Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,168
- 33,332
Baadala uombe msaada wa viatu wewe unaomba bangi.View attachment 3471496
Hiyo hiyo 1 maku halafu imechakaa,sina pair nyingine,now nenda kaoge basi au ndio maji sumuView attachment 3471498
Baadala uombe msaada wa viatu wewe unaomba bangi.View attachment 3471496
Hiyo hiyo 1 maku halafu imechakaa,sina pair nyingine,now nenda kaoge basi au ndio maji sumuView attachment 3471498
😂😂😂 we magonjwa na ma ukimwi si nadhania tulimalizana brother...ni nini tunasumbuana tena ?
Ndani, ndani central KE mkuu.Hapa ni wapi Champe?
Hivi hii halmashauri ya sumbawanga wanawezaje kufanya mambo makubwa hivi kuanzia kwenye mipango miji na miundombinu mingine?Muonekano wa ujenzi wa uwanja mpya wa ndege, municipal ya Sumbawanga mkoani Rukwa
View attachment 3465564
View attachment 3465565
View attachment 3465566
View attachment 3465567
View attachment 3465568
Kuna tanganyika wanavuta zaid ya bil 7 za hewa ya ukaa tuHivi hii halmashauri ya sumbawanga wanawezaje kufanya mambo makubwa hivi kuanzia kwenye mipango miji na miundombinu mingine?
Kwa muda gani?Kuna tanganyika wanavuta zaid ya bil 7 za hewa ya ukaa tu
Kwa mwaka, hapo bado mapato mengineKwa muda gani?
Umepost data ya dunia nzima so lazima tutest tuone kama ni Believable sourceThe post is about Kenya's neighbours. You should defend country and not China, ama wewe ni Mchina na hatujui?
😂😂😂Wewe kijana! ... nimekuambia relax! Nimeshapiga order pale Bata, unaletewa kiatu kipya cha Adidas. There is no need of bangi na hasira nyingi because you can't afford new shoes, so relax my guy we can be friends sawa?!😂😂😂...View attachment 3471474View attachment 3471471
A moment ago nimetoka kutumia usd 510 kwa ajili hizi takataka hapa,kwa ujuha unaamini nina pair 1 ya kiatu,maku ungeingia kwenye 18 za yule pastor shakahola saa hizi ungekua kuzimu instead off kulala kwenye nyumba za bati,maku niiache sasa nile music kutokea hapa kwa mzee netanyahu,hasira zako za mlo m1 hapo kibera ziishie huko huko maku wwView attachment 3471483
At least bangi ninayoomba inaburudisha,ww badala ya kumuomba yule maku mwenzio akupeleke america ukamsaidie kuvesha pamper wazee,ww unamuomba akufi reBaadala uombe msaada wa viatu wewe unaomba bangi.
Pambana kwanza uweze kuaffoard milo mi3 kwa siku na utoke hapo kibera 😃😂😂😂Wewe kijana! ... nimekuambia relax! Nimeshapiga order pale Bata, unaletewa kiatu kipya cha Adidas. There is no need of bangi na hasira nyingi because you can't afford new shoes, so relax my guy we can be friends sawa?!😂😂😂...
Didn't you say that wewe hapo Tandale unaongea pure Kiswahili? Ama Sasa unakana maneno yako tena?Wewe unaelewa maana ya pure Kiswahili? Jua tofauti kati ya pure Bantu na pure Kiswahili
Unaelewa Kiswahili wewe? Yani natetea hoja yangu wewe unasema nakana maneno? Hebu soma kwa umakini nilichoreply uelewe. Ukishindwa sema nikueleweshe kwa KiingerezaDidn't you say that wewe hapo Tandale unaongea pure Kiswahili? Ama Sasa unakana maneno yako tena?
Hakuna lodwar mjini wacha kuongopa.Sasa umehamisha goli kutoka mijini hadi vijini!? It's no longer about towns but villages now! Bongolala, I know how desperate you are but do you know I can spam this thread with poverty images from rural Tanganyika hadi saa sita usiku?
So siku hizi dunia nzima inaitwa Kenya’s Neighbors? No wonder you are a Primary School dropout.Umepost data ya dunia nzima so lazima tutest tuone kama ni Believable source
Kama hiyo map yako inadanganya kuhusu China basi haishindwi kudanganya kuhusu Kenya na majirani zake