ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
alaf city area ni 690km sq ikiwemo nairobi national park na mapori kila kona wapo 6.9m alaf mtu anashangaa 2.5m people kuishi kiberaDaima Dar haiwezi kukaribia nairobi kwa wingi wa watu, imagine kanchi kenu ni kadogo lkn mpo zaidi ya 60m, usishangae nairobi kuizidi Dar kwa idadi ya watu.
View attachment 3475661