COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Haha hamjielewi kabisa mnajenga railway na towers wakati hakuna lami sehemu za mtwara,mbeya etcView attachment 664348
Tunayojenga ni Reli ya kati dogo siyo reli ya TAZARA. Tanzania ipo na Reli za aina mbili ile ya kati ambayo ni metre gauge ndiyo inayojengwa. Ile ya TAZARA ni Cape Gauge. Unatakiwa uwe mwelewa.
