Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hongera Al Hilal.
1760709382564.jpeg
 
Im showing you World Bank Data backed by UNHabitat lakini wewe na upumbavu wako unatuonyesha Facebook page ya udaku. You must be really dumb kusema ukweli.

View attachment 3489968
Maumivu yakizidi kula panadol ukalale. wewe unaonesha WB data backed by UNHABITAT 4 years ago while I am showing you ya motomoto from UNHABITAT 2025 Q3.
 
Duuu! Sasa sijui ni matatizo ya uelewa mzuri lugha yenu ya Malkia ama ulimbukeni wa kutaka kuonekana unajua sana na kujikuta unaongea ujinga.

Umeandika, "the Tanzanian flag is no more similar to"

Unaposema "no more similar to" una maanisha two things were formerly similar, and are now different.

Sasa kama zilikuwa zinafanana kipi ni tofauti kwa sasa maana hizo bendera hazijabadilika rangi wala maana za rangi zake?
Shida ya Tanzania kama kawaida ni lugha ya Kiingereza. Ningejua ningeandika kwa Kiswahili tu. 🤣 🤣 What do they teach you in High School English classes bro? 🤣🤣
Nimeandika "Tanzanian flag is no more similar to the SA flag than the Kenyan flag is"
It is a comparison between the countries (Kenya and Tanzania), not across time.
Mje Kenya tuwafunze lugha ya Kiingereza.
Ila leo umenichekesha sana na ignorance yako. Itabidi nilale na viatu. 🤣 🤣
 
Kama sisi sio creative why wasanii wetu na nyimbo zao ndio bora Africa mashariki na kati ya bora Africa?
Wabongo mnajua sana kutunga na kuimba nyimbo za mapenzi ila nyimbo za uzalendo, siasa na general conscious issues hamfikii Kenya ndio maana nyimbo zingine zilizotungwa na Wakenya mnazichukua mkizigeuza kambe za Tanzania kwa global arena kama huu hapa.


View: https://www.youtube.com/watch?v=irmv5Cpuuzo&list=RDirmv5Cpuuzo&start_radio=1

Kuna wakati nikiwa Tanzania nimeskia pia huu wimbo wa Daima Mkenya wa Eric Wainaina ukiimbwa ila ulibadilishwa kuwa Daima Mtanzania. Hiyo version sijaipata YouTube.


View: https://www.youtube.com/watch?v=LdXhhm9dAmA&list=RDLdXhhm9dAmA&start_radio=1
 
Back
Top Bottom