Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo port: Tanzania to commence constructing $10 billion sea port in December​



Hii inawauma sana wakenya Kwikwikwikwikwi
Sidhani kama ataweza! Lets be real! Mi naona miradi miradi yoote ya huu muhula itaenda Zanzibar kama mradi wa uwanja wa.mpira Dofoma ulivyoibukia Zanzibar!
 
You are fighting wrong enemy.
Wewe hata adui humjui.

Hii ni April 12, 2021
Tukielimisha watu kuhusu ya nini kilicho mbele yetu.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1381426224182882305

CHAN watu hawakuudhuria mechi.
Mechi za Simba, Yanga zote hazikuwa na mashabiki kabisa

View: https://x.com/ze_mandevu/status/1992883716323148191

1764000591964.png



Jahazi linazama hili na huyu maza akiwepo to 2027 ufunguzi na final zitapigwa Kenya na Uganda. Na Tanzania hakuta kuwa na maudhurio kabisa, hata ile CHAN ilikuwa na afahdali.

Mama yetu hana akili ni failure of note.
1764001189866.png

1764000169630.png
 
Hatufanyi vitu kwa mihemko. Wawekezaji walikuwa wanaleta mikataba ya ovyo.
Aliyeleta na kukubali mkataba wa hovyo wa bandari ni Kikwete, kiongozi wa mtandao wa uovu na ndie aliyemchomeka Samia kama vice president kwa kumanipulate chaguo halisi la Magufuli, Dr Hussein Mwinyi.

Kama mngekuwa hamfanyi vitu kwa mihemko, taifa lisingelifika hapa. 🚮
 
Huwa naambia akina Geza Ulole ukachukua Wakenya wachanganue hiyo economy yao watajua hamna kitu hapo. Yani majamaa wamekubali kudanganywa tu. 🤣 🤣
Nairobi Walker huwa unasema Tanzania kuna udini. Angalia mwenyewe uone jinsi tulivyo na mshikamano.
Ndio maana nasema wewe huijui Tanzania, kazi yako ni ku google tu information zinazokufavour
Tanzania has better people than Kenya, sisi hatuna UKABILA wala UDINI

View: https://www.facebook.com/100064575493778/posts/pfbid02iyxro4rrwj8rzcnkbWqG96YANsUzM7w1mM5CxwSJRxwJtKoirmRJoLUyjo6S2bUgl/?app=fbl
 
Nairobi Walker huwa unasema Tanzania kuna udini. Angalia mwenyewe uone jinsi tulivyo na mshikamano.
Ndio maana nasema wewe huijui Tanzania, kazi yako ni ku google tu information zinazokufavour
Tanzania has better people than Kenya, sisi hatuna UKABILA wala UDINI

View: https://www.facebook.com/100064575493778/posts/pfbid02iyxro4rrwj8rzcnkbWqG96YANsUzM7w1mM5CxwSJRxwJtKoirmRJoLUyjo6S2bUgl/?app=fbl

I can bring you a million videos of Kenyans from different tribes praying together. Does that prove ukabila haupo?
 
Back
Top Bottom