Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii Insha nenda kawaambie wakenya wenzako. Kila mtu anajua imewauma sana kuona watu wenu mliowaleta kuanzisha vurugu tumewakamata na wengine hawana miguu. Kwikwikwikwi

Sisi huku mambo mwake tunaendelea na maisha kama kawaida. Na kutokea hapa tumepata fundisho, hatucheki tena na kima kuto Kundustan.
You are a lost case this one. Killing your countrymen and branding them as Kenyans has to be the lowest of them all.
Little correction Mkuu there wasn't any Power Blackout. Cause ukizima umeme imagine usiku itakuaje mitaani.

So all these days only internet was shutdown plus media aka Ving'amuzi, wapuuzi waliachia TBC tu.
point noted.
But it makes sense when Lissu says to reform first before elections- Tanzania is way better than other countries but such a situation just brings the whole of EA to its knees.
 
The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets and activists to tarnish Tanzania’s image failed

Either Kenyans are being used knowingly or unknowingly. The Kenyan media is being used to spread a plan planned for many years by Mr. PAKA. This guy tried to influence Uhuru and they formed COW with Museven, Tanzanian Intelligence explained the whole plan to Uhuru Kenyatta, COW died. This guy formed the M24 group to extract wealth from the DRC while Belgium and Germany helped him for the benefit of those countries.

Many Kenyans are blind, they are on the internet to create content to defame Tanzania while dancing to a dance they don’t know.

The Russian Intelligence Service told Tanzania (TISS) about the plan that the guy had planned for this year’s elections. Tanzania arrested Tundu Lissu and charged him with treason in order to expose the perpetrators of the plan.

The European Parliament passed a resolution so that Tanzania could release Tundu Lisu. The world saw who initiated the motion. Most of the MPs were from Germany.

Many Kenyans bark like dogs on social media. But Intelligence does not work in that way.

Germany is very hurt by the defeat in the second world war. The UK is on the side of Tanzania and they know all the tricks. The USA will not be able to interfere in anything that happened in Tanzania because they know those Germans and this guy from the landlocked. The USA forced them to sign a peace agreement with the DRC after being cornered by Tanzanian forces in Eastern Congo.

Your choice, Kenyans, is clear: either agree to side with Tanzania or cooperate with those who continue colonialism.
While I 100% agree with this, you must also know that, Kikwete is one big problem in Tanzania. We created Kagame and we must be responsible for demise as well.
 
Mambo ya Kagame na HIMA empire tunayafahamu, swali kuu ni sababu ipi ilifanya watu waliojikalia makwao bila hata ya kuandamana kuuliwa kwa risasi za moto?
Chamoto ni lazima utambue kuwa kwenye haya maandamano, kulikuwa na infilitretaz ambao ndio wanahusika na mauaji mengi ya Watanzania na uchomaji wa miundombinu muhimu. Kaka yangu ni TISS na hii ni taarifa yenye ukweli.
Tuna tatizo moja kama nchi, Kikwete na genge lake, halina ubishi hili na tunapozinguana ndani wapo wenye ajenda nje huingia kuchochea na kufanya yao as is the case of Kenyans online na kenyan media, ANC ya Ramaphosa.

Kagame ni wakutoa pale Kigali. Tumemtrain sisi na ni wajibu wetu kumtoa sasa.
 
Chamoto ni lazima utambue kuwa kwenye haya maandamano, kulikuwa na infilitretaz ambao ndio wanahusika na mauaji mengi ya Watanzania na uchomaji wa miundombinu muhimu.
Kuna ndugu ameniambia BRT ya Morogoro haifanyi kazi, nimesikitika sana.
Kaka yangu ni TISS na hii ni taarifa yenye ukweli.
Tuna tatizo moja kama nchi, Kikwete na genge lake, halina ubishi hili na tunapozinguana ndani wapo wenye ajenda nje huingia kuchochea na kufanya yao as is the case of Kenyans online na kenyan media, ANC ya Ramaphosa.
Nilifikiria hili la infiltrators, kwasababu haiingii akilini, watu waende kwenye nyumba za watu na kubomoa milango na kuua, itakuwa waliletwa kufanya hivyo wakati wa chaos ili kutengenezea chuki kwa watanzania. Nimemuuliza Venus Star mara kadhaa, nini hasa bababu ya watu kuchinjwa vile, anasema, "uchunguzi unafanyika". Sasa wewe umeweka mwanga zaidi ya nini hasa kilitokea.

Kama ulivyosema, tatizo kubwa hapa ni Kikwete na genge lake, nimeliongelea hili hapa JF kwa miaka 15 sasa. Tamaa zake za mali zinatuharibia nchi, anatengeneza mazingira ya kuongeza nyufa kwenye nyumba yetu, ambapo nondo na mchwa kutoka nje wataingia kirahisi.
 
