Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,355
- 15,082
Umewahi kuishi Tanzania? Unatamani tuwe na udini ila bad news for you
Tanzania hakuna UDINI
you sound naive …
Umewahi kuishi Tanzania? Unatamani tuwe na udini ila bad news for you
Tanzania hakuna UDINI
Hao mapolisi wazanzibari wameuwa Watanganyika kwa Nini?Nani ameuliwa juu ya udini Tanzania?
ICC wameshaanza kazi huko, kwa mara ya kwanza East Africa haki inakwenda kutendendeka.Bagamoyo port: Tanzania to commence constructing $10 billion sea port in December
![]()
Tanzania to start constructing new port in December, official says
Tanzania will start construction of a new port in the east of the country in December, a senior government official said, ending a decade of delays due to government objections to the initial contract terms agreed with foreign developers.www.reuters.com
Hii inawauma sana wakenya Kwikwikwikwikwi
Walioua Watanzania ni wengi, kulikuwa na mapolisi kutoka Uganda, kulikuwa na wanajeshi wa Tanzania (Zanzibar na Mainland) na kulikuwa na mapolisi wa Tanzania pia. Hakukuwa na kikundi kimoja, vikundi vya wauaji vilikuwa vingiHao mapolisi wazanzibari wameuwa Watanganyika kwa Nini?
Cheap propaganda, kwa sasa hatuna mpango na battle za kipuuzi, tunataka haki kwanza itendeke.Haya mambo yanawauma sana wakenya
Si ulikuwa unampigia chapuo mama yako? Kiko wapi sasa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Sidhani kama ataweza! Lets be real! Mi naona miradi miradi yoote ya huu muhula itaenda Zanzibar kama mradi wa uwanja wa.mpira Dofoma ulivyoibukia Zanzibar!
I keep on saying Kenya inaingia upper middle income in a few years to come, hata this Ugandan agrees.
View: https://x.com/TheMutaD/status/1992215995096891508?s=20
Kenya kuna ukabila wa wazi hakuna haja ya kubishana.I can bring you a million videos of Kenyans from different tribes praying together. Does that prove ukabila haupo?
Tutajie Rais muislamu Kenya, nchi yenu si ina waislamu pia? Sasa kama hamna udini tutajie Rais aliyewahi kuwa muislamu huko Kenya.Kenya hakuna udini wee mzee. Usidhani sisi ni nyinyi.
Kwahiyo kwa akili zako unadhani waliouawa ni wakristo pekee?Hao mapolisi wazanzibari wameuwa Watanganyika kwa Nini?
Mama yangu, mama yako or mama wa mwingine anaingiaje kwenye huu mjadala?Hapa kwenye nini? Limefikia hapa wapi? Mbona unaongea propaganda tu na kuweka negative narrative kwa vitu ambavyo havipo? You are creating your own problem in your head and find solution yourself. Kwakuwa unajua kutumia mitandao unataka kuwaaminisha watu kuwa watu fulani ni wabaya.
Hizo ni roho za kishetani kabisa. Unaweka narratives tu bila kuweka ushahidi. Huo ni upumbavu.
Taifa linasonga mbele.
1. Watalii wameongezeka.
2. Ujenzi wa SGR unaendelea vipande vyote.
3. Bandari zote zinakarabatiwa na kuanzishwa mpya.
4. Miundombinu ya BRT inaendelea kujengwa.
5. Barabara ya mzunnguko Dodoma inamalizika
6. Uwanja wa ndege wa msalato unaelekea kukamilika.
7. Magufuli Bridge imekamilika.
8. Ujenzi wa Meli nne kubwa za mizigo Kutoka Karema kwenda DRC Moja imeshaanza kufanya kazi.
9. Kongani ya viwanda Kwala inafanya kazi.
10. Mabarabara na madaraja yanajengwa kila kona.
11. Makusanyo ya TRA yameongezeka.
12. Wakulima wa Tanzania wanapatiwa pesa kupitia Benki ya TADB
13. TAZARA inakarabatiwa.
14. Payment Systems tunahamia kwenye digital kwa kasi kupitia (GePG na TIPS) Hii mifumo ni ya kipekee Africa
15. Ujenzi wa Hospitals na vituo vya afya kila maeneo.
16. Ujenzi wa shule na vyuo kila maeneo.
Na mengine mengi mno kuyaorodhesha hapa.
Sasa unataka Serikali ije kumpiga mimba mama yako ndio uone inafanya kazi?
Kunaweza kuwa na chuki za hapa na pale kwa watu wa chache lakini hakuna udini Kenya.Udini na ukabila ni tatizo lenu na maana hata magaidi yanapatikana huko
Udini au ubaguzi wowote, unafanya kazi kama kuna homogeneous society yenye mgawanyiko wa wazi. Unakuta kuna kundi la pure Muslims au Christians ndani ya jamii moja, hawachangami wala kukaa chungu kimoja. Ni kama ilivyokuwa Sudan.you sound naive …
Waliua indiscriminately, wameua mpaka sheikh, chawa wa Samia. Kama mauaji yangekuwa targeted basi huyu sheikh Majini asingeuwa, sababu anajulikana.Hao mapolisi wazanzibari wameuwa Watanganyika kwa Nini?
Bro, umeona video za mashehe na ma imam wanavyoongea?Waliua indiscriminately, wameua mpaka sheikh, chawa wa Samia. Kama mauaji yangekuwa targeted basi huyu sheikh Majini asingeuwa, sababu anajulikana.