The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Lugha gn anaongea huyu mkora? Amepata smartphone juzi naye kajoin jf, hata lugha yake inaonesha kabisa ni mkibera huyu, wenzie wote tumewafunza adabu na Kiswahili fasaha, bado huyu mkora, atanyooka tu mana hiki Kiswahili anachoongea kilikuwa cha Nicxie na wanusa gundi wengine humu, but nowadays wanajitahidi kwenye lugha.๐๐๐unakumbuka zile Enzi 2014 ya the 3 mtungi look alike blue towers?... hii ma kinjikitile ilikua na makelele nyingi sana " ati tunawapumulia mgongoni" shut up! ๐คฃ๐คฃ sahi wana pita kimya,kimya...