Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Arema ukiclassify inakam number 3 after China 1 na 2....China waliimprove arima wakapata class 1 na 2.
AREMA ni ya america ..hebu wacha upuuzi wako unahisi cjaisoma hyo pdf au
Arema ukiclassify inakam number 3 after China 1 na 2....China waliimprove arima wakapata class 1 na 2.
Ati port ya dar inahandle 0.5 million tonnes a year.



mlilieni uganda mkishamaliza tunamwita huku kama tulivofanya bomba la mafuta na method ndio hio hio bahat mzuri mseven kaekwa na tanzania na kalelewa tanzania 😀😀😀😀😀😀😀Uliishiwa kabisa nlikuambia hapa tutakuponya
China class 1 and 2 are improvements of AREMA so AREMA is below that classAREMA ni ya america ..hebu wacha upuuzi wako unahisi cjaisoma hyo pdf au
Ukianza story refu refu kama hizo ni dalili ya kuishiwa kabsamlilieni uganda mkishamaliza tunamwita huku kama tulivofanya bomba la mafuta na method ndio hio hio bahat mzuri mseven kaekwa na tanzania na kalelewa tanzania 😀😀😀😀😀😀😀
Kwababu wakenya ni washamba sana. Tutajitahidi kuwafundisha. Yaani mnaonesha ni namna gani mlivyo wafinyu wa International issues. Yaani wewe ndiye picha halisi ya wakenya. Hahahahaha, yaani weweni mweupe kabisa kichwani.I like this thread about 10 Kenyans making many Tanzanians wet their pants
Ata haukua unajua bridge iko na height...dawa ya ujinga yako sijui ttatoa wapiKwababu wakenya ni washamba sana. Tutajitahidi kuwafundisha. Yaani mnaonesha ni namna gani mlivyo wafinyu wa International issues. Yaani wewe ndiye picha halisi ya wakenya. Hahahahaha, yaani weweni mweupe kabisa kichwani.
China class 1 and 2 are improvements of AREMA so AREMA is below that class
huo ndio ukweli tena unauma sana😀😀😀Ukianza story refu refu kama hizo ni dalili ya kuishiwa kabsa
Wewe unajiaibisha. AREMA is an America association (AREMA Home)China class 1 and 2 are improvements of AREMA so AREMA is below that class
By 2020 Tanzania itafikia universal electric connectivity, yaani zaidi ya 95%, itakua nchi ya kwanza kufikia hiyo hatua kwa nchi za ukanda huu, na kwa Africa nzima itakuwa nchi ya saba, sasa hivi Tanzania imefikia 68% wakati Kenya ni 64%. Itabidi wakenya muanze kunilipa tuition fees, kwasababu kama ninaanzanupya kuwaelimisha, shule mlizotoka bure kabisa.85%-90% of Tanzanians are not connected to the National Grid. This is funny and at the same time soo so sad.
na hapo rea 3 ishaanza yani hawa jamaa sijui watatokea mlango gani😀😀😀😀😀By 2020 Tanzania itafikia universal electric connectivity, yaani zaidi ya 95%, itakua nchi ya kwanza kufikia hiyo hatua kwa nchi za ukanda huu, na kwa Africa nzima itakuwa nchi ya saba, sasa hivi Tanzania imefikia 68% wakati Kenya ni 64%. Itabidi wakenya muanze kunilipa tuition fees, kwasababu kama ninaanzanupya kuwaelimisha, shule mlizotoka bure kabisa.
Hahaha, hivi unajua Dar -Kigoma ni 1600km na ni Lami?Kenya's Paved roads 9,273 km.
Paved roads in Tz only 1,500 km.
Paved Road Good Condition = 1,026.27 Km z
Paved Road Fair Condtion = 283.37 Km z
Paved Road Poor Condition = 139.91 Km z
Paved Roads Total Kilometres in Tanzania Mainland = 1,449.55 Km
Hawa jamaa kiuwezo wa akili ni hakuna, wanauelewa mdogo sana wa mambo ya kidunia,mwalijifungia sana huko kwao wakidhani Kenya ni kila kitu, wamestuka too late, sasa wanababaikaKwababu wakenya ni washamba sana. Tutajitahidi kuwafundisha. Yaani mnaonesha ni namna gani mlivyo wafinyu wa International issues. Yaani wewe ndiye picha halisi ya wakenya. Hahahahaha, yaani weweni mweupe kabisa kichwani.
Haha speed depends on locomotives and once electrified the railway can handle locomotives that moves atleast 220 to 300 km/hr.....How comes AREMA can move trains at a higher speed than class one and 2 with a load 2/3 tht of class 1 and class 2 ?? Ni jibu hapo
Class 1 can move 35mil tonnes 80km/hr (mizigo) 120km/hr (passengers) Kenya
Class 2 around 15mil tonnes
AREMA 20mil can be upgarded to 30mil tonnes at a higher speed 120km/hr(mizigo) 160km/hr (passengers)
Unahisi kwann tuliwakatalia wachina
China class 1 and 2 are improvements of AREMA...Wewe unajiaibisha. AREMA is an America association (AREMA Home)
Acha kujidharirishaaa85%-90% of Tanzanians are not connected to the National Grid. This is funny and at the same time soo so sad.
Tatizo walikuwa hawaijui vizuri Tanzania, Kenya ni watu wa makelele sana, kila kitu wao wanaandika, kwahiyo sisi tunaijua sana Kenya kuliko wao wanavyoijua Tanzania, sisi huku ni kimya kimya tu, ukistukia kitu kimeshakamilika, sasa wanachanganyikiwa, kumbuka walipokuwa wanajenga SGR, kila dakika ni kujaza picha humu ndani, watangazaji wao wa TV stations walikuwa wamepiga kambi huko field wanarusha live, lakini huku husikii kitu, ndiyo sababu wanasisitiza picha za SGR ya Tanzania, wanashangaa inakuwaji tunajenga reli ya umeme lakini hakuna makelele wala picha?, hiyo ndiyo tofauti yetu, tumewastukiza sana na mabadiliko yanayotokea Bongo.na hapo rea 3 ishaanza yani hawa jamaa sijui watatokea mlango gani😀😀😀😀😀