Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,231
- 12,645
Ni kwa sababu Kenya mnapoongea mnachanganya Kiingereza na Kiswahili. Huku Tanzania tunaongea pure Swahili, yani ni Kiswahili muda woteHata mimi Kiswahili sio lugha yangu ila nakielewa. Stop looking for flimsy excuses