COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Mombasa port is 3 times bigger than dar port I love this
Haha umekubali kuna height na length...sema asante kwa elimu ya bureHapa ni Tazara Serou Bridge Tanzania limejengwa mwaka 1970
![]()
![]()
![]()
30 unaijua wewe ***** tafuta link sahihi😀😀Currently Mombasa hundles 30 million tonnes...tuliza haga 2020 it would be 40 million
Kuna comparison ya railways hapo..mnajenga AREMA railways (class 3) Ethiopia (class 2) ke na ug (class 1)
Tupe mfano wa sehem isiyo na umeme apa Tz85%-90% ya Tz haina umeme hiyo ni sawa na Nchi ya Mauritania ambayo 3/4 ni jangwa na zaidi ni mojawapo wa LDC nations.
Nakuurumia sana mwarabu yani umeshindwa siku hizi hadi unataja mandazi30 unaijua wewe ***** tafuta link sahihi😀😀
usifkiri 30 mchezo mchezo kama kula andazi
kwan bomba la mafuta ilikuaje remember usisahau bado mapema sana, sisi hua tunakuja mwishoni tunachukua kiulaini malizeni maongez na mseven alaf tunamuita kwetu kumaliza dealAti Uganda inaitaka Tanzania. Well lets hear from Uganda government themselves what they say about mombasa route and dar es salaam route
View attachment 664392 View attachment 664393 View attachment 664394 View attachment 664395 View attachment 664396 View attachment 664397 View attachment 664398
Arema ukiclassify inakam number 3 after China 1 na 2....China waliimprove arima wakapata class 1 na 2.Unajua AREMA wewe mpuuzi wa mwisho fala wewe ...ety AREMA class 3 K wewe ...Unataka umdanganye nan kadanganye BIBi zako huko AREMA HAINA CLASS 1 wala 2 hizo ni kwenye Chinese classes za SGR ambayo Kenya ni Class 1 n ethipoia ni class 2 ..AREMA Ni American Railyways Maintenance Association .. ambayo inajengwa Tz
Hafu mbona siku za karbuni mnajikombakomba kwa uganda kuna nini kwan maana nyie hammsifiagi mtu bure...ka kuna waganda hum kueni makin na hizi jizi za naiKuna comparison ya railways hapo..mnajenga AREMA railways (class 3) Ethiopia (class 2) ke na ug (class 1)
huo ndio ukweli wala msijidanganye dunia ya leo mutaidanganya mambo yako wazi sana siku hzi mambo ya uongo uongo yashapitwa na wakati😀😀😀😀Nakuurumia sana mwarabu yani umeshindwa siku hizi hadi unataja mandazi
Kutoka apa adi bukoba highway ni 1500kmKenya's Paved roads 9,273 km.
Paved roads in Tz only 1,500 km.
Paved Road Good Condition = 1,026.27 Km z
Paved Road Fair Condtion = 283.37 Km z
Paved Road Poor Condition = 139.91 Km z
Paved Roads Total Kilometres in Tanzania Mainland = 1,449.55 Km
akikupa nitag 😀😀😀😀 nilimuimba official link kakimbiaTupe mfano wa sehem isiyo na umeme apa Tz
official source????😀😀😀😀😀 alaf nikuletee zanguAti port ya dar inahandle 0.5 million tonnes a year.
Uliishiwa kabisa nlikuambia hapa tutakuponyahuo ndio ukweli wala msijidanganye dunia ya leo mutaidanganya mambo yako wazi sana siku hzi mambo ya uongo uongo yashapitwa na wakati😀😀😀😀
alaf hii ni jamii forum ukikosea tunakuumbua hapo hapo hatusubirii