Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo zilizokuwa under construction huzioni ama? huku our buildings are scattered all over the place sio kama nyie kila kitu CBD huko Kawe iko tower nyingine inapanda sema sisi watu wetu huku hawana hulka ya kupigapiga picha majengo.
So TRA tower iko under construction? You be a big idiot then.

Alafu zenye unasema are scattered all over why can't you just show us, there was no condition placed you should not share them.

I repeat, if show us at least 3 buildings under construction in Tanzania with 20 floors and above natoka JF saa hii. Nairobi I can show you 30 of them without blinking an eye.
 
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚Turudi kwa Renders kidogo,ila najua hamuzi pendi kabisaa!šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ™ŒThe Diplomat 27floorsƗ2šŸ‘‡šŸ‘
Screenshot_20251015_171049_Chrome.jpg
Screenshot_20251015_170950_Chrome.jpg
Screenshot_20251015_170840_Chrome.jpg
Screenshot_20251015_171121_Chrome.jpg
 
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚haya!, ni makosa niki wauliza ni kwanini hua mnatokwa na Mishipa ya hasira mkiambiwa ukweli kwamba Dar imeizidi mombasa tu kwenye 3 mtungi looking blue towers na brt? šŸ¤£šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ™ŒšŸ™Œ
DaršŸ‘‡
View attachment 3489877Mombasa!šŸ‘‡šŸ‘View attachment 3489881View attachment 3489884View attachment 3489885View attachment 3489906
Kama huoni difference ya hizo cities. Wew ni kichaa.

Ati least ukweli umeujua
 
That's the truth.

By the way, are you aware that Dar and Mombasa are categorised as Category B city alongside Kampala and Kigali. Nairobi is the only category A City in East Africa.
Category A in what šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Kwa akili yako Tanzania ina better standards of living than Brazil, Argentina, Russia. Morocco, Chile, Colombia, Vietnam, Iran, Philippines na Lebanon?
Brazil yenyewe ndio hii sasa lots of Favela (Kibera type)
1760701473415.png

1760701492699.png

1760701513311.png

Haya tell me tofauti na Mukuru kwa njenga iko wapi hapo? šŸ‘†
 
Kama huoni difference ya hizo cities. Wew ni kichaa.

Ati least ukweli umeujua
"Kama huoni difference ya hizo cities. Wew ni kichaa."

"Ati least ukweli umeujua."šŸ¤£šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ™Œhatujaanza na mishipa ishakutokašŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚...
hqdefault.jpg
 
Mradi wa Kilimanjaro International Conference Centre (KMICC), Tanzania
Screenshot_2025-10-17-14-45-52-598_com.android.chrome.png


Serikali imesaini makubaliano ya ujenzi wa kituo kikubwa cha mikutano (MICE) Arusha, kitakaloweza kuhudumia watu ~5,000, pamoja na hoteli ya vyumba ~500.


Tanzania keeps growing šŸ’—
 
Back
Top Bottom