Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo port: Tanzania to commence constructing $10 billion sea port in December​



Hii inawauma sana wakenya Kwikwikwikwikwi
Sidhani kama ataweza! Lets be real! Mi naona miradi miradi yoote ya huu muhula itaenda Zanzibar kama mradi wa uwanja wa.mpira Dofoma ulivyoibukia Zanzibar!
 
You are fighting wrong enemy.
Wewe hata adui humjui.

Hii ni April 12, 2021
Tukielimisha watu kuhusu ya nini kilicho mbele yetu.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1381426224182882305

CHAN watu hawakuudhuria mechi.
Mechi za Simba, Yanga zote hazikuwa na mashabiki kabisa

View: https://x.com/ze_mandevu/status/1992883716323148191

1764000591964.png



Jahazi linazama hili na huyu maza akiwepo to 2027 ufunguzi na final zitapigwa Kenya na Uganda. Na Tanzania hakuta kuwa na maudhurio kabisa, hata ile CHAN ilikuwa na afahdali.

Mama yetu hana akili ni failure of note.
1764001189866.png

1764000169630.png
 
Hatufanyi vitu kwa mihemko. Wawekezaji walikuwa wanaleta mikataba ya ovyo.
Aliyeleta na kukubali mkataba wa hovyo wa bandari ni Kikwete, kiongozi wa mtandao wa uovu na ndie aliyemchomeka Samia kama vice president kwa kumanipulate chaguo halisi la Magufuli, Dr Hussein Mwinyi.

Kama mngekuwa hamfanyi vitu kwa mihemko, taifa lisingelifika hapa. 🚮
 
Huwa naambia akina Geza Ulole ukachukua Wakenya wachanganue hiyo economy yao watajua hamna kitu hapo. Yani majamaa wamekubali kudanganywa tu. 🤣 🤣
Nairobi Walker huwa unasema Tanzania kuna udini. Angalia mwenyewe uone jinsi tulivyo na mshikamano.
Ndio maana nasema wewe huijui Tanzania, kazi yako ni ku google tu information zinazokufavour
Tanzania has better people than Kenya, sisi hatuna UKABILA wala UDINI

View: https://www.facebook.com/100064575493778/posts/pfbid02iyxro4rrwj8rzcnkbWqG96YANsUzM7w1mM5CxwSJRxwJtKoirmRJoLUyjo6S2bUgl/?app=fbl
 
Nairobi Walker huwa unasema Tanzania kuna udini. Angalia mwenyewe uone jinsi tulivyo na mshikamano.
Ndio maana nasema wewe huijui Tanzania, kazi yako ni ku google tu information zinazokufavour
Tanzania has better people than Kenya, sisi hatuna UKABILA wala UDINI

View: https://www.facebook.com/100064575493778/posts/pfbid02iyxro4rrwj8rzcnkbWqG96YANsUzM7w1mM5CxwSJRxwJtKoirmRJoLUyjo6S2bUgl/?app=fbl

I can bring you a million videos of Kenyans from different tribes praying together. Does that prove ukabila haupo?
 
Mmejua leo?
Sisi ambao mmeharrass miaka mingi sababu kuwa na namba plate ya Kenya huko bongo, tulijua kitambo.
I can bring you a million videos of Kenyans from different tribes praying together. Does that prove ukabila haupo?
Hii yote ni kujidanganya tu, the ones in power have to push these narratives to control the masses
They should Just abolish elections and declare themselves a one party state like china waache kujidanganya na kutumia propaganda na nguvu

Hii chuki yao ya waKenya itaisha wakikubali kua wakweli
Ati sijui waberuberu wanatuhujumu, ooh tulikomboa Africa, sijui vita vya kiuchumi

Like we know Kenya is not achieving because of the corruption of our leaders and we are actively fighting daily not because there's some imaginary enemy sabotaging the country,

we have no excuse to blame a foreign entity for our problems

Even if there's someone sabotaging us, our systems should be strong enough to resist them.
 
I can bring you a million videos of Kenyans from different tribes praying together. Does that prove ukabila haupo?
Hauwezi kuprove kuwa ukabila haupo Kenya kwa sababu kuna matukio mengi mabaya ya kikabila yametokea Kenya yanaonesha mna UKABILA sana

Sisi hapa Tanzania hakuna udini, na hii issue haijawahi kuwa serious kama ilivyo kwa ukabila nchini Kenya. Tanzania kilichotokea ni huyo sheikh aliyelipwa kujaribu kuleta udini na ameshindwa kwa jina la Yesu, inshaallah
 
Back
Top Bottom