Kuna ndugu ameniambia BRT ya Morogoro haifanyi kazi, nimesikitika sana.

Nilifikiria hili la infiltrators, kwasababu haiingii akilini, watu waende kwenye nyumba za watu na kubomoa milango na kuua, itakuwa waliletwa kufanya hivyo wakati wa chaos ili kutengenezea chuki kwa watanzania. Nimemuuliza Venus Star mara kadhaa, nini hasa bababu ya watu kuchinjwa vile, anasema, "uchunguzi unafanyika". Sasa wewe umeweka mwanga zaidi ya nini hasa kilitokea.

Kama ulivyosema, tatizo kubwa hapa ni Kikwete na genge lake, nimeliongelea hili hapa JF kwa miaka 15 sasa. Tamaa zake za mali zinatuharibia nchi, anatengeneza mazingira ya kuongeza nyufa kwenye nyumba yetu, ambapo nondo na mchwa kutoka nje wataingia kirahisi.

BRT ya Morogoro road ilifanyiwa hujuma kubwa Sanaa. Ilifanyiwa mashambulizi ya kimkakati na kuhakikisha imekuwa totally paralyzed.

Walihakikisha wamevunja ile mifumo yote ya ku scan Kadi au simu kwenye zile turnstile gates za vituo vyote. Mifumo ya IT na computer zote wamevunja na kuchoma moto. Zile za GPS ili kuweza kukata tickets kwa Apps za simu pia wamechoma. So ni mfumo mzima umeharibika bado kuvunja vunja vioo na milango ya vituoni.
RC wa Dar kasema labda huduma zitarejea upya baada ya miezi 3 lakini sidhani...inaweza chukua zaidi ya miezi 6 kurudi upya. Kwa ule ushambuliaji wa mfumo mzima wa BRT unaona kabisa ule ulikuwa ni mpango mkakati na walikuwa wanajua wanachokifanya ni makusudi haswaa.
 
30+ floors and it has barely made any headlines. Boy are we spoilt for choice to the point of taking things for granted.
And to think that one of the most iconic building in Nairobi, I&M Bank tower, is only 16 floors... We've come from far.

I believe Dar is where we were in early 2000s. (Doesn't mean 25 years away. Big difference. Cities are developing much faster than in 2000s,). Addis is the best example.

Nairobi's edge (CBD) will always be that of an almost European, well-organized, wall-to-wall buildings on narrow streets layout. In Sub-Saharan Africa, I think only SA has something similar. To replicate that will be hard. Plus the trees and the parks.

The other day I saw a video tour of Dodoma's new government city and almost puked at what should in theory "be a future great state capitol' for one of these united states of EA.

Huuuge parking lots inside massive fenced compounds. ZERO chance of developing a CBD around that. They'll forever look and feel like Ngong Road car yards.. with the downside that they'll probably not be replaced in 50 years.

Yaani, even with today's tech to build underground parking lots and walkable, dense cities, they still went that cheap route.
I believe the last truly long term visionary president in East Africa (- Kagame), was Kibaki.
I remember there was a time when we were chearing and exited over a single 20 floor building U/C in Nairobi, right now 20 floor buildings U/C barely breaks the news the same will happen to 30floors buildings U/C. Going forward 50+ floors will get us excited.
Both Nairobi and Addis are facing and headinging towards East Asia's footpath.cities such us kualalumper,Taipei,macau,Bangkok,Manila,Jarkata,singapore, seol had a similar path as they began growing. We are still on our baby steps but if the pace continues as it is or even better increases , we will surely get there.👏👏
Addis👏🙌👌
Screenshot_20251108_064249_Chrome.jpg
Screenshot_20251108_064255_Chrome.jpg

Screenshot_20251108_064418_Chrome.jpg

Screenshot_20251108_064409_Chrome.jpg
NBO👏👌🙌
GTC 2.jpg
Screenshot_20251108_064616_Chrome.jpg
FB_IMG_1746695332038.jpg
b792631deb3c428999ae375c307e02dc.jpg
IMG_6614.jpeg
IMG_6616.jpeg
IMG_9917.jpeg
Screenshot_20251108_064808_Chrome.jpg
Screenshot_20251108_064603_Chrome.jpg
 
I remember there was a time when we were chearing and exited over a single 20 floor building U/C in Nairobi, right now 20 floor buildings U/C barely breaks the news the same will happen to 30floors buildings U/C. Going forward 50+ floors will get us excited.
Both Nairobi and Addis are facing and headinging towards East Asia's footpath.cities such us kualalumper,Taipei,macau,Bangkok,Manila,Jarkata,singapore, seol had a similar path as they began growing. We are still on our baby steps but if the pace continues as it is or even better increases , we will surely get there.👏👏
Addis👏🙌👌
View attachment 3498860View attachment 3498861
View attachment 3498865
View attachment 3498867NBO👏👌🙌
View attachment 3498868View attachment 3498869View attachment 3498871View attachment 3498873View attachment 3498882View attachment 3498883View attachment 3498884View attachment 3498875View attachment 3498886
Actually even 30 floors are not making headlines currently. There are several buildings of 30 floors that are coming up, others in pipeline and nobody knows about them.
 
