Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli upo hapo hapo, na ukiangalia historia tangu wanamtandao walipoingia, wao kwenye kuua na kutumia umafia kutekeleza ajenda zao, siyo ishu.

Tukiutoa mzizi wa fitna (mtandao) kila kitu kinakaa sawa.

Siasa za Bongo Mimi sizijui kabisa Bro... Ndioo inaweza kuwa sio na sio ikawa ndioo...
Haswa inapokuja kwa dude kama CCM ambalo ndio serikali na ndio upinzani pia ni shida. Ukiweka na sijui mtandao ndio unavuruga kabisa... Mimi siasa yetu naijua juu juu tu!
 
Siasa za Bongo Mimi sizijui kabisa Bro... Ndioo inaweza kuwa sio na sio ikawa ndioo...
Haswa inapokuja kwa dude kama CCM ambalo ndio serikali na ndio upinzani pia ni shida. Ukiweka na sijui mtandao ndio unavuruga kabisa... Mimi siasa yetu naijua juu juu tu!
CCM kama chama hakina shida. Tatizo lipo kwenye kund la watu ndani ya chama. Hata kama CCM itaondolewa bado wanamtandao watakuwepo, maana wapo mpaka Chadema.
 
Dar watu 145 wameshtakiwa kwa uhaini na mwanza watu 173 makosa mengine. Je kuna hata mtu mmoja kutoka nje?
Au wauaji walikuwa na shabaha na IDs kuhakikisha kila mgeni wanamuua?

Yaani watu watoke Kenya sijui Rwanda waje kuhujumu BRT what's so special about hio BRT ambayo ishajifia zimebaki barabara na mabanda mabovu tu?
Hukuwa unapay attention to details, jifunze kupay attention kwa kila detail however little, insignificant it appears. Kama ulikuwa unapay attention vyema, ungegundua kuwa ndani ya nchi kuna mtandao mkubwa sana wa Watanzania wanao shirikiana bega kwa bega na Wakenya kwenye kuhujumu nchi, hasa kundi la Chadema.

Kila tukio la SGR treni, imefeli imepata tatizo wana watu ndani ya hiyo treni kuwapa picha, video clips na other info na ndio kundi la kwanza kupost taarifa hizo mtandaoni hata kabla ya shirika na ndio kundi limekuwa likishangilia sana na mara zote kila aina ya tatizo treni au miundombizu yetu ikipata tatizo ama itilaf.

Akwilina alipigwa risasi na watu waliokuwepo kwenye maandamano na walifyatua risasi randomly, na Chadema kukodi thugs from Kenya imekuwa ni kawaida yao kama iklivyokuwa Arusha walipo pora Askari silaha na kuuawa na Dr Slaa na mkewe kupigwa na kutoka damu.
Chamoto AMARII
 
Hukuwa unapay attention to details, jifunze kupay attention kwa kila detail however little, insignificant it appears. Kama ulikuwa unapay attention vyema, ungegundua kuwa ndani ya nchi kuna mtandao mkubwa sana wa Watanzania wanao shirikiana bega kwa bega na Wakenya kwenye kuhujumu nchi, hasa kundi la Chadema.

Kila tukio la SGR treni, imefeli imepata tatizo wana watu ndani ya hiyo treni kuwapa picha, video clips na other info na ndio kundi la kwanza kupost taarifa hizo mtandaoni hata kabla ya shirika na ndio kundi limekuwa likishangilia sana na mara zote kila aina ya tatizo treni au miundombizu yetu ikipata tatizo ama itilaf.

Akwilina alipigwa risasi na watu waliokuwepo kwenye maandamano na walifyatua risasi randomly, na Chadema kukodi thugs from Kenya imekuwa ni kawaida yao kama iklivyokuwa Arusha walipo pora Askari silaha na kuuawa na Dr Slaa na mkewe kupigwa na kutoka damu.
Chamoto AMARII
BS.
 
