Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naona sasa unataka kuturejesha nyuma kwenye historia ya utawala wa kikoloni EA.

sizungumziii gari moshi la mkoloni...nazungumzia gari moshi mlilokopa kwa pesa kubwa toka kwa mchina ambapo mtalipa deni kwa kukwata kodi zenyu.kila raia mkenya lazima atalipia hata wale mafukara wa kibera

kama unataka tu-concentrate kwenye historia ya utawala wa kikoloni hapa EA,basi sisi tulianza kumiliki gari moshi tangu 1890s.bado tuliwatangulia.

4242ad7f688b1a09a63e03949d346963.jpg

kaka naona umepita mlemle nilimopita mimi,hata mda tulio-post,wote tuli-post mda mmoja.

ni kama wazo moja lilikuwa linatembea kwenye vichwa vyetu wakati mmoja.what a beautiful coincidence is this....i like it.

si bure,lazima kutakuwa na spirit ya kimalaika yenye nguvu sana ambayo huwa inatuongoza wakati tunapo-argue na hawa wapinzani wetu wenye chuki ya kishetani na sisi hapa EA.

Suala hapa ni ninyi kuanza kujenga reli ya kwanza baada ya uhuru 2017 wakati sisi tulijenga yetu 1970s. Yaani miaka 40 iliyopita.

Hizo zilizojengwa na wakoloni (metre gauge) sisi hata hatuziongelei kwa kuwa teyari tulishakuwa nazo mbili; usambara railway (1890s) na central line (1905).
 
Kenya's Paved roads 9,273 km.

Paved roads in Tz only 1,500 km.

Paved Road Good Condition = 1,026.27 Km z
Paved Road Fair Condtion = 283.37 Km z
Paved Road Poor Condition = 139.91 Km z
Paved Roads Total Kilometres in Tanzania Mainland = 1,449.55 Km
 
Kenya ni Maarufu kwa mambo haya,
2-Kukimbia, they run fast like wild cats dadeq,
3.Post election Violence

3.Njaa

4.Alshabaab killing thousands of KDF soldiers and innocent students and Civilians in Garisa and westigate respectively,

Do you think Tanzania is hungry for Famous,?
Wakenya Mnafikiria Kama Ng'ombe
You nail it to the head
 
I am still waiting for bagamoyo port construction videos and photos
Vitu haviibuki kama uyoga wewe. Vitu vinaenda kwa process
Bagamoyo Special Economic Zone ni G by G (Government by Government)
Oman Government and China Government in Collaboration with Tanzania Government
Tayari $10 Billion zimeshawekwa kwaajili ya mradi. Expected by 2020 project kuisha. So Subiri ujenzi unaanza by 2018.


Bagamoyo port project now revived
 
Ethiopia wako smart kuliko ninyi, gharama Za iyo railwayline yao nilistaajabu....tena ni ndefu kuliko yenu...Nyang'au atabaki kua Nyang'au
Ethiopia ni class 2 rail na ni mainly for passengers.. Kenya ni class one railway for passengers and cargo to Uganda,Rwanda,south sudan
 
Kenya's Paved roads 9,273 km.

Paved roads in Tz only 1,500 km.

Paved Road Good Condition = 1,026.27 Km z
Paved Road Fair Condtion = 283.37 Km z
Paved Road Poor Condition = 139.91 Km z
Paved Roads Total Kilometres in Tanzania Mainland = 1,449.55 Km
Hizo ni taarifa za uongo. Umezitoa wapi wewe hizo?

"The Tanzanian road network comprises 91,532 km of roads. 33,495 km of roads (12,197 km of national roads and 21,298 km of regional roads) are under the authority of the Tanzania National Roads Agency, while remaining network management is handed over to local authorities. 5,537 km of national roads are asphalted, compared with 847 km in the regional network."

Nakusihi tafuta taarifa za uhakika siyo hizo za uongo. Mpaka sasa hivi Paved road (Tanroads + TARURA) 12,000km+
 
Mbona ya Nairobi iko substandard, ni chafuchafu hivi
Hebu leta hiyo yenu ambayo ni standard na haina uchafu. leta hapa dunia ione. Na kama hakuna then usidharau za watu wakati wewe hauna na hata uwezo wa kuwa nayo pia haiko!
 
Back
Top Bottom