au marafiki wa damu wa dini tofauti na yao, tena kuna sehemu kama usukumani huwezi juwa dini ya mtu kwa jina lake.
 
Back
Top Bottom