CCM kama chama hakina shida. Tatizo lipo kwenye kund la watu ndani ya chama. Hata kama CCM itaondolewa bado wanamtandao watakuwepo, maana wapo mpaka Chadema.
Kikwete ndio shida nchini, na makundi ndani ya CCM yalianzishwa na Kikwete na Lowassa na ndio kundi linalotesa Tanzania kwa miaka nenda rudi na ndio kundi klimetukosesha rais bora, Dr Salim Ahmed Salim, ndio kundi limemzima Magufuli na ndio lilikuwa likimuhujumu na ndio kundi lililo mpachaika Samia madarakani.



View: https://x.com/KipepeComrade/status/1986533538502467876


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1986536347616878965


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1986537627353292935


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1986541247058624713


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1986539273718276390
 
CCM kama chama hakina shida. Tatizo lipo kwenye kund la watu ndani ya chama. Hata kama CCM itaondolewa bado wanamtandao watakuwepo, maana wapo mpaka Chadema.
State capture....

Kutoka hapo ni ngumu....jamaa hao wana akili na wame leverage our resources kwa wakubwa hivyo wako Mbele ya muda kwenye kila kitu..
 
MAma yuko vizuriii
1000196292.jpg
 
Kikwete ndio shida nchini, na makundi ndani ya CCM yalianzishwa na Kikwete na Lowassa na ndio kundi linalotesa Tanzania kwa miaka nenda rudi na ndio kundi klimetukosesha rais bora, Dr Salim Ahmed Salim, ndio kundi limemzima Magufuli na ndio lilikuwa likimuhujumu na ndio kundi lililo mpachaika Samia madarakani.
Ndiyo maana Mtanzania yeyote asiyeliona hili tatizo, mi naona na yeye pia ni seheme ya tatizo. Huwezi kujidai mzalendo wa kweli halfu usione tatizo la Kikwete.
 
Hukuwa unapay attention to details, jifunze kupay attention kwa kila detail however little, insignificant it appears. Kama ulikuwa unapay attention vyema, ungegundua kuwa ndani ya nchi kuna mtandao mkubwa sana wa Watanzania wanao shirikiana bega kwa bega na Wakenya kwenye kuhujumu nchi, hasa kundi la Chadema.

Kila tukio la SGR treni, imefeli imepata tatizo wana watu ndani ya hiyo treni kuwapa picha, video clips na other info na ndio kundi la kwanza kupost taarifa hizo mtandaoni hata kabla ya shirika na ndio kundi limekuwa likishangilia sana na mara zote kila aina ya tatizo treni au miundombizu yetu ikipata tatizo ama itilaf.

Akwilina alipigwa risasi na watu waliokuwepo kwenye maandamano na walifyatua risasi randomly, na Chadema kukodi thugs from Kenya imekuwa ni kawaida yao kama iklivyokuwa Arusha walipo pora Askari silaha na kuuawa na Dr Slaa na mkewe kupigwa na kutoka damu.
Chamoto AMARII
RRONDO naona umempa REAL Comrade Kipepe comment ya B.S

Kuhusu Chadema kushirikiana na Kenya sijui, ila chochote kinawezekana hasa ukiangalia dunia yetu ipo kwenye transition period, ya multipolar world.

Ishu ya SGR kuharibika inaweza kuwa ni watu wa nje au ndani na kwenye mambo haya ni vizuri kuangalia signal badala ya noise.

  • Je ni nani aliripoti haraka ajali ilipotokea, nani alikaa kimya?
  • Serikali ilisema nini?
  • Je serikali ilileta mrejesho au iliishia hapo?
  • Treni ya mizigo iliishia wapi, mbona kipande cha bandarini kimechukua miaka mingi kukamilika?
  • Nani atafaidika SGR ikiharibika?

Hizo zote ni signals.