BRT ya Morogoro road ilifanyiwa hujuma kubwa Sanaa. Ilifanyiwa mashambulizi ya kimkakati na kuhakikisha imekuwa totally paralyzed.

Walihakikisha wamevunja ile mifumo yote ya ku scan Kadi au simu kwenye zile turnstile gates za vituo vyote. Mifumo ya IT na computer zote wamevunja na kuchoma moto. Zile za GPS ili kuweza kukata tickets kwa Apps za simu pia wamechoma. So ni mfumo mzima umeharibika bado kuvunja vunja vioo na milango ya vituoni.
RC wa Dar kasema labda huduma zitarejea upya baada ya miezi 3 lakini sidhani...inaweza chukua zaidi ya miezi 6 kurudi upya. Kwa ule ushambuliaji wa mfumo mzima wa BRT unaona kabisa ule ulikuwa ni mpango mkakati na walikuwa wanajua wanachokifanya ni makusudi haswaa.
Now we are talking. Tukianza kujadiliana kwa details hivi tutaelewa plan ilikuwaje. Na ninazidi kuwaeleza japo wengine wanakasilika, nawasamehe tu either kwakuwa hawajui au kwakuwa wananichukia.

Wale vijana waliosomewa mashitaka ni geresha tu. Nguli wapo nyuma na kuna wengine waliotoka nje ya nchi utawaona baadae.

This is serious war na majirani zetu. Wao vita hii ya kiuchumi wanaichukulia serious kabisa. Sisi tunaleta mashala.

Wakeup guys
Wametengeneza accounts nyingi sana fake kwenye mitandao ya kijamii na wanajifanya watanzania.
 
Kuna ndugu ameniambia BRT ya Morogoro haifanyi kazi, nimesikitika sana.

Nilifikiria hili la infiltrators, kwasababu haiingii akilini, watu waende kwenye nyumba za watu na kubomoa milango na kuua, itakuwa waliletwa kufanya hivyo wakati wa chaos ili kutengenezea chuki kwa watanzania. Nimemuuliza Venus Star mara kadhaa, nini hasa bababu ya watu kuchinjwa vile, anasema, "uchunguzi unafanyika". Sasa wewe umeweka mwanga zaidi ya nini hasa kilitokea.

Kama ulivyosema, tatizo kubwa hapa ni Kikwete na genge lake, nimeliongelea hili hapa JF kwa miaka 15 sasa. Tamaa zake za mali zinatuharibia nchi, anatengeneza mazingira ya kuongeza nyufa kwenye nyumba yetu, ambapo nondo na mchwa kutoka nje wataingia kirahisi.
Kaka nimekupatia code nyingi sana ili uweze kuzielewa. Nilikuuliza swali, umewahi kuwaza kuwa Captain Tesha yupo wapi? Nikauliza kwanini hatufikirii kuhusu huyo jamaa?

Sikumbuki kama ni wewe ulisema Serikali ipo na wajibu wa kulinda raia. Sikutaka tena kuendelea na ku decode encryption. Maana vitu vyote vipo wazi na ushahidi.

Ndio maana kiongozi wa juu kabisa yaani msaidizi wa Putin alitumwa kuja Tanzania.

Urusi wapo na satellites angani wanaona movements zote zinazoendelea.

Jana CDF wa Kenya wamekutana na CDF wa Rwanda baada ya mimi kuweka uzi kuhusu PAKA na ujio wa Russia.

Unganisha dots kaka, we are in war with Kenya and Rwanda. Hizi kwenye media ni prompts to kutengeneza sababu.

Kenyan media wanapiga kelele kuhusu raia wao wameuawa nchini Tanzania, na wengine wamekamatwa, so wanataka kutengeneza vikundi vya kigaidi kwa kisingizio kuwa wanakuja kuwaokoa ndugu zao.

Kaa mkao huo huo.

