Kuna ndugu ameniambia BRT ya Morogoro haifanyi kazi, nimesikitika sana.
Nilifikiria hili la infiltrators, kwasababu haiingii akilini, watu waende kwenye nyumba za watu na kubomoa milango na kuua, itakuwa waliletwa kufanya hivyo wakati wa chaos ili kutengenezea chuki kwa watanzania. Nimemuuliza
Venus Star mara kadhaa, nini hasa bababu ya watu kuchinjwa vile, anasema, "uchunguzi unafanyika". Sasa wewe umeweka mwanga zaidi ya nini hasa kilitokea.
Kama ulivyosema, tatizo kubwa hapa ni Kikwete na genge lake, nimeliongelea hili hapa JF kwa miaka 15 sasa. Tamaa zake za mali zinatuharibia nchi, anatengeneza mazingira ya kuongeza nyufa kwenye nyumba yetu, ambapo nondo na mchwa kutoka nje wataingia kirahisi.
Kaka nimekupatia code nyingi sana ili uweze kuzielewa. Nilikuuliza swali, umewahi kuwaza kuwa Captain Tesha yupo wapi? Nikauliza kwanini hatufikirii kuhusu huyo jamaa?
Sikumbuki kama ni wewe ulisema Serikali ipo na wajibu wa kulinda raia. Sikutaka tena kuendelea na ku decode encryption. Maana vitu vyote vipo wazi na ushahidi.
Ndio maana kiongozi wa juu kabisa yaani msaidizi wa Putin alitumwa kuja Tanzania.
Urusi wapo na satellites angani wanaona movements zote zinazoendelea.
Jana CDF wa Kenya wamekutana na CDF wa Rwanda baada ya mimi kuweka uzi kuhusu PAKA na ujio wa Russia.
Unganisha dots kaka, we are in war with Kenya and Rwanda. Hizi kwenye media ni prompts to kutengeneza sababu.
Kenyan media wanapiga kelele kuhusu raia wao wameuawa nchini Tanzania, na wengine wamekamatwa, so wanataka kutengeneza vikundi vya kigaidi kwa kisingizio kuwa wanakuja kuwaokoa ndugu zao.
Kaa mkao huo huo.
Minong'ono inasema Askofu Gwajima kipindi cha Lowassa (UKAWA) walipeleka mafunzo ya kijeshi vijana zaidi ya 200, walirudi nchini baadae. Vijana hao juzi kati walichukuliwa na inasemekana yalifanyika mafunzo ya vijana kama 500 huko kenya wakiungana na vijana hawa. Vijana hawa 200 wengine walikuwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Kuna rafiki yangu mmoja ambaye anauza sana kahawa pale magomeni mwembe chai alikuwa akitusimulia kwenye kijiwe cha kahawa, akasema kabla ya uchaguzi miamba hao 200 walipotea wengine hawaonekani kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Mange kimambi na Maria Sarungi ni kama vichaa lakini wamekusanya taarifa nyingi mno maana adui zetu wamewaamini.
Uzuri hawa watu tumewazidi hatua nyingi sana kwenye mambo ya Intelligece.
Wao wanatumia
Art of Deal Methodoloy sisi tunatumia
Art of War Methodology
Art of Deal iliundwa na Trump yenye mbinu zake ni kupiga kelele sana na kujionesha wewe unanguvu, kumtisha adui yako ili aje kwenye meza ya mazungumzo na uweze dictate conditions.
But art of War unahakikisha adui yako unamjua zaidi na unajijua zaidi. Adui yako aone uko mbali kumbe wewe upo karibu mno, na aone upo karibu kumbe wewe upo mbali mno.
Ni hayo tu kaka yangu.