Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida yenu kubwa ni ujinga, ulimbukeni, ujuaji usio na mpango na majigambo.

Elimu yenu ilijikita zaidi kwenye ku-look down upon everything Tanzanian kama moja ya mambo muhimu ya ku-discredit our socialist ideologies. Mmekuwa doctrinated hivyo na wengi wenu bado mnaamini hivyo..
Similarly kama sisi tulivyotumia land grabbing in Kenya na maisha yenu ya njaa na taabu nyingi to address the evils of capitalism.

Effects za unyama wa capitalism in Kenya ni real na very vivid while imani za Wakenya kuwa Tanzanians are lazy, poorer na less innovative than them ni uongo. Tanzania ina nyimbo nyingi sanaaaa na wana muziki wengi sana na nyimbo nyingi zinazoimbwa na Wakenya ni replica ya Zilipendwa za Wazee wetu, "Zilipendwa" nyimbo za kale.

Mfano: Varda arts- Salama Tanzania

"Ukiuliza habari
Salama Tanzania
Funga safari ya Tanzania Tanzania Tanzania
Salama Tanzania"


View: https://m.youtube.com/watch?v=0tU0GcTUrDM

Sasa ni vile tu tunakaa kimya na wizi wenu wa kila namna.

Maybe my ears are off but is the singer saying..” Funga Safari ya Tanzangiza “..🤣🤣🤣🤣… take it easy ..
 
True funny story . i was with an assigment group to the south Pacific islands of American Samoa. During the welcome ceremony by the High Chief , we were entertained by the local traditional dancers ( almost African). I couldn’t believe my ears when I heard … Jambo Bwana , Habari gani Mzuri sana, wageni mwakaribishwa, Samoa yetu hakuna Matata … ( though with an accent)… I didn’t want to create a scene since I was there as an American but I chatted with the group leader after and told him about the origin of the song . He told me it was introduced there by sailors a long time ago . I still haven’t dug into that history yet . You can imagine how fascinated I was …
Wow! Kenyans are really good at composing patriotic songs then. Seems the whole world is singing it.
 
Huyu Nyumbu mwaiofhawaii amelike post yako.

Usage ya "no more similar" ni ambiguous ila kwa sababu wewe huna akili za hivyo na unaokota chochote so long ni grammatically correct ndi9o shida. Ila kwa vile unataka kumaanisha, ungekua clear na kuavoid any ambiguity, ni vyema utumie "not more similar". 🚮
Heri ungenyamaza tu instead of embarassing yourself more.🤣🤣
Boss, that statement is as clear as pointing to a cup and saying 'This is a cup'! To someone who is good in English, here is zero ambiguity there.

Your command of English appears rather weak, and it is evident in your argument. As I mentioned earlier, “no more” is not used to indicate a change over time; it is employed when drawing a comparison between two or more entities. When you use “no more,” the sentence must explicitly mention the second party being compared, otherwise it remains incomplete.

Conversely, when referring to a change over time, the correct expressions are “anymore” or “any longer.”
Thus the correct statement that would bring out the meaning you're trying to push would be:-

The flag of Tanzania is not similar to the flag of South Africa any more.

Meanwhile, there is a fundamental difference between "not more similar" and "no more similar". No more similar is used to indicated a greater tone of finality and assertiveness. Jifunze Kiingereza msee.

Hivi hii kutravel unatuambianga umetravel ni ya ukweli ama ni chocha tu juu mtu ametravel hawezi kuwa dwanzi hivi kwa kizungu.🤣🤣🤣
 
Shida yenu kubwa ni ujinga, ulimbukeni, ujuaji usio na mpango na majigambo.

Elimu yenu ilijikita zaidi kwenye ku-look down upon everything Tanzanian kama moja ya mambo muhimu ya ku-discredit our socialist ideologies. Mmekuwa doctrinated hivyo na wengi wenu bado mnaamini hivyo..
Similarly kama sisi tulivyotumia land grabbing in Kenya na maisha yenu ya njaa na taabu nyingi to address the evils of capitalism.

Effects za unyama wa capitalism in Kenya ni real na very vivid while imani za Wakenya kuwa Tanzanians are lazy, poorer na less innovative than them ni uongo. Tanzania ina nyimbo nyingi sanaaaa na wana muziki wengi sana na nyimbo nyingi zinazoimbwa na Wakenya ni replica ya Zilipendwa za Wazee wetu, "Zilipendwa" nyimbo za kale.

Mfano: Varda arts- Salama Tanzania

"Ukiuliza habari
Salama Tanzania
Funga safari ya Tanzania Tanzania Tanzania
Salama Tanzania"


View: https://m.youtube.com/watch?v=0tU0GcTUrDM

Sasa ni vile tu tunakaa kimya na wizi wenu wa kila namna.

Shida yako huwa una-argue na feelings na emotions badala ya facts. Nikianza post yangu nimekubali kuwa Tanzanians are very good at compsing love songs. Hivi mtu mwenye chuki anaweza akasema hayo kwa mwenzie? Meanwhile, wewe umekuja na matusi na kejeli na umeingiza mambo ambayo hata hayahusikani na mjadala. It is clear nani mwenye chuki hapa.

Haya, tupostie wimbo moja patriotic wenye Kenya wamecopy Bongo maanake huo ulioupost sijawai sikia ukiimbwa Kenyan version. In fact sijawai kuhusikia kabisa na haufanani kabisa na nyimbo patriotic za Kenya zenye huwa na mvuto na tempo. Mimi hupenda kudeal na facts, sio feelings.
 
First of all, that is Uganda's side of Busia, not Kenya's side. Secondly, if those are slums then the whole of Dar is a slum.
The guy huwa anaumizwa na hii graph vibaya Sana😂😂.

1000052292.jpg
 

Stop the desperation mnyamwezi. Why would Bobby Wine campaign in Kenya? And don't you know that Busia is a border town with two sides? That's the Ugandan side of Busia town. Stop the desperation na ulimbukeni

Kama hizo ni slums in the background, then I don't know what to call the shanties in Dar that spread all over the place!
 
Stop the desperation mnyamwezi. Why would Bobby Wine campaign in Kenya? And don't you know that Busia is a border town with two sides? That's the Ugandan side of Busia town. Stop the desperation na ulimbukeni

Kama hizo ni slums in the background, then I don't know what to call the shanties in Dar that spread all over the place!
Tukisema kinaislum ni kidogo kama piriton huwa mnapandisha kisukari, angalia hilo pori nyuma ya railway line
Screenshot_20251018-104603.jpg
 
Huyu Nyumbu mwaiofhawaii amelike post yako.

Usage ya "no more similar" ni ambiguous ila kwa sababu wewe huna akili za hivyo na unaokota chochote so long ni grammatically correct ndi9o shida. Ila kwa vile unataka kumaanisha, ungekua clear na kuavoid any ambiguity, ni vyema utumie "not more similar". 🚮
You seem to have issues with comprehension of the English language. What you are talking about would be written as "no longer similar." Jeez...
 
Back
Top Bottom