Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo miaka yote mnaweka halafu hakuna slums dwellers mwenye uwezo wa kununua hizo . Halafu inakuwaje wasomi mnaibiwa kizembe hivi yaan mnakatwa kwenye mishahara na bado mnatakiwa kununua Tena.
I know it pains you that you don't have such in Dar. Kwenu mmezoea uswazi hovels zenye bati zilizoliwa na mchwa.

We have the ability to buy that's why such apartments sprout up in Nairobi every single day. Did you learn something about supply and demand in school? Wanunuzi wapo ndio maana zinajengwa, both by the government and private sector.
Morethan that imeonekan wakenya wengi ni maskini hawana uwezo wa kujenga kama Tanzania ambapo hata mpiga debe tu anaweza Jenga ila nyinyi mpaka nyumba za mabati
Nyumba walizojenga wapiga debe Dar and are proud of it 🤣🤣
Screenshot_20250917_234119_YouTube.jpg
images - 2025-05-30T112909.213.jpeg
Screenshot_20250918_180037_YouTube.jpg
images - 2025-04-12T083800.116.jpeg

Screenshot_20250918_190401_YouTube (1).jpg


I'd rath rather buy an apartment here than build such shanties above and be proud
images - 2025-05-28T200339.586.jpeg
1000016671.jpg
images - 2025-05-23T140327.812.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20250918_190401_YouTube.jpg
    Screenshot_20250918_190401_YouTube.jpg
    177 KB · Views: 24
Kwenu Kenya ni kitu kipya ndo maana unaona kuwa water closet ni ufahari , vipi umeacha kunya kwenye mifuko lini?
There are no pit latrines in Nairobi bongolala. Hizi nyumba zote unaona hapa ziko na choo na bafu ndani kitu ambacho hakipo Dar
images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
images - 2025-07-09T121138.594.jpeg
images - 2025-07-09T005329.844.jpeg
images - 2025-04-21T205213.874.jpeg
images - 2025-07-08T130616.468.jpeg
 

Attachments

  • images - 2025-07-09T005329.844.jpeg
    images - 2025-07-09T005329.844.jpeg
    43.9 KB · Views: 26
  • 485729510_122125140206630409_2149307566156451860_n.jpg
    485729510_122125140206630409_2149307566156451860_n.jpg
    201.2 KB · Views: 25
  • images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
    images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
    31.6 KB · Views: 25
Magari yanawezapita karibia maeneno yote 😂😂😂 Alisikika bongolala akisema. Tell us how vehicles can navigate these panya routes View attachment 3475234View attachment 3475235View attachment 3475236View attachment 3475241View attachment 3475246

Now compare with Nairobi and tell us where there's easy access to vehicles
View attachment 3475251View attachment 3475254View attachment 3475255View attachment 3475257View attachment 3475258
Hizo picha za Dar ni za zamani sana

Anyway, hapa magari yanapita, angalia kwa umakini hizo barabara. Hii ni Aerial photograph
IMG_20250918_224157.jpg



Hii picha inepigwa juu sana lakini barabara zinaonekana. Ni picha ya zamani anyway
IMG_20250918_224352.jpg


Hapa ni Dar sehemu gani?
6927386895_04b93f916e_z.jpg


I'm sure hii 2005 photo, ila barabara bado zinaonekana
IMG_20250918_224520.jpg


Halafu hizo picha za Nairobi ulizoweka umechagua maeneo mazuri ya Nairobi, kwa hiyo huna hoja ya msingi kwa sababu maeneo ya hivyo yapo almost kila mji. Hata Dar yapo mengi sana
Ili hoja yako ilete mantiki ulitakiwa kuleta picha za Kibera na Mathare hapa ndio tuanze kucompare na hizo za Dar. Worst places vs Worst places
Tofauti na hapo unajitekenya na kucheka mwenyewe tu
 
Hizo picha za Dar ni za zamani sana

Anyway, hapa magari yanapita, angalia kwa umakini hizo barabara. Hii ni Aerial photograph
View attachment 3475329


Hii picha inepigwa juu sana lakini barabara zinaonekana. Ni picha ya zamani anyway
View attachment 3475330

Hapa ni Dar sehemu gani?
View attachment 3475332

I'm sure hii 2005 photo, ila barabara bado zinaonekana
View attachment 3475331

Halafu hizo picha za Nairobi ulizoweka umechagua maeneo mazuri ya Nairobi, kwa hiyo huna hoja ya msingi kwa sababu maeneo ya hivyo yapo almost kila mji. Hata Dar yapo mengi sana
Ili hoja yako ilete mantiki ulitakiwa kuleta picha za Kibera na Mathare hapa ndio tuanze kucompare na hizo za Dar. Worst places vs Worst places
Tofauti na hapo unajitekenya na kucheka mwenyewe tu
Hii story ya picha za Dar tunazoleta humu kuwa za zamani tushazoea. Kitambo mlikuwa mnakana hizo picha na kusema sio za Dar. Siku hizi mnasema ni za kitambo. Tutaelewana tu

Eti picha nilizoleta ni za sehemu nzuri za Nairobi! 🤣🤣🤣
Pipeline, South B, Roysambu na Syokimau? Are these b even close to being the best in Nairobi? You have a long to go if you think those places I posted are among the best in Nairobi
 
Hii story ya picha za Dar tunazoleta humu kuwa za zamani tushazoea. Kitambo mlikuwa mnakana hizo picha na kusema sio za Dar. Siku hizi mnasema ni za kitambo. Tutaelewana tu

Eti picha nilizoleta ni za sehemu nzuri za Nairobi! 🤣🤣🤣
Pipeline, South B, Roysambu na Syokimau? Are these b even close to being the best in Nairobi? You have a long to go if you think those places I posted are among the best in Nairobi
Hizo ni miongoni mwa picha nzuri za Nairobi, mimi sijali kama utakubali au la
Leta picha za Mathare, Kibera, Uthiru, nk
 
Hizo ni miongoni mwa picha nzuri za Nairobi, mimi sijali kama utakubali au la
Leta picha za Mathare, Kibera, Uthiru, nk
Yani kabisa unaamini a place like Pipeline which you often call a slum ni moja ya sehemu nzuri Nairobi? Kweli Nairobi ni ya kipekee. Sasa nikikuletea za South C, Lang'ata, Donholm, and other middle income areas utasemaje?

Talking of Uthiru, here it is
hq720 (9).jpg
photo_2023-09-18_15-41-25-1695131400-800X500.jpg
maxresdefault (3).jpg
sddefault (1).jpg


Do the sprawling uswazis of Dar even come close?
 
Back
Top Bottom