Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani kakuambia, Kenya tarmac roads hadi August 2017 kabla ya kipindi cha kwanza cha uchaguzi wenu zilikua 14,000 km, Tanzania 18,000km. Uhuru alitoa ahadi ya uongo 2013 kujenga 10,000km, ameishia kujenga 4,000km, aliahidi 5 World class stadia, hakujenga hata uwanja wa mbuzi, hadi Joho kamzidi
Tz has 5000 km paved....achaga kujiabisha hapa
 
Very good analysis from our brothers uganda
8e4e42517b33c186e4277f0dd551575a.jpg
8a4705520c3468696eaf18aaf3542d34.jpg
48208303e5f030c8c12388ff5ac7b85d.jpg
625f3a4de6836b90965fe5acbfffa9ee.jpg
187166c23c42d345b24977d41145ef59.jpg
9de806621843e87e32344be6e927170c.jpg
12ca272e8d74fa300d17ca257cdfb1e4.jpg
e09280321ca1aec237272c51957d36a7.jpg
b2b8f5c9a47caccb6d5ed27754a7b773.jpg
bdf329288fa8b66927905b880ae35dc8.jpg

Dogo hiyo ni Uganda vision siyo Kenya. Na usihangaike sana kuweka hapa. Kwanini usiweke vya serikali ya Kenya?
 
Nimekwambia hiyo ni Vision ya Uganda siyo ya kenya. Mbona mbovu kuelewa? Kwanini usiongelee maswala yenu. Ninyi project zenu zipi za maana?
Tanzania is a giant broda. Hatuhitaji nguvu kubwa. Tunahitaji action tu. Everything we have. Kenya haiwezi competation na Tanzania, mtakopa mpaka muishiwa

CHzn49HUkAABpHK.png
Haha 46 billion USD vs 69 billion usd
 
Ubao wa Matangazo
Takwimu za haraka
Takwimu Zaidi Paved Road Good Condition = 1,026.27 Km z
Paved Road Fair Condtion = 283.37 Km z
Paved Road Poor Condition = 139.91 Km z
Paved Roads Total Kilometres in Tanzania Mainland = 1,449.55 Km

Home | Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA
Hiyo ni TARURA rafiki yangu. Hiyo imeanzishwa 2016 ndiyo ina mwaka mmoja tu.
Ukitaka taarifa za barabara Tanzania unatakiwa uelewe nani anahusika na nini.
1. TANROADS
Nenda (Tanroads)
TANROADS Official Website :: Home

2. TMISEMI
President's Office Regional Administration and Local Government | Tanzania

Pitia huko utaelewa kila mmoja na barabara zake.
 
Tz has 5000 km paved....achaga kujiabisha hapa
Kila mara huwa ninauliza swali kuhusu uwezo wenu wa kufahamu mambo, nimeuliza, hivi zaidi ya English and tribalism, huwa mnafundishwa nini tena? mbona hamjibu hilo swali?, kwasababu uwezo wenu wa kuelewa mambo ni mdogo sana, Tanzania is bigger twice the size of Kenya, road network is also nearly twice that of Kenya, while percentage of tarmac road is almost the same, a bit higher on Kenya side, which country has longer tarmac road network?
 
Kila mara huwa ninauliza swali kuhusu uwezo wenu wa kufahamu mambo, nimeuliza, hivi zaidi ya English and tribalism, huwa mnafundishwa nini tena? mbona hamjibu hilo swali?, kwasababu uwezo wenu wa kuelewa mambo ni mdogo sana, Tanzania is bigger twice the size of Kenya, road network is also nearly twice that of Kenya, while percentage of tarmac road is almost the same, a bit higher on Kenya side, which country has longer tarmac road network?
Story book andikia bibi...give as facts
 
Kuna comparison ya railways hapo..mnajenga AREMA railways (class 3) Ethiopia (class 2) ke na ug (class 1)
Hato ni maelezo yako kwa kukosa point. Unaongea tu bila hata proof. Ili mradi unajua terminologies ndio uongee ovyo ovyo
Unataka tuanze kuchambua Reli yenu ya kenya siyo?
 
Hato ni maelezo yako kwa kukosa point. Unaongea tu bila hata proof. Ili mradi unajua terminologies ndio uongee ovyo ovyo
Unataka tuanze kuchambua Reli yenu ya kenya siyo?
Reli yenu class 3 and not safe....soma iyo PDF utaelewa....cheap Tanzania
 
Reli yenu class 3 and not safe....soma iyo PDF utaelewa....cheap Tanzania
Acha ujinga wewe. Nianze kusoma maelezo yenu hapa kwa faida yenu. Hebu sema
Class 1 ni nini?
Class 2 ni nini?
Class 3 ni nini?
Mbona unaleta ubabaishaji hapa?
Huna uwezo dogo. Unajiaibisha
 
Kumbe Tz wanashindwa kujenga hata class 3 SGR na vile wanapiga domo unaweza dhania wamekomboa ile bombardier yao...masikini wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom