mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
Shida yenu kubwa ni ujinga, ulimbukeni, ujuaji usio na mpango na majigambo.
Elimu yenu ilijikita zaidi kwenye ku-look down upon everything Tanzanian kama moja ya mambo muhimu ya ku-discredit our socialist ideologies. Mmekuwa doctrinated hivyo na wengi wenu bado mnaamini hivyo..
Similarly kama sisi tulivyotumia land grabbing in Kenya na maisha yenu ya njaa na taabu nyingi to address the evils of capitalism.
Effects za unyama wa capitalism in Kenya ni real na very vivid while imani za Wakenya kuwa Tanzanians are lazy, poorer na less innovative than them ni uongo. Tanzania ina nyimbo nyingi sanaaaa na wana muziki wengi sana na nyimbo nyingi zinazoimbwa na Wakenya ni replica ya Zilipendwa za Wazee wetu, "Zilipendwa" nyimbo za kale.
Mfano: Varda arts- Salama Tanzania
"Ukiuliza habari
Salama Tanzania
Funga safari ya Tanzania Tanzania Tanzania
Salama Tanzania"
View: https://m.youtube.com/watch?v=0tU0GcTUrDM
Sasa ni vile tu tunakaa kimya na wizi wenu wa kila namna.
Maybe my ears are off but is the singer saying..” Funga Safari ya Tanzangiza “..🤣🤣🤣🤣… take it easy ..