Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ustarabu uliondoka na meli wakabakiwa watupu vichwani mwao
uncivilised state πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

View: https://x.com/eastleighvoice/status/1978781094922076228?s=46


risasi kwenye msiba hii nchi imelaaniwa na nani jameni πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

View: https://x.com/tonymkenya7/status/1978803232655704522?s=46


ona hali ya uwanja huo πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

View: https://x.com/the_sambu/status/1978825545690264007?s=46
 
Dasilinga
efef08117336753.607433c84f342.jpg
87f737117336753.607433c84fa26.jpg
 
You just don't have them, nothing like tall buildings doesn't excite you. I once said and I say it again, just show me at least 3 buildings currently under construction in Tanzania that's 20 floors and above. Just show me three.
Dar ni kubwa sana, ukitaka kuona hizo construction fuatilia YouTube channel ya Bertin
Nairobi kila jengo jipya linakaribiana na mengine, Dar majengo yanajengwa sehemu tofauti tofauti ambayo yameachana umbali mrefu. Sio rahisi ku explore Dar na kukuletea tu projects kirahisi. Dar ni zinga la jiji, very big and widespread city
 
Tuna backup anthem 2 ni nzuri kuliko anthem ya kunyan,na hii anthem yetu ya sasa hivi atuiachi ng'o,sisi ndio tuliyoibuni iwe anthem ya upande wa SADC
Sahihi. Hawajui Tanzania tuna nyimbo ya uzalendo "Tazama Ramani" na ni nzuri kuliko national anthem ya Kenya
Bado tuko na nyimbo ya "Tanzania Tanzania" zote nzuri kuliko natinal anthem yao halafu anasema eti sio creative. Watu ni wajinga duniani hapa
 
Bro, what are you on?
How did you hear it in 1961 if the world hadn't heard it? Kwani is Tanzania not part of the world? The world heard the song when it was composed in 1897, not when you made it your national anthem. It's like me choosing to sing Harmonize's Happy Birthday Song on my birthday this year then claiming the world first heard the song when I sang it on my birthday so that means Tanzanians copied it from me. That's how stupid you sound.
Furthermore, ANC adopted the song way back in 1925 and they had plans to make it the National Anthem once they took power all along. You weren't the first ones to adopt it. Stop claiming what is not yours.
Ours was a lullaby tune from the pokomo people of Tana River county ( one of the smallest communities in Kenya)… so it’s Kenyan original πŸ’―β€¦.Now you know

The reason Tanzania, Zambia, Zimbabwe, and Namibia adopted the anthem is because it resonated so well with Africa's liberation agenda. The anthem, "Nkosi Sikelel' iAfrika," became a potent emblem of the struggle for freedom and independence in the region.

Could you prove to us with credible evidence that the African National Congress (ANC) had that song in mind to serve as the national anthem?
 
Back
Top Bottom