Sasa kama kuna sabotage kutoka Kenya, ni nani anazuia kukamilika reli ya mizigo? Ni Wakenya? Kama ni hivyo basi hatuna nchi.

Tatizo letu kubwa ni kuwa Kikwete hana uzalendo na Tanganyika na hili aliionesha toka kipindi cha urais wake kwa kutuletea Richmond na mikataba ya gesi pamoja na ule mkataba wa bandari ya Bagamoyo, na yeye ndiyo sponsor wa Samia.

Samia alipoingia tuu ikulu bando la simu likaongezeka mara dufu, kutukomoa. Magu aliahidi kupunguza gharama za umeme, bwawa la Nyerere likikamilika, Samia hajafanya hivyo. Sana sana ameongeza bei ya kuunganisha umeme wa REA kutoka Tsh 27,000.

Utaona hapa jinsi hii collable inavyoshirikiana kumfanya mtanzania awe masikini, akitokea mtu anapiga sauti anashughulikiwa kwa nguvu zote, hii ni kwa faida ya nani?

Sasa hivi Vijana wamejaa upepo hasa baada ya mauaji, unaweza kuta, wamefanya hivyo makusudi, ili watu wawe busy na mauaji (smoke screen) huku wao wanafanya ufisadi wa kutisha.
 
Hukuwa unapay attention to details, jifunze kupay attention kwa kila detail however little, insignificant it appears. Kama ulikuwa unapay attention vyema, ungegundua kuwa ndani ya nchi kuna mtandao mkubwa sana wa Watanzania wanao shirikiana bega kwa bega na Wakenya kwenye kuhujumu nchi, hasa kundi la Chadema.

Kila tukio la SGR treni, imefeli imepata tatizo wana watu ndani ya hiyo treni kuwapa picha, video clips na other info na ndio kundi la kwanza kupost taarifa hizo mtandaoni hata kabla ya shirika na ndio kundi limekuwa likishangilia sana na mara zote kila aina ya tatizo treni au miundombizu yetu ikipata tatizo ama itilaf.

Akwilina alipigwa risasi na watu waliokuwepo kwenye maandamano na walifyatua risasi randomly, na Chadema kukodi thugs from Kenya imekuwa ni kawaida yao kama iklivyokuwa Arusha walipo pora Askari silaha na kuuawa na Dr Slaa na mkewe kupigwa na kutoka damu.
Chamoto AMARII
Is this the best script you could come up with? 🤣
 
Hukuwa unapay attention to details, jifunze kupay attention kwa kila detail however little, insignificant it appears. Kama ulikuwa unapay attention vyema, ungegundua kuwa ndani ya nchi kuna mtandao mkubwa sana wa Watanzania wanao shirikiana bega kwa bega na Wakenya kwenye kuhujumu nchi, hasa kundi la Chadema.

Kila tukio la SGR treni, imefeli imepata tatizo wana watu ndani ya hiyo treni kuwapa picha, video clips na other info na ndio kundi la kwanza kupost taarifa hizo mtandaoni hata kabla ya shirika na ndio kundi limekuwa likishangilia sana na mara zote kila aina ya tatizo treni au miundombizu yetu ikipata tatizo ama itilaf.

Akwilina alipigwa risasi na watu waliokuwepo kwenye maandamano na walifyatua risasi randomly, na Chadema kukodi thugs from Kenya imekuwa ni kawaida yao kama iklivyokuwa Arusha walipo pora Askari silaha na kuuawa na Dr Slaa na mkewe kupigwa na kutoka damu.
Chamoto AMARII
Sasa ni wakenya ndio walikodiwa wake kuuwa watu Tanzania? You guys never fails to amaze me😂😂😂.

From Wakenya ndio walikuwa wamekuwa to Wakenya ndio walikuwa wanauwa watanzania ndani ya Tanzania. Yani you people when will you stop blaming Kenya and Kenyans in everything and face your problems head on?

Your inferiority complex is now becoming too much.
 
Back
Top Bottom