Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daima Dar haiwezi kukaribia nairobi kwa wingi wa watu, imagine kanchi kenu ni kadogo lkn mpo zaidi ya 60m, usishangae nairobi kuizidi Dar kwa idadi ya watu.

View attachment 3475661
alaf city area ni 690km sq ikiwemo nairobi national park na mapori kila kona wapo 6.9m alaf mtu anashangaa 2.5m people kuishi kibera
 
Karen, Nairobi

1758264482296.png
 
Nilidhani mnajenga BRT lane, kumbe bado mnaendelea kukinga maji kwa ndoo, yenye matundu.

As usual, one step forward, two steps back.
I wonder how Tanzanians reason. So kujenga viaduct is a step backwards? And who told you that building a brt system is a step foward? Chuki itawamaliza
 
Back
Top Bottom