COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Tz has 5000 km paved....achaga kujiabisha hapaNani kakuambia, Kenya tarmac roads hadi August 2017 kabla ya kipindi cha kwanza cha uchaguzi wenu zilikua 14,000 km, Tanzania 18,000km. Uhuru alitoa ahadi ya uongo 2013 kujenga 10,000km, ameishia kujenga 4,000km, aliahidi 5 World class stadia, hakujenga hata uwanja wa mbuzi, hadi Joho kamzidi