Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Ushamba wa stadium tushatoka huko,hii mkapa ina zaidi ya miaka 14,kipindi iko tulikua washamba,ushamba wetu sasa hivi upo kwenye BRT,SGR ya umeme sio tungi la chang'aa,JNHP n.k
Kama Alaska mwanangu 😂😂😂Utabaki hvyo hvyo kujifariji na kulazimisha battle ya soka, ila timu zenu zinato.mbw.a kila siku na timu za bongo.
1. Police (bingwa wenu) kanyombwa 🤣🤣🤣
2. Gor Mahia (wapili huko kwenu) kanyombwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
3. Shabana (timu ya mnuka mavi) kanyombwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
4. Bandari kanyombwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka nn cha ziada hapo, usiwe kama mwanamke malaya usiyelidhika na dudu, kubali yaishe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Picha nilipiga miritini station.
so hzo ni nn ? 😂😂😂😂Picha nilipiga miritini station.View attachment 3470641
Hii ni SGR? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Picha nilipiga miritini station.View attachment 3470641
Walikuwa wanatamba kujaza uwanja kwa 200 afcon wakaona wamefika.View attachment 3470630View attachment 3470631View attachment 3470632
Ushamba wa stadium tushatoka huko,hii mkapa ina zaidi ya miaka 14,kipindi iko tulikua washamba,ushamba wetu sasa hivi upo kwenye BRT,SGR ya umeme sio tungi la chang'aa,JNHP n.k
Mnashangilia friendly matches?🤔🤔🤔Gor Mahia wangeifunga Simba leo ungeona yule nyang'au Teargass alivyo na kelele lakini kajificha hivi sasa😂
Cc: Mimi Wewe Yule
Najua ulikuwa unategemea kuona slums hapo kando just it is pale Makwapa Stadium.Nikadhani ni Mkapa kwa kuwa imepigwa juu sana, lakini nikajiuliza, mbona pamekuwa pori sana? Dah, kumbe ni Naipori?
Kiongozi wa bandari jana kasema,mdhamini m1 tu wa Yanga gharama yake inadhamini vilabu vyote vya ligi ya ukunyan,Yanga ana wadhamini zaidi ya watanoWalikuwa wanatamba kujaza uwanja kwa 200 afcon wakaona wamefika.
Hesabu ya simba
Mzunguko 7,000
VIP C 20,000
VIP B 30,000
VIP A 100,000
Platinum 250,000
Tanzanite 350,000
Kwa hivi viingilio mauzo ya simba day ni above 700mil au ksh 35mil
The highest gate kwa Kenyan league ilikuwa 7.9 mil
Mauzo ya jezi tu kwa ajili ya maandalizi ya simba day ndo bajeti ya KPL kwa mwaka mzima
Aisee mbona kama vyoo?
Hivi Ilikuwa Yanga Daytulia wewe zuwena wa diamond 😂😂
tarehe 16 ndio utajua ilikua copy au original 😂Hivi Ilikuwa Yanga Day
Au Copy ya Simba Day?
Tamasha La Simba Sikuona Mtu akiitaja Yanga
Ila Jana Kila anaye Sema Ni Simba Simba Hivi mna Nini nyie Uto!