Minong'ono inasema Askofu Gwajima kipindi cha Lowassa (UKAWA) walipeleka mafunzo ya kijeshi vijana zaidi ya 200, walirudi nchini baadae. Vijana hao juzi kati walichukuliwa na inasemekana yalifanyika mafunzo ya vijana kama 500 huko kenya wakiungana na vijana hawa. Vijana hawa 200 wengine walikuwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Kuna rafiki yangu mmoja ambaye anauza sana kahawa pale magomeni mwembe chai alikuwa akitusimulia kwenye kijiwe cha kahawa, akasema kabla ya uchaguzi miamba hao 200 walipotea wengine hawaonekani kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Mange kimambi na Maria Sarungi ni kama vichaa lakini wamekusanya taarifa nyingi mno maana adui zetu wamewaamini.

Uzuri hawa watu tumewazidi hatua nyingi sana kwenye mambo ya Intelligece.

Wao wanatumia Art of Deal Methodoloy sisi tunatumia Art of War Methodology

Art of Deal iliundwa na Trump yenye mbinu zake ni kupiga kelele sana na kujionesha wewe unanguvu, kumtisha adui yako ili aje kwenye meza ya mazungumzo na uweze dictate conditions.

But art of War unahakikisha adui yako unamjua zaidi na unajijua zaidi. Adui yako aone uko mbali kumbe wewe upo karibu mno, na aone upo karibu kumbe wewe upo mbali mno.

Ni hayo tu kaka yangu.
 
Naendelea. Kumbuka Uganda kuna uchaguzi hivi karibuni ndio maana Museven hakuja, bali alimtuma Makamu wake. The highest Fegure in Uganda Government. Uganda wapo upande wetu.

Somalia alikuja President wao, our strategical partner kumuweka kati Kenya. Akitaka kuleta usela nondo, tunapita kupitia Somalia na ku fix problem.

Wenyewe plan yao ni kupitia Msumbiji, huko tayari tulishaweka sawa. Rwanda waliwapeleka wanajeshi wao huko ili kuleta vya kuleta. Tuliwafiiiira hawana hamu tena. Ndio maana Rais wa Msumbiji alikuja kwenye uapisho.

Mdomoni mwa Rwanda yupo burundi amemkalia kooni, Magharibi kuna Eastern Congo yapo majeshi yetu TANZBATT yanalinda amani kuhakikisha hafurukuti, upande mwingine yupo Uganda, tuna mfix asubuhi tu huyu PAKA.

Malawi mwandishi wa Ripoti ya SADC ya kuponda uchaguzi wa Tanzania. Huyo aliletwa kimkakati ili aweze kutoa ya moyoni. Tayari Malawi ameshaonesha mwelekeo wake kwamba hayupo upande wetu. Ripoti haiwezi kutolewa posipo kushirikisha serikali yake. Hiyo Ripoti ni msimamo wa Malawi. Tumeshawaelewa upande walipo maana tulikuwa hatuwaelewi elewi. So Yupo Zambia upande wake wa Magharibi rafiki yetu wa kufa na kuzikana. Na upande mwingine wa mashariki yupo msumbiji, Malawi tunamuweka kati.

Mchezo unaishia hapo.

NJAMA ZA WAKENYA SISI TUNAZIJUA KITAMBO NA WAKATI HUU TUMEWAACHA WAKAINGIA KWENYE 18 ZETU TUMEMALIZA MCHEZO

Baada ya miezi miwili Mange Kimambi na Maria Sarungi watapewa pension yao na kwenda kula maisha Swizaland.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE
 
BRT ya Morogoro road ilifanyiwa hujuma kubwa Sanaa. Ilifanyiwa mashambulizi ya kimkakati na kuhakikisha imekuwa totally paralyzed.

Walihakikisha wamevunja ile mifumo yote ya ku scan Kadi au simu kwenye zile turnstile gates za vituo vyote. Mifumo ya IT na computer zote wamevunja na kuchoma moto. Zile za GPS ili kuweza kukata tickets kwa Apps za simu pia wamechoma. So ni mfumo mzima umeharibika bado kuvunja vunja vioo na milango ya vituoni.
RC wa Dar kasema labda huduma zitarejea upya baada ya miezi 3 lakini sidhani...inaweza chukua zaidi ya miezi 6 kurudi upya. Kwa ule ushambuliaji wa mfumo mzima wa BRT unaona kabisa ule ulikuwa ni mpango mkakati na walikuwa wanajua wanachokifanya ni makusudi haswaa.
Definitely kulikuwa na hujuma za mali za umma na ilianza kwa treni ya SGR, tatizo ni nani alipanga kuharibu, kwa maslahi ya nani?

Tumeambiwa ni watu kutoka nje, hii inaweza kuwa kweli kwa asilimia kubwa lakini vipi kuhusu hawa CCM mtandao? Kwa nini familia ya Kikwete inashikilia sana serikali hii ya Samia? Mbona Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Magufuli hawakufanya hivi? Kwa nini ni yeye tuu?
 
Back
Top Bottom