concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,357
Fanya comparison ya hiyo mitaa na hii huku
View: https://youtu.be/bX4dG9HJb9I?si=5c6xvoEiA3NlVOHc
Angalia usafi wa mitaa ya dar hakuna urundikaji wa taka kama hiyo yenu 🤣🤣🤣🤣
Fanya comparison ya hiyo mitaa na hii huku
Haha ameshapaniki kwanza tumuache akaokteze picha nyingine
Nairobi slums are in selected areas. Dar, on the other hand, is just one continuous slum
Fanya comparison ya hiyo mitaa na hii huku
View: https://youtu.be/bX4dG9HJb9I?si=5c6xvoEiA3NlVOHc
Angalia usafi wa mitaa ya dar hakuna urundikaji wa taka kama hiyo yenu 🤣🤣🤣🤣
MTABISHANA HAPA ILA KUNA KITU HAMTASEMA ,DAR YETU NI CHAFU.NA HIZO PICHA ZENYE MNATUMA KWA JUU HAZIONYESHI MABANDA YALIYOJAA BARABARANI YA MACHINGA,PALE KIMARA SAHV HUELEWI HATA UINGILIE WAPI DARAJANI WAFANYABIASHARA WAMEJAA,MITAANI KUCHAFU NDO USISEME,SIJAWAHI KUFIKA NAIROBI ILA MOSHI TU NI PAZURI KULIKO DAR KABLA HATUJAAMUA KUBISHANA NA WATU WA NAIROBI
Sasa hapo unaweza kusema kuna taka Kumbe hata dampsite kusiwe na taka ebu linganisha na hii yenuYes ni kweli hakuna urundikaji wa taka👏🤣😂😂😂👍View attachment 3475168View attachment 3475169View attachment 3475171View attachment 3475179
😂😂😂Hali ya babu u vipi?😂😂😂🙌
Hajamzidi huyu😂😂😂Hali ya babu u vipi?😂😂😂🙌View attachment 3475188
kenyastockholm.com
You are becoming so irrelevant. Leo Nairobi imeshinda Dar kwa idadi ya watu? You so desperate!Kwa namna naislums Ina population kubwa kuliko Dar, ni wazi kwamba huko nyie kenge mnaishi kwenye mabati kwa sana.
Kwa hiyo population hapo it means ni takribani wakundu dweller million 4 wanakaa kwenye slums.
View attachment 3475175
Sasa hapo unaweza kusema kuna taka Kumbe hata dampsite kusiwe na taka ebu linganisha na hii yenu
View: https://vm.tiktok.com/ZMADqf4GX/
We will and there's nothing you going do about itItuume, we wish so much azam ahame itakua poa. Si mnaipenda KBC safi give the whole league to KBC.
Kwahiyo dampsite isiwe na taka ?🤣🤣🤣🤣
Look at those dream houses mbele ya hilo bango la Yanga! 🤣🤣🤣🤣Jee Na hizi?🤣😂😂😂 View attachment 3475140View attachment 3475141
Nimeshakuambia sijui ndugu nyang’au. Ukitaka kujua muulize yeye basi, au vipi?😂😂😂😂Hali ya babu u vipi?😂😂😂🙌View attachment 3475188
😂😂😂😂 haya basi maukimwi sitauliza tena kaka🙏