Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kariakoo concrete Jungle
IMG-20251017-WA0005.jpg
IMG-20251017-WA0008.jpg
IMG-20251017-WA0009.jpg
IMG-20251017-WA0010.jpg




The video is here

View: https://youtu.be/kV3PYXTImLU?si=fxXYZliv_4B3HYP_
 
😂😂😂😂haya!, ni makosa niki wauliza ni kwanini hua mnatokwa na Mishipa ya hasira mkiambiwa ukweli kwamba Dar imeizidi mombasa tu kwenye 3 mtungi looking blue towers na brt? 🤣😂😂😂🙌🙌
Dar👇
Screenshot_20251017_123709_Chrome.jpg
Mombasa!👇👏
Screenshot_20251017_112814_YouTube.jpg
Screenshot_20251017_111538_YouTube.jpg
Screenshot_20251017_111646_YouTube.jpg
Screenshot_20251017_112201_YouTube.jpg
 
Mradi wa Golden Premiere Residence ambao unatarajiwa kukamilika mwaka 2026, unaotekelezwa na shirika la nyumba NHC
Pakikamilika patakuwa hivi
View attachment 3489706
Kwa sasa ujenzi umeshaanza, mradi upo karibu na Kawe 711 project, yote hii ipo Kawe.
Eneo hili hapa, ujenzi umeanzaView attachment 3489707
This project started long time even before Magufuli died and it's not finishing anytime soon. Yani ikifika mambo ya gorofa mnazitafuta torch 😂😂😂
 
Mradi mwingine ni Mix use Development Tower, huu utaanza pale Nkurat Street, Dar es Salaam
Design ya jengo ndio hii
View attachment 3489709

I asked for buildings under construction, not renders that nobody knows if they will be approved or not
 
Eti kwa kuwa mnajenga majengo marefu mengi basi na Tanzania ndio tufanye hivyo.
Mnajenga majengo mengine above 20 floors lakini sio massive ukifananisha na EACLC hapa Ubungo ambalo ni fupi but ni bigger, more expensive and more modern than your so called "20 floors buildings"
BBS Mall is bigger and more expensive than that EACLC, so sit down and relax.
 

Meaning of buildings under construction ndio huelewi ama? Why show me renders that hata hamjui kama inajengwa?

When I said 3 buildings under construction I was 100% sure that haziko and that's why I dared all of you post them.

I still pose the same challenge to any Tanzanian that can show as at least 3 buildings currently under construction with 20 floors and above.
 
Meaning of buildings under construction ndio huelewi ama? Why show me renders that hata hamjui kama inajengwa?

When I said 3 buildings under construction I was 100% sure that haziko and that's why I dared all of you post them.

I still pose the same challenge to any Tanzanian that can show as at least 3 buildings currently under construction with 20 floors and above.
Hizo zilizokuwa under construction huzioni ama? huku our buildings are scattered all over the place sio kama nyie kila kitu CBD huko Kawe iko tower nyingine inapanda sema sisi watu wetu huku hawana hulka ya kupigapiga picha majengo.
 
Back
Top